Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Kwani ilani ndio inasema kwamba usiseme madhaifu ya rais aliye pita ? Kimbuka ile ni ilan ya chama (ccm ) na sio ilani ya magufuli hivyo magufuli kama mtu ameonesha udhaifu mkubwa ambao sio ya kiilani bali ni kwa utashi wake hivyo si vibaya idhaifu wake ukiwekwa bayana maana unakiuka ilani ya chama.

Ilani inakuelekeza cha kufanya na kwayo ndiyo unaweza kueleza kwanini unafanya tofauti na kilichofanyika huko nyuma!
 
Baadhi ya kauli ambazo tumezisikia kutoka kwa Mama Samia na viongozi wengine fulani waliohudumu chini ya JPM zinaonesha kwamba hao viongozi walikuwa wanahubiri na kusimamia wasichokiamini. Kitendo hicho cha kuhubiri na kusimamia wasichokiamini kilikuwa unafiki na utovu mkubwa wa nidhamu kwa wapigakura wa nchi hii. Hili limenikumbusha hata ule utovu wa nidhamu ambao VP na PM waliuonesha wiki nne zilizopita kwa kuwapa wapigakura salaam hewa kutoka kwa Hayati JPM ilhali wakijua JPM alikuwa mahututi ndani ya ICU.

Katika utumishi, sio kitu cha ajabu kuwa na tofauti za kimtazamo juu ya jambo fulani. Hata hivyo, inapotokea kwamba VP au waziri anaamini tofauti za kimtazamo zilizopo kati yake na Rais, juu ya jambo hilo, ni kubwa sana na hazivumiliki endapo Rais atakataa ushauri wake, basi ni bora akajitenga na msimamo wa Rais kwa kujiuzulu.

VP au Waziri akishindwa kujitenga na kitu ambacho anaamini kinaumiza maslahi ya taifa, VP au waziri huyo anakuwa ameonesha udhaifu mkubwa sana wa kiuongozi. Kiongozi lazima awe na ujasiri wa kusimama upande wa haki hata kama kufanya hivyo maana yake ni kupoteza kazi. Vinginevyo, huyo hafai kabisa kushika dhamana kubwa kama hiyo.

Needless to say, VP au Waziri anayehubiri na kusimamia asichokiamini hawezi hata kuweka kiasi sahihi cha juhudi inayohitajika kufikia malengo yaliyotarajiwa. Kwa maneno mengine, yeye anageuka kuwa VP au waziri mzigo.

Mama Samia ameonesha udhaifu wa kiwango cha PhD na amekuwa mfano mbaya kabisa kwa mawaziri wake. Bila shaka, Rais anawaambia mawaziri na taifa zima kwamba unafiki katika Serikali unakubalika. Yumukini mfano wa unafiki aliouonesha ni silaha ambayo wateule wake hawatasita kuitumia dhidi yake. Inasikitisha, to say the least!
Tanzania hatuna Rais,CCM tumeingia choo cha kike.
 
Sasa kuwa na hoja tofauti kunamzuiaje yeye 'kufanya' hiyo kazi? na sisi ni 'kazi yetu' kusema ya moyoni..nanyi tuacheni tufanye kazi ebo!
Wala hamjazuiwa. Nyinyi ndio wale mtumiao midomo yenu kusifia na kuabudu ili mpate kula na kunya. Sasa kiama chenu kimefika mama hataki kusifiwa wala kuabudiwa!

Hoja tofauti, mna hoja gani nyinyi???
 
Wala hamjazuiwa. Nyinyi ndio wale mtumiao midomo yenu kusifia na kuabudu ili mpate kula na kunya. Sasa kiama chenu kimefika mama hataki kusifiwa wala kuabudiwa!

Hoja tofauti, mna hoja gani nyinyi???
Unapiga ramli tu hoja zimeshakuisheni..usitopoleke mbele ya mtu usiyemjua!
 
Baadhi ya kauli ambazo tumezisikia kutoka kwa Mama Samia na viongozi wengine fulani waliohudumu chini ya JPM zinaonesha kwamba hao viongozi walikuwa wanahubiri na kusimamia wasichokiamini. Kitendo hicho cha kuhubiri na kusimamia wasichokiamini kilikuwa unafiki na utovu mkubwa wa nidhamu kwa wapigakura wa nchi hii. Hili limenikumbusha hata ule utovu wa nidhamu ambao VP na PM waliuonesha wiki nne zilizopita kwa kuwapa wapigakura salaam hewa kutoka kwa Hayati JPM ilhali wakijua JPM alikuwa mahututi ndani ya ICU.

Katika utumishi, sio kitu cha ajabu kuwa na tofauti za kimtazamo juu ya jambo fulani. Hata hivyo, inapotokea kwamba VP au waziri anaamini tofauti za kimtazamo zilizopo kati yake na Rais, juu ya jambo hilo, ni kubwa sana na hazivumiliki endapo Rais atakataa ushauri wake, basi ni bora akajitenga na msimamo wa Rais kwa kujiuzulu.

VP au Waziri akishindwa kujitenga na kitu ambacho anaamini kinaumiza maslahi ya taifa, VP au waziri huyo anakuwa ameonesha udhaifu mkubwa sana wa kiuongozi. Kiongozi lazima awe na ujasiri wa kusimama upande wa haki hata kama kufanya hivyo maana yake ni kupoteza kazi. Vinginevyo, huyo hafai kabisa kushika dhamana kubwa kama hiyo.

