chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,522
- 2,651
Kaul yako inafikirisha .Ni suala la muda tu. Hapa hatuna Rais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaul yako inafikirisha .Ni suala la muda tu. Hapa hatuna Rais
Mama yupo vizuri Sana, tatizo nyinyi wanafiki, mnaopenda viongozi wanaowagawa wa Tanzania. Pia Wewe mnafiki namba moja. Dai katiba Mpya inayopunguza madaraka ya Rais.Rais akipewa madaraka anapewa kila kitu. Hata wasaidizi wasiporizika anachofanya Mkuu wao hawana jinsi.
Kwa hiyo ninyi MATAGAJiwe kupora ushindi kwenye uchaguzi mkuu mchana kweupe tena waziwazi kabisa mlikuwa mnaona sawa?Hebu mtuache tupumue sasa hivi.Jamaa alikanyaga katiba na utawala wa sheria.Tanzania kipindi cha Jiwe ilikuwa hakuna tofauti na ile kambi ya Sabibo/concetration camp!
Unaona sehemu fupi kutokana na ufinyu wa fikra....au ushabiki maandaziMkuu mimi nadhani wewe ndio huna vision sio mama mnazungumzia level za uchumi wa kwenye makaratasi wakati umasikini umekua Kama ngozi na damu haviachani...
Naam.MATAGA wamenunuliwa simu na Doto na Bashiru ili wamchafue mh.Rais.
Kazi ipo!
Tumuombeeni ataweza tu, Kwa Mungu kila kitu kinawezekana
NaWao waliokaaa kimya huku mambo hayae di wabapiga makofi Swala la Muda tu.. CCM NI ILE WATAISOMA MWAKA HUU WATAISOMAMama Samia ndio mwokozi, Watanzania walikuwa wanamsubiria. Praise team mtahama nchi.
Mnafiki ni yule aliyekuwa anajifanya mtetezi wa wanyonge kumbe hana lolote.
Eti tunajenga kwa fedha zetu za ndani, kumbe ni fedha za mikopo.
Akwende zake huko akaongoze malaika.
Nyerere hakuendeleza ya wakoloni' Mwinyi hakuendeleza ya Nyerere' Mkapa hakuendeleza ya Mwinyi' kikwete hakuendeleza ya Mkapa' Mwendazake hakuendeleza ya JK why Samia anendeleze ya JPMUchumi gan,kwan hapa tulipo tumeachiwa uchumi gan na huyo Hayati mwendazake..??
Ni kama nyerere alivyoiacha nchi KWA mwinyi tuh,mama ana kaz kubwa ya kufufua uchumi kwanza na iman ya uwekezaji KWA Taifa hili,
Mbona mnaongea kama mmelewa hivi,anasema alikuwa anapambana na ufisadi na rushwa,mbona ameondoka na madudu yako vile vile Tena ni MAKUBWA zaid
Kwasababu ni wadini yako msio ulivyofundishