Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
🤣🤣🤣🤣Mwache mama afanye kazi, nyie watu wa mwenda zake mna visirani kama yeye alivyokua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Mwache mama afanye kazi, nyie watu wa mwenda zake mna visirani kama yeye alivyokua
Nyiee acheni mambo yenu, Zama za Mwendazake zimeshaisha.
Kwani JPM alijiuzulu uwaziri wakati wa Kikwete? Mbona hamkumuita mnafiki wakati anamkosoa hadharani baada ya kuwa raisi?
Msiwe ma sore looser, mipango ya mungu haiwezi shindwa na nyie wanadam.
Kwa Mara ya kwanza nakiri hatuna RaisNi suala la muda tu. Hapa hatuna Rais
Ni mmoja wa vyeti feki au? Hao waache wafie mbali bhana! Vyeti feki! NO! Hata kama tumempata rais mwenye vyeti vya aina hiyo, NO!
Kama unashindwa hata kufatilia bora upige kimya . sasa niteseke na kitu gani au ndo mwendelezo wa maneno ya vikoba?Kwahiyo yeye kusema Mama Samia ndio rais wa JMT ndio hallucination???
😀😀😀😀😀😀😀😀
Mnateseka sana
Ni ushabiki tu....utaishaHotuba za mama .simekaa kama tupo kwenye kikao cha sacos
You are very shallow in analysis of issues. and putting each scenario into its right perspective. Wewe kama inawezekna kujiuzulu, mbona hapa una ID fake. Ungeliweka identity yako ukamkosoa Jiwe bila kujali watu wasiojulikana. Kwa Udikiteita wa Jiwe nani angediliki kusema ukweli wake? Kila mmoja na wewe inclusive, ulitenda usichokiamini kutetea kazi yako na maisha yako. Basi na hao mawaziri/VP walitenda hivyo kwa maslahi ya kazi zao na maisha yao! Nani Africa alijiuzulu kupingana na Boss/kiongozi wake?
Kufuatilia mavi ya kuku.Kama unashindwa hata kufatilia bora upige kimya . sasa niteseke na kitu gani au ndo mwendelezo wa maneno ya vikoba?
Inawezekana...Nahisi kama mleta mada ana multiple ids maana si kwa majibu hayo
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Kwani ilani ndio inasema kwamba usiseme madhaifu ya rais aliye pita ? Kimbuka ile ni ilan ya chama (ccm ) na sio ilani ya magufuli hivyo magufuli kama mtu ameonesha udhaifu mkubwa ambao sio ya kiilani bali ni kwa utashi wake hivyo si vibaya idhaifu wake ukiwekwa bayana maana unakiuka ilani ya chama.JPM alinadi ilani tofauti na ya watangulizi wake. Ilani ya Samia ni ipi?
Bora mavi ya kuku yanaeza kuwa mbolea..kuliko ujuha wa kudandia hoja usiyoielewaKufuatilia mavi ya kuku.
Tulieni mama afanye kazi
Baadhi ya kauli ambazo tumezisikia kutoka kwa Mama Samia na viongozi wengine fulani waliohudumu chini ya JPM zinaonesha kwamba hao viongozi walikuwa wanahubiri na kusimamia wasichokiamini. Kitendo hicho cha kuhubiri na kusimamia wasichokiamini kilikuwa unafiki na utovu mkubwa wa nidhamu kwa wapigakura wa nchi hii. Hili limenikumbusha hata ule utovu wa nidhamu ambao VP na PM waliuonesha wiki nne zilizopita kwa kuwapa wapigakura salaam hewa kutoka kwa Hayati JPM ilhali wakijua JPM alikuwa mahututi ndani ya ICU.
Katika utumishi, sio kitu cha ajabu kuwa na tofauti za kimtazamo juu ya jambo fulani. Hata hivyo, inapotokea kwamba VP au waziri anaamini tofauti za kimtazamo zilizopo kati yake na Rais, juu ya jambo hilo, ni kubwa sana na hazivumiliki endapo Rais atakataa ushauri wake, basi ni bora akajitenga na msimamo wa Rais kwa kujiuzulu.
VP au Waziri akishindwa kujitenga na kitu ambacho anaamini kinaumiza maslahi ya taifa, VP au waziri huyo anakuwa ameonesha udhaifu mkubwa sana wa kiuongozi. Kiongozi lazima awe na ujasiri wa kusimama upande wa haki hata kama kufanya hivyo maana yake ni kupoteza kazi. Vinginevyo, huyo hafai kabisa kushika dhamana kubwa kama hiyo.
Needless to say, VP au Waziri anayehubiri na kusimamia asichokiamini hawezi hata kuweka kiasi sahihi cha juhudi inayohitajika kufikia malengo yaliyotarajiwa. Kwa maneno mengine, yeye anageuka kuwa VP au waziri mzigo.
Mama Samia ameonesha udhaifu wa kiwango cha PhD na amekuwa mfano mbaya kabisa kwa mawaziri wake. Bila shaka, Rais anawaambia mawaziri na taifa zima kwamba unafiki katika Serikali unakubalika. Yumukini mfano wa unafiki aliouonesha ni silaha ambayo wateule wake hawatasita kuitumia dhidi yake. Inasikitisha, to say the least!
Magufuli hakuwahi kuwa mjeshi ila kapita kozi za jeshi kwa mujibu ila si mwana jeshi msipotoshe.Stories za vijiweni hizo! Hayati JPM alikuwa mjeshi; asingebembeleza mtu hata kidogo!
Tunasema hivi, tulieni mama afanye kaziBora mavi ya kuku yanaeza kuwa mbolea..kuliko ujuha wa kudandia hoja usiyoielewa
Kwa Nini usife ukamfuata komredi mwenzio aliyeizamisha nchi hii?Binafsi inaniuma sana..namkumbuka jpm..naona kabsa tunarudi tuliko toka
Sasa kuwa na hoja tofauti kunamzuiaje yeye 'kufanya' hiyo kazi? na sisi ni 'kazi yetu' kusema ya moyoni..nanyi tuacheni tufanye kazi ebo!Tunasema hivi, tulieni mama afanye kazi
Magufuli hakuwahi kuwa mjeshi ila kapita kozi za jeshi kwa mujibu ila si mwana jeshi msipotoshe.
Mliko toka wapi? Hatukuwa na tabia za utekaji kienyeji na ubabe wa kijinga jing huyo mungu wenu alikuja na tabia za kisukuma anataka kupandikiza kwenye taifa tunashukuru mungu akasema HAPANABinafsi inaniuma sana..namkumbuka jpm..naona kabsa tunarudi tuliko toka