Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Wtz hatjui tunataka nn, kwhyo unataka mama akopi njia za hayati..
Fanya we ukiona bi mkubwa anakosea ebooo ....
Ukizingua tutazinguana , nasema uongo ndugu zangu
 
Huyu mama ataongoza kama kiongozi wa kawaida.

Sidhani kama ana vision.

ie anataka kutupeleka wapi katika levo za kiuchumi.

Hatutaki kwenda huo Uchumi wa Juu wa kinafiki ambao taarifa yake inaishia kwenye Makaratasi na sio hali halisi ya Wananchi.
 
Unavyosema uswahili unamaanisha nini? Inmaana sisi waswahili waswahili hatustahili kuongoza hii nchi? Au hatuna akili?

Uhuru wa nchi hii umeletwa na hao unaowaita waswahili wakati babu zako hawajui Dar ipo upande gani.
 
Huyu mama ataongoza kama kiongozi wa kawaida.

Sidhani kama ana vision.

ie anataka kutupeleka wapi katika levo za kiuchumi.
Mkuu mimi nadhani wewe ndio huna vision sio mama mnazungumzia level za uchumi wa kwenye makaratasi wakati umasikini umekua Kama ngozi na damu haviachani...
 
Hao ndio ccm....unafiki, uongo na kila aina ya uovu.... Kwa nini hukuandika kirahisi tu kuwa samia ni mbobezi mwenzako na magufuli waliohitimu kwa unafiki?! Kwa sababu...magufuli akiwa waziri alisimamia kipi alichokiamini?!
 
Mtaweweseka sana

Bisha kwa hoja! Ni uamuzi gani mgumu hawa wengine wamewahi kufanya?

Hata 2015 NEC meeting kwa ajili ya nomination ya CCM presidential candidate tu JKM ilimshinda mpaka BWM akalazimika kuokoa jahazi!
 
Bisha kwa hoja! Ni uamuzi gani mgumu hawa wengine wamewahi kufanya?

Hata 2015 NEC meeting kwa ajili ya nomination ya CCM presidential candidate tu JKM ilimshinda mpaka BWM akalazimika kuokoa jahazi!
Acha unafiki wewe. Yaan JK imshinde kuchagua. We hujui nguvu ya mwenyekiti wa CCM. RAIS SAMIA ATAKUWA KIONGOZI BORA KULIKO YULE MAREHEMU.
 
Hahahahaaahaha ila Polepole alisema CCM itatawala zaidi ya miaka 100
Unafiki wake nini, mbona hayati nae alikuwa hivo hivo wakati anamuambia JK asafir tu ili alete mahela, alivoingia unakumbuka akasemaje na akatendaje?

Mtateseka sana, nchi imechukuliwa na CDM kiulaini bila hata push up yani.
 
Mwendazake amemaliza mwendo wake, wengi mnaumia kwani vile mlivyozoea sio tena hivyo, kuna umuhimu wa kukubali hali halisi na kusonga mbele kwa kujenga nchi yetu kwa kuitekeleza ilani!!! Kulia lia hakuwezi kumrudisha mwendazake, siku 21 za kuomboleza zimekwisha sasa upende usipende kijiti kimepokewa na Rais Samia ndio anaongoza jamhuri ya Tanzania.
 

Bila kukinga bakuli kwa mabeberu, huyu hana ujanja wa kuendesha hii nchi. Kwa hiyo, atalazimika kufuata masharti yote ya mabeberu!
 

Huna unachokijua, Utamlaumu vipi ilhali yeye hakuwa kwenye power? Kama kutakuwa na cha kumlaumu ni wakati huu ambapo yeye ndio top,nadhan mama apewe muda.,

Wakati wa mwendazake sio mama tu alikuwa kimya ata hao kina kigwangala hali ilikuwa hairuhusu

Kama unataka kumpima mama ni kwa hii miaka minne kabla uchaguzi mkuu
 
Ushauri kwa mama apunguze mishe za kuonekana kwenye midia mara kwa mara.... Itamjengea heshima sana.
 

Najua fursa za kukwepa kodi na kupiga dili ndiyo aina ya ustaarabu mnayopigania!
 

Kiongozi asiyeweza kusimamia anachokiamini hatufai, kwa sababu “ana tabia ya kimalaya malaya; ananunulika”!
 
Hakuna namna...Tanzania yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…