Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Nyiee acheni mambo yenu, Zama za Mwendazake zimeshaisha.
Kwani JPM alijiuzulu uwaziri wakati wa Kikwete? Mbona hamkumuita mnafiki wakati anamkosoa hadharani baada ya kuwa raisi?
Msiwe ma sore looser, mipango ya mungu haiwezi shindwa na nyie wanadam.

Tuoneshe ilani ya Samia ambayo ni tofauti na ya mtangulizi wake!
 
Ni mmoja wa vyeti feki au? Hao waache wafie mbali bhana! Vyeti feki! NO! Hata kama tumempata rais mwenye vyeti vya aina hiyo, NO!

Ha ha ha ha

Shida nyie huwa mnakuwa too personal mtu akitoa maoni basi anajibeba yeye.

Waliita vyeti feki lakini hawakuwa na vyeti vya kidato Cha nne, walisoma mpaka vyuo...wengine walikuwa na vyeti 2 kwaajili ya kurudia.

It was very unfair kuwatoa bila mafao.


Mi bado nipo kazini nadunda na vyeti vyote kuanzia la saba mpaka Masters halafu viko vizuri sana....kichwa kiko vizuri.
 
Kwahiyo yeye kusema Mama Samia ndio rais wa JMT ndio hallucination???

😀😀😀😀😀😀😀😀

Mnateseka sana
Kama unashindwa hata kufatilia bora upige kimya . sasa niteseke na kitu gani au ndo mwendelezo wa maneno ya vikoba?
 

Siyo kila mwenye mtazamo tofauti na wako ana maslahi binafsi serikalini. Nina miaka zaidi ya 25 tangu nitoke katika civil service!

Your reasoning is seriously handicapped. Are you saying that no one should be prosecuted and convicted for theft that one actually committed, just because there are so many people who steal every day?
 
JPM alinadi ilani tofauti na ya watangulizi wake. Ilani ya Samia ni ipi?
Kwani ilani ndio inasema kwamba usiseme madhaifu ya rais aliye pita ? Kimbuka ile ni ilan ya chama (ccm ) na sio ilani ya magufuli hivyo magufuli kama mtu ameonesha udhaifu mkubwa ambao sio ya kiilani bali ni kwa utashi wake hivyo si vibaya idhaifu wake ukiwekwa bayana maana unakiuka ilani ya chama.
 

Haya ni maoni yako. Wengine tunaona amefanya kitendo cha kijasiri kuibua, kutimua na kubadili madudu yaliyokuwa yakiendelea nyuma ya pazia. Kiongozi hutakiwi kususa na kujiuzuru kila ushauri wako unapokataliwa, mama alikuwa na maono na akasubiri wakati muafaka ambao ndio huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…