Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

kampeni yenu ya kihuni haitawafikisha popote umbwa nyie.

Mnacopy&paste same text na kusambaza ili kumchafua mama etu.

Hamtofanikuwa asilani nakwambia umbwaa wee


hakuna kampeni ndugu yangu wala mbona hakuna sehemu nimemchafua ! na kama imekuwa copied and pasted mara nying ilaweza kuwa kosa la bahati mbaya ambalo sijui limetokeaje ila kama ulivyo wewe na uhuru wa kutoa maoni na mimi pia nastahili pia tutofaotiane maoni kwa staha
 
Nyie timu chato mmeacha tena kumsapoti rais wa JMT? Hadi atoke kanda ya ziwa ndio mnamsapoti sio eeeeh? Rudini CDM sasa.
 
MATAGA waseng.e sana Mamaaaae zenu
Kufeni Mumfuate Jiwe
 
So kwa akili yako miradi ya Chato nayo ataendeleza? Hata daraja la busisi tunapiga chini kwanza

Bahati mbaya sana Daraja la Busisi kazi inaendelea tena Usiku na mchana,lile daraja la muda limekamilika last Week sasa kazi kamili inaanza. Hatuna cha kukusaidia hapo,tutapiga chini Daraja la Mto Wami.
 
Huyu mama angekuwa msukuma hii ligi isingekuwepo.
 
Nchi hii ni mkusanyiko wa watu wa aina zote. Wanafiki, wabaguzi waongo na hata washirikina.

Lakini Rais hastahili kukatisgwa tamaa na watu hawa. Asimame katika haki na ukweli, hawa wasiojitambua wataabika.

Nchi yetu ni lazima ibadilike. Ienende katika uchumi wa kisasa na utawala wa kistaarabu. Hii ninkarne ya watu waliostaarabika, siyo ya watu wanaoswagwa kama ng'ombe. Tulipe kodi, tuhoji, tukosoe, tujadiliane - lakini katika yote tuongozwe na ustaarabu wa kuheshimu utu ja ubinadaku wetu.
 
Mh. Samia ni mtu mwenye hekima, akili, busara na mtulivu wa akili na moyo, zaidi ya yote ni mtu mstaarabu anayejua thamani ya utu, na mwenye dhamira njema.

Waovu watamsilema sana, watamkejeli na kumwandama lakininhawatashinda maana siku zote Mungu husimama na watu wa haki.

Mh. Samia hakuutafuta Urais, na pengine hakuwahi hata kuufikiria, lakini Mungu ametaka iwe hivyo. Hata siku moja Mungu hamwachi mtu wake labda huyo mtu ajitenge mwenyewe na muumba wake. Hawa wote wenye dhamira mbaya wanaomkejeli Mh. Samia kwa sababu hafungamani nao katika uovu wao, hakika wataabika daima.
 
Huyu mama ataongoza kama kiongozi wa kawaida.

Sidhani kama ana vision.

ie anataka kutupeleka wapi katika levo za kiuchumi.
Japo hajanena kwa kauli lakini matendo husema kuliko matendo. Mh. Samia anataka kuipeleka Tanzania kwenye uchumi wa kisasa siyo kwenye uchumi primitive, uchuminwa kufukuzana na kuwindana kama ngiri.

Anayetakiwa kulipa kodi afanye hivyo. Asiyelipa wakati alistahili kulipa achukuliwe hatua lakini bila ya kudhalilisha utu na ubinadamu wake.
 
Matusi mengi inamanisha dawa imekuingia..
Tulia hivyo hivyo we are watching you
 
Kwa ushauri wa bure, viongozi wote ambao walikuwa wakihudumu kwenye utawala wa JPM na walimuunga mkono kwa dhati dira ya sera waliojiwekea (maana sera na dira hujadiliwa wa viongozi waandamizi, watunga sera, watalaamu na wanasiasa wa mlengo husika) lakini ghafla wanaona dira imebadilika hata sera kutiwa maji inabidi wajiuzulu vyeo walivyopewa kuvitumikia ili kulinda heshima wanazodhani zinapokwa kwa sasa.

Msipofanya hivi mtagombana ndani hata nje hadharani na hatua za kinidhamu zitazochukuliwa dhidi ya yeyote atakayeathirika na maamuzi hayo kuunda vuguvugu la mapinduzi.

Chama chenu mpaka sasa hakina mwenyekiti wala katibu mkuu. Hakuna vikao vyovyote ambavyo mlikaa hivi karibuni na kuahidi kutoa matokeo hayo hadharani ambayo yanaakisi mlichozungumza.

Ni bora vyama pinzani mjizatiti sasa hivi kabla ya mabo kuingiliwa muda si mrefu hivyo kupoteza nafasi nzuri kwenye sahani ya dhahabu.

*CCM fate is at cross-road, looming and going to be buried and history to be reversed as it was not projected before.
 
Wee ukianza kutongoza Mwanamke kumuoa unaanza kumshawishi kwa kutaja furaha za ndoa au changamoto?

Sasa hivi tuna changamoto kubwa ya kurudisha Uwekezaji na njia bora ni kuwaaminisha mazingira kuwa yameboreshwa sio kuanza kuwapa maangalizo
Kwa naomi yangu mfumo ndiyo unaotambua tunataka nn co sis ni fungate ya uhuru.... inaendlea
 
Na wewe kuwa tajiri au fanyabishara na wewe?
 
VISION YA RAIS NI KUWALETEA MAENDELEO WANANCHI KWA AMANI kwa kutumia vizuri rasilimali za chi yetu. Kumbuka vision ya mwendazake ndio hiyo hiyo ya Rais Samia kwani wote wanaongozwa na ILANI YA UCHAGUZI YA CCM!
Sio kweli amejifunua bayana kwamba hakukubaliana na nmna alivyokuwa anawaongoza ila haijulikani ni kwanini hakujiuzulu kujenga heshima iliyo bora kuliko kumsema vibaya marehemu ambaye kwa sasa hana kauli ya kujitetea kutokana na kile anachokiagiza sasa hivi kufanyika. Amesikika akisema ataunda tume kufanya utafiti kama wakubali au kukataa kupokea chanjo ya UVIKO wakati akijua kabisa hayati alishaunda tume hiyo tayari kufanya utafiti huo na majibu wayawakilishe kwenye mamlaka husika kwa hatua kama sio kudhoofisha urithi (undermining legacy) huo ni nini ambao na yeye alikuwa sehemu yake?

Je, walikuwa na uadui baridi wakiviziana kwa muda mrefu ili tujue na yeye ashauri kuwa makini na washauri wa karibu ndio humpoteza kiongozi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…