Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Hivi unajua kutofautiana mtazamo na rais unaweka maisha yako rehani?
 
Ungekuwa wew ungejiudhuru..mkeo anakusubir nyumban et nmejiudhuru..sbabu stak hik ama kile...utakua shujaa mpumb.avu.

Katika karne hii lakin....ushujaa ulikua enz za mwalimu huko
 
Agiza bia KABISA nalipa [emoji16], Hawa jamaa watupishe Kwanza.

 
Msimchokoze mama Samia, atawazingua kwa kuweka wazi madudu yote ya mwendazake, shauri yenu...
 
Ukweli wa Mambo hatuna kiongozi ni matatizo matupu tutajuta ,sababu tunarudishwa enzi za ubwana na utwana .mama upeo wake ni mdogo sana na ujasiri Hana hata kidogo.
Hawa jamaa Ni washamba Sana yaani[emoji1]
 
nakuunga mkono hata kama alimchukia sana mwenda zake apime kaurizake yake maana bado kuna watu wengi bado wanaona mwendazake alikuwa sahihi kwenye baadhi ya mambo, matendo yawe mengi kuliko maneno asionyeshe yeye ndo mdomo wa kikwete ni mapema sana kwa wao kutangaza ushindi.Kama alivyokuwa mnafiki kwaJPM watakuwa wanafiki kwake nawachumia tumbo walisha msoma sasa ni mwendo wa kukashifu utawala uliopita ambao kwa hakika NI huu huu wake na aliyeondoka ni , sioni tofauti maana hata yeye anatumia vitisho kwa sauti Nyororo mimi nbado nampamuda maana madaraka siku za mwanzo ni sawa na new money mpaka uzoee (New Money Spends by Trends, Old Money Spends by Tradition)[/QUOTE]Hi kampeni yenu ya kihuni haitawafikisha popote umbwa nyie.

Mnacopy&paste same text na kusambaza ili kumchafua mama etu.

Hamtofanikuwa asilani nakwambia umbwaa wee
 
Jiwe nae mbona alkua anamnanga Kikwete na mkapa hadharani.

This is karma, will hunt u forever.[emoji116]
 
Naona umekuwa msemaji wangu

Unalipwa sh ngapi?🤣🤣🤣🤣

sijakuajiri


Hakuna mahali nimemtetea JPM kinafiki we mpuuzi, siko hivyo, labda jina langu linakutisha sana


Niko hivyo napinga panapostahili na natetea au kupongeza

Kuwa JPM alikuwa Rais mzuri sana sina shaka na hilo na sina unafiki kumsifia hata leo hii...unless unafikiri nitabadilika pole

Mnabadilika msio jielewa ambao hamna ID zenu hamna brain wala mioyo ya kujisimamia.

JPM is far very far superior kwa mama na ndio maana nyie Panya mnaweza rukaruka sasa...🤣 kama unafikiri kifo ni adhabu basi wewe mtakatifu hautakufa sio??

So mnamsifia Samia sio? na CDM ipo sio? Lema Lissu wewe, wote mnamsifia Samia sio sio? kwani yuko chama gani??🤣🤣

Yaani nikuogope wewe kusema JPM will always be the best president kwangu? kwa sababu ya excitement na ukigeugeu na kutojielewa?

You deserved to be treated like that, mwanaume kawaachia mbunge mmoja kafariki, kaondoka you failed kufanya lolote....Leo unataka kusema maneno yako ya kumsifia Samia yanakufanya usiwe chadema?

JPM was never CCM!!!!!

mama Samia ni mwana CCM kweli kweli atawaponda huku mnacheka

Mkuu ulitegemea leo nitampinga JPM kwa sababu ya kukuogopa wewe? 🤣🤣🤣🤣
 
Hebu tukumbushane mbona viongozi wastaafu walisemwa vibaya sana? walionekana wameiibia nchi,wameifirisi wamefanya kila aina ya ushenzi na mlikaa kimya sasa kwakuwa ameingia mwengine acheni atuoneshe ambako hapakuwa sawa parekebishwe sasa haya makamasi mnayofutia ngumi mnayatoa wapi?
 
Wananchi gani?
Wanataka nini?
Tulieni hapohapo.
 
Huyu Mama binafsi simwelewi kabisa,,,yaani hapa Watanzania tumepatikana kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…