Needless to say, VP au Waziri anayehubiri na kusimamia asichokiamini hawezi hata kuweka kiasi sahihi cha juhudi inayohitajika kufikia malengo yaliyotarajiwa. Kwa maneno mengine, yeye anageuka kuwa VP au waziri mzigo.

Mama Samia ameonesha udhaifu wa kiwango cha PhD na amekuwa mfano mbaya kabisa kwa mawaziri wake. Bila shaka, Rais anawaambia mawaziri na taifa zima kwamba unafiki katika Serikali unakubalika. Yumukini mfano wa unafiki aliouonesha ni silaha ambayo wateule wake hawatasita kuitumia dhidi yake.

Madam yupo sawa
May Mosi anamaliza kabisa
Tulieni ni zam

Ukweli wa Mambo hatuna kiongozi ni matatizo matupu tutajuta ,sababu tunarudishwa enzi za ubwana na utwana .mama upeo wake ni mdogo sana na ujasiri Hana hata kidogo.
kweli kabsa huyu mama hamna kitu
 
Kama kuna kitu hakikuwa sawa, lakini alishindwa kujitenga nacho, hana namna sahihi ya kukikana isipokuwa unafiki! Where’s collective responsibility?
Mbona hata Magufuli katika baadhi ya mambo hakuwa sawa na Kikwete lakini hakujiuzulu? Pia tukumbuke marehemu alikuwa mbishi na hashauriki
 
Mbona umeme wa gas na bandari ya Bagamoyo iliachwa, nini Stiegliers bhana, wewe pambana na hali yako tu.

Gas kitu gani....wewe Either utakuwa Mnufaika Kwenye gas,Tuache sisi maskini na Umeme wa Maji,Bandari ya Bagamoyo ya akifisadi tuu jwa Dili ka Wachache...
Waanike Makubaliano wayajue Kupitia Bungeni Tuone!
Mbona Mnaogopa?
 
Mwache mama afanye kazi, 2025 Una uhakika gani wa kupiga hiyo kura yako ya kumkomoa mama?! Rais mama SSH, amewekwa kwenye kile kiti na uamuzi wa Mungu mwenyewe, Wewe ni Nani ulete matisho yako ya Nyau!!?
 
Ukumbi mzima ambao ulijaa makatibu na mawaziri nao ulikuwa unampigia makofi !
Mama Napwaya Sana.
Yaani Mama as if alikuwa sio sehemu ya Baraza la mawaziri.

Wacha tuone hii cheap popularity inako mpeleka.

Huyu ataishia kuwa omba omba huko ng'ambo.
 
Baadhi ya kauli ambazo tumezisikia kutoka kwa Mama Samia na viongozi wengine fulani waliohudumu chini ya JPM zinaonesha kwamba hao viongozi walikuwa wanahubiri na kusimamia wasichokiamini. Kitendo hicho cha kuhubiri na kusimamia wasichokiamini kilikuwa unafiki na utovu mkubwa wa nidhamu kwa wapigakura wa nchi hii. Hili limenikumbusha hata ule utovu wa nidhamu ambao VP na PM waliuonesha wiki nne zilizopita kwa kuwapa wapigakura salaam hewa kutoka kwa Hayati JPM ilhali wakijua JPM alikuwa mahututi ndani ya ICU.

Katika utumishi, sio kitu cha ajabu kuwa na tofauti za kimtazamo juu ya jambo fulani. Hata hivyo, inapotokea kwamba VP au waziri anaamini tofauti za kimtazamo zilizopo kati yake na Rais, juu ya jambo hilo, ni kubwa sana na hazivumiliki endapo Rais atakataa ushauri wake, basi ni bora akajitenga na msimamo wa Rais kwa kujiuzulu.

VP au Waziri akishindwa kujitenga na kitu ambacho anaamini kinaumiza maslahi ya taifa, VP au waziri huyo anakuwa ameonesha udhaifu mkubwa sana wa kiuongozi. Kiongozi lazima awe na ujasiri wa kusimama upande wa haki hata kama kufanya hivyo maana yake ni kupoteza kazi. Vinginevyo, huyo hafai kabisa kushika dhamana kubwa kama hiyo.

Needless to say, VP au Waziri anayehubiri na kusimamia asichokiamini hawezi hata kuweka kiasi sahihi cha juhudi inayohitajika kufikia malengo yaliyotarajiwa. Kwa maneno mengine, yeye anageuka kuwa VP au waziri mzigo.

Mama Samia ameonesha udhaifu wa kiwango cha PhD na amekuwa mfano mbaya kabisa kwa mawaziri wake. Bila shaka, Rais anawaambia mawaziri na taifa zima kwamba unafiki katika Serikali unakubalika. Yumukini mfano wa unafiki aliouonesha ni silaha ambayo wateule wake hawatasita kuitumia dhidi yake. Inasikitisha, to say the least!
Kwani hujawahi kusikia mama akitaka kujiuzulu kipindi cha Jiwe akazuiliwa na kina Mkapa? Au unaleta unafiki wako hapa!
 
Kwani hujawahi kusikia mama akitaka kujiuzulu kipindi cha Jiwe akazuiliwa na kina Mkapa? Au unaleta unafiki wako hapa!

Hizo stories za vijiweni. Fursa ya kuacha hiccup ilikuwepo baada ya term ya kwanza. Angemuomba JPM asimpendekeze yeye kuwa running mate wake!
 
Back
Top Bottom