Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Hiyo katibampya mnayoimba kila siku itaendelea kuwa ndoto ya mchana. Hakuna mtu ambaye yuko tayari kupunguza madaraka yake.
 
Sasa ulitaka ashinde nani ? Mbeligiji ? Hauko serious.
 
Katika utumishi, sio kitu cha ajabu kuwa na tofauti za kimtazamo juu ya jambo fulani. Hata hivyo, inapotokea kwamba VP au waziri anaamini tofauti za kimtazamo zilizopo kati yake na Rais, juu ya jambo hilo, ni kubwa sana na hazivumiliki endapo Rais atakataa ushauri wake, basi ni bora akajitenga na msimamo wa Rais kwa kujiuzulu.
Kujiuzulu bongo!njaa mbaya Sana.
 
Hata akiboronga sioni taabu..la msingi awaondolee ugumu wa maisha watanzania..watu wawe na amani ya mioyo yao...watu wawe na upendo...chuki ziondokee... watu wawe huru kutoa ya moyoni...maamuzi yasiwe ya mtu mmoja...ubaguzi ufie mbali nk....
 
Mkuu mimi nadhani wewe ndio huna vision sio mama mnazungumzia level za uchumi wa kwenye makaratasi wakati umasikini umekua Kama ngozi na damu haviachani...
Unaona sehemu fupi kutokana na ufinyu wa fikra....au ushabiki maandazi
 
Tumuombeeni ataweza tu, Kwa Mungu kila kitu kinawezekana

Hayati alisema tumuombee, mimi na wewe tunajua nini kilitokea.

Maisha yapo on autopilot maombi hayana impact yoyote.
 
NaWao waliokaaa kimya huku mambo hayae di wabapiga makofi Swala la Muda tu.. CCM NI ILE WATAISOMA MWAKA HUU WATAISOMA
 
Saiv ccm kimekua chama cha upinzani.

Wanapinga kila kitu aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Maisha yanaenda kasi sanaa[emoji23][emoji23][emoji23]

Hata wakojolee mbingu kama popo haiwezi badilisha matokeo.

Wanachokiona ndo uhalisia wenyewe tuwasaidie kuwashtua kwamba Hawapo ndotoni

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani wakilega lega kidogo tu kina ridhiwani watatake over. inasikitisha vp na pm walivyotudangaya wakati uleraisi anaumwa na amezidiwa...sasa imani yetu kwao ishapungu na tunaamini pia hawajatuambia ukweli kuhusu kifo chake. kwanini wasimtaje aliyemchoma sindano na aliyeagiza achomwe? huu ni unafiki gani jamani. yaani tusipoangalia nchi itauzwa na wananchi wake. tusifanye mzaha...DR JPM ALITUTOA KUBAYA...TUSIRUDI HUKO KAMWE. Mungu atusaidie sana
 
Nyerere hakuendeleza ya wakoloni' Mwinyi hakuendeleza ya Nyerere' Mkapa hakuendeleza ya Mwinyi' kikwete hakuendeleza ya Mkapa' Mwendazake hakuendeleza ya JK why Samia anendeleze ya JPM
 
Praise & Worship Team (2016-2019)!
 
Tukisema huyu Mama hajielewi wala haelewi hii nchi inataka nini kwa sasa,kuna watu wanakuja na hadithi za Sukuma Gang Mara MATAGA!!
Mama itamdhinda hii nchi, wanaijua vizuri wanamshangaa tu, kazi aliyoifanya Magu haina ya kiufananisha na raisi awaye yote aliyepita. Mama analijua hilo, ila unafiki wake wa kujipendekeza kutaka kupendwa na kila MTU itamgharimu tu.
Muda utaongea, mama anachemka sana
 
Kazi gani?? Ya kuua na kuteka watu???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…