Tatizo mnaonekana kwa uwazi kabisa kuwa mna GUBU ..... SUKUMA & CO . LTDSasa kuwa na hoja tofauti kunamzuiaje yeye 'kufanya' hiyo kazi? na sisi ni 'kazi yetu' kusema ya moyoni..nanyi tuacheni tufanye kazi ebo!
Limeisha hilo...Kuna tofauti kati ya mjeshi na mwanajeshi!
Sawa braza hamna shida..naona hoja zimeisha sasaTatizo mnaonekana kwa uwazi kabisa kuwa mna GUBU ..... SUKUMA & CO . LTD
Kwani ilani ndio inasema kwamba usiseme madhaifu ya rais aliye pita ? Kimbuka ile ni ilan ya chama (ccm ) na sio ilani ya magufuli hivyo magufuli kama mtu ameonesha udhaifu mkubwa ambao sio ya kiilani bali ni kwa utashi wake hivyo si vibaya idhaifu wake ukiwekwa bayana maana unakiuka ilani ya chama.
Tanzania hatuna Rais,CCM tumeingia choo cha kike.Baadhi ya kauli ambazo tumezisikia kutoka kwa Mama Samia na viongozi wengine fulani waliohudumu chini ya JPM zinaonesha kwamba hao viongozi walikuwa wanahubiri na kusimamia wasichokiamini. Kitendo hicho cha kuhubiri na kusimamia wasichokiamini kilikuwa unafiki na utovu mkubwa wa nidhamu kwa wapigakura wa nchi hii. Hili limenikumbusha hata ule utovu wa nidhamu ambao VP na PM waliuonesha wiki nne zilizopita kwa kuwapa wapigakura salaam hewa kutoka kwa Hayati JPM ilhali wakijua JPM alikuwa mahututi ndani ya ICU.
Katika utumishi, sio kitu cha ajabu kuwa na tofauti za kimtazamo juu ya jambo fulani. Hata hivyo, inapotokea kwamba VP au waziri anaamini tofauti za kimtazamo zilizopo kati yake na Rais, juu ya jambo hilo, ni kubwa sana na hazivumiliki endapo Rais atakataa ushauri wake, basi ni bora akajitenga na msimamo wa Rais kwa kujiuzulu.
VP au Waziri akishindwa kujitenga na kitu ambacho anaamini kinaumiza maslahi ya taifa, VP au waziri huyo anakuwa ameonesha udhaifu mkubwa sana wa kiuongozi. Kiongozi lazima awe na ujasiri wa kusimama upande wa haki hata kama kufanya hivyo maana yake ni kupoteza kazi. Vinginevyo, huyo hafai kabisa kushika dhamana kubwa kama hiyo.
Needless to say, VP au Waziri anayehubiri na kusimamia asichokiamini hawezi hata kuweka kiasi sahihi cha juhudi inayohitajika kufikia malengo yaliyotarajiwa. Kwa maneno mengine, yeye anageuka kuwa VP au waziri mzigo.
Mama Samia ameonesha udhaifu wa kiwango cha PhD na amekuwa mfano mbaya kabisa kwa mawaziri wake. Bila shaka, Rais anawaambia mawaziri na taifa zima kwamba unafiki katika Serikali unakubalika. Yumukini mfano wa unafiki aliouonesha ni silaha ambayo wateule wake hawatasita kuitumia dhidi yake. Inasikitisha, to say the least!
Wala hamjazuiwa. Nyinyi ndio wale mtumiao midomo yenu kusifia na kuabudu ili mpate kula na kunya. Sasa kiama chenu kimefika mama hataki kusifiwa wala kuabudiwa!Sasa kuwa na hoja tofauti kunamzuiaje yeye 'kufanya' hiyo kazi? na sisi ni 'kazi yetu' kusema ya moyoni..nanyi tuacheni tufanye kazi ebo!
Unapiga ramli tu hoja zimeshakuisheni..usitopoleke mbele ya mtu usiyemjua!Wala hamjazuiwa. Nyinyi ndio wale mtumiao midomo yenu kusifia na kuabudu ili mpate kula na kunya. Sasa kiama chenu kimefika mama hataki kusifiwa wala kuabudiwa!
Hoja tofauti, mna hoja gani nyinyi???
Baadhi ya kauli ambazo tumezisikia kutoka kwa Mama Samia na viongozi wengine fulani waliohudumu chini ya JPM zinaonesha kwamba hao viongozi walikuwa wanahubiri na kusimamia wasichokiamini. Kitendo hicho cha kuhubiri na kusimamia wasichokiamini kilikuwa unafiki na utovu mkubwa wa nidhamu kwa wapigakura wa nchi hii. Hili limenikumbusha hata ule utovu wa nidhamu ambao VP na PM waliuonesha wiki nne zilizopita kwa kuwapa wapigakura salaam hewa kutoka kwa Hayati JPM ilhali wakijua JPM alikuwa mahututi ndani ya ICU.
Katika utumishi, sio kitu cha ajabu kuwa na tofauti za kimtazamo juu ya jambo fulani. Hata hivyo, inapotokea kwamba VP au waziri anaamini tofauti za kimtazamo zilizopo kati yake na Rais, juu ya jambo hilo, ni kubwa sana na hazivumiliki endapo Rais atakataa ushauri wake, basi ni bora akajitenga na msimamo wa Rais kwa kujiuzulu.
VP au Waziri akishindwa kujitenga na kitu ambacho anaamini kinaumiza maslahi ya taifa, VP au waziri huyo anakuwa ameonesha udhaifu mkubwa sana wa kiuongozi. Kiongozi lazima awe na ujasiri wa kusimama upande wa haki hata kama kufanya hivyo maana yake ni kupoteza kazi. Vinginevyo, huyo hafai kabisa kushika dhamana kubwa kama hiyo.
Needless to say, VP au Waziri anayehubiri na kusimamia asichokiamini hawezi hata kuweka kiasi sahihi cha juhudi inayohitajika kufikia malengo yaliyotarajiwa. Kwa maneno mengine, yeye anageuka kuwa VP au waziri mzigo.
Mama Samia ameonesha udhaifu wa kiwango cha PhD na amekuwa mfano mbaya kabisa kwa mawaziri wake. Bila shaka, Rais anawaambia mawaziri na taifa zima kwamba unafiki katika Serikali unakubalika. Yumukini mfano wa unafiki aliouonesha ni silaha ambayo wateule wake hawatasita kuitumia dhidi yake.
Madam yupo sawa
May Mosi anamaliza kabisa
Tulieni ni zam
kweli kabsa huyu mama hamna kituUkweli wa Mambo hatuna kiongozi ni matatizo matupu tutajuta ,sababu tunarudishwa enzi za ubwana na utwana .mama upeo wake ni mdogo sana na ujasiri Hana hata kidogo.
Afadhali ya mama kuliko yule diktete uchwala na dhulumati,Ukweli wa Mambo hatuna kiongozi ni matatizo matupu tutajuta ,sababu tunarudishwa enzi za ubwana na utwana .mama upeo wake ni mdogo sana na ujasiri Hana hata kidogo.
Mbona hata Magufuli katika baadhi ya mambo hakuwa sawa na Kikwete lakini hakujiuzulu? Pia tukumbuke marehemu alikuwa mbishi na hashaurikiKama kuna kitu hakikuwa sawa, lakini alishindwa kujitenga nacho, hana namna sahihi ya kukikana isipokuwa unafiki! Where’s collective responsibility?
Mbona umeme wa gas na bandari ya Bagamoyo iliachwa, nini Stiegliers bhana, wewe pambana na hali yako tu.
Mama Napwaya Sana.
Yaani Mama as if alikuwa sio sehemu ya Baraza la mawaziri.
Wacha tuone hii cheap popularity inako mpeleka.
Huyu ataishia kuwa omba omba huko ng'ambo.
Acha uongo.
Nchi itakwenda vizuri zaidi kuliko enzi za utumwani mwa Magufuli.
Hivi unajua kutofautiana mtazamo na rais unaweka maisha yako rehani?
Kwani hujawahi kusikia mama akitaka kujiuzulu kipindi cha Jiwe akazuiliwa na kina Mkapa? Au unaleta unafiki wako hapa!Baadhi ya kauli ambazo tumezisikia kutoka kwa Mama Samia na viongozi wengine fulani waliohudumu chini ya JPM zinaonesha kwamba hao viongozi walikuwa wanahubiri na kusimamia wasichokiamini. Kitendo hicho cha kuhubiri na kusimamia wasichokiamini kilikuwa unafiki na utovu mkubwa wa nidhamu kwa wapigakura wa nchi hii. Hili limenikumbusha hata ule utovu wa nidhamu ambao VP na PM waliuonesha wiki nne zilizopita kwa kuwapa wapigakura salaam hewa kutoka kwa Hayati JPM ilhali wakijua JPM alikuwa mahututi ndani ya ICU.
Katika utumishi, sio kitu cha ajabu kuwa na tofauti za kimtazamo juu ya jambo fulani. Hata hivyo, inapotokea kwamba VP au waziri anaamini tofauti za kimtazamo zilizopo kati yake na Rais, juu ya jambo hilo, ni kubwa sana na hazivumiliki endapo Rais atakataa ushauri wake, basi ni bora akajitenga na msimamo wa Rais kwa kujiuzulu.
VP au Waziri akishindwa kujitenga na kitu ambacho anaamini kinaumiza maslahi ya taifa, VP au waziri huyo anakuwa ameonesha udhaifu mkubwa sana wa kiuongozi. Kiongozi lazima awe na ujasiri wa kusimama upande wa haki hata kama kufanya hivyo maana yake ni kupoteza kazi. Vinginevyo, huyo hafai kabisa kushika dhamana kubwa kama hiyo.
Needless to say, VP au Waziri anayehubiri na kusimamia asichokiamini hawezi hata kuweka kiasi sahihi cha juhudi inayohitajika kufikia malengo yaliyotarajiwa. Kwa maneno mengine, yeye anageuka kuwa VP au waziri mzigo.
Mama Samia ameonesha udhaifu wa kiwango cha PhD na amekuwa mfano mbaya kabisa kwa mawaziri wake. Bila shaka, Rais anawaambia mawaziri na taifa zima kwamba unafiki katika Serikali unakubalika. Yumukini mfano wa unafiki aliouonesha ni silaha ambayo wateule wake hawatasita kuitumia dhidi yake. Inasikitisha, to say the least!
Acha usukuma gang weweKwani hujawahi kusikia mama akitaka kujiuzulu kipindi cha Jiwe akazuiliwa na kina Mkapa? Au unaleta unafiki wako hapa!
Huyu mama anajitambu kushinda masukuma gang yoteAcha usukuma gang wewe
Hujielewi we matagaAcha usukuma gang wewe
Kwani hujawahi kusikia mama akitaka kujiuzulu kipindi cha Jiwe akazuiliwa na kina Mkapa? Au unaleta unafiki wako hapa!