Kawe alumni au Mikocheni junction ndiyo huyo mwehuNahisi kama mleta mada ana multiple ids maana si kwa majibu hayo
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Nyie timu chato mmeacha tena kumsapoti rais wa JMT? Hadi atoke kanda ya ziwa ndio mnamsapoti sio eeeeh? Rudini CDM sasa.Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
MATAGA waseng.e sana Mamaaaae zenuMama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
So kwa akili yako miradi ya Chato nayo ataendeleza? Hata daraja la busisi tunapiga chini kwanza
Acha kutishia watu; ndio enzi ya unanijua mimi ni nani unataka kuitumia?Tuna ku-trace kwa hii comment yako hapa.
Mh. Samia ni mtu mwenye hekima, akili, busara na mtulivu wa akili na moyo, zaidi ya yote ni mtu mstaarabu anayejua thamani ya utu, na mwenye dhamira njema.Naona MATAGA mmefungua ID nyingi ili mumpinge mama.
Rais wenu Jiwe alishakufa
Hivi nani aliyekuwa na Ubavu wa kuzungumza au kumpinga jiwe? Yeye mwenyewe alishasema hapingiwi kwa hiyo unategemea wangefanyaje? zaidi ya kwenda na muziki wa jiwe huku wakiumia roho.
Mwambie ni kutesa kwa zamu walitaka wawe na furaha wao tuu.Wasukuma roho zinawauma
Japo hajanena kwa kauli lakini matendo husema kuliko matendo. Mh. Samia anataka kuipeleka Tanzania kwenye uchumi wa kisasa siyo kwenye uchumi primitive, uchuminwa kufukuzana na kuwindana kama ngiri.Huyu mama ataongoza kama kiongozi wa kawaida.
Sidhani kama ana vision.
ie anataka kutupeleka wapi katika levo za kiuchumi.
Kama unadhani tupo hapa kutishana,basi na wewe tukana tuone.Acha kutishia watu; ndio enzi ya unanijua mimi ni nani unataka kuitumia?
You are hurling her excellence to the entraping din with purpose!!!
Hivyo vitisho vitakugharimu muda si mrefuKama unadhani tupo hapa kutishana,basi na wewe tukana tuone.
Kwa naomi yangu mfumo ndiyo unaotambua tunataka nn co sis ni fungate ya uhuru.... inaendleaWee ukianza kutongoza Mwanamke kumuoa unaanza kumshawishi kwa kutaja furaha za ndoa au changamoto?
Sasa hivi tuna changamoto kubwa ya kurudisha Uwekezaji na njia bora ni kuwaaminisha mazingira kuwa yameboreshwa sio kuanza kuwapa maangalizo
Na wewe kuwa tajiri au fanyabishara na wewe?Mitaani kuna shida nyingi. Kitendo cha huyu Mama kuanza kulegeza maana yake kodi itapungua. Saivi ukienda hata dukani risiti ya manunuzi hupewi. Wafanyabiashara wameanza kukwepa kodi kwa kasi. Maana yake kodi itapungua na kutekeleza mahitaji ya jamii atashindwa. Matajiri wachache watakula keki ya nchi.
Sure.....its matter of timeNi swala la muda tu. Hapa hatuna Rais
Sio kweli amejifunua bayana kwamba hakukubaliana na nmna alivyokuwa anawaongoza ila haijulikani ni kwanini hakujiuzulu kujenga heshima iliyo bora kuliko kumsema vibaya marehemu ambaye kwa sasa hana kauli ya kujitetea kutokana na kile anachokiagiza sasa hivi kufanyika. Amesikika akisema ataunda tume kufanya utafiti kama wakubali au kukataa kupokea chanjo ya UVIKO wakati akijua kabisa hayati alishaunda tume hiyo tayari kufanya utafiti huo na majibu wayawakilishe kwenye mamlaka husika kwa hatua kama sio kudhoofisha urithi (undermining legacy) huo ni nini ambao na yeye alikuwa sehemu yake?VISION YA RAIS NI KUWALETEA MAENDELEO WANANCHI KWA AMANI kwa kutumia vizuri rasilimali za chi yetu. Kumbuka vision ya mwendazake ndio hiyo hiyo ya Rais Samia kwani wote wanaongozwa na ILANI YA UCHAGUZI YA CCM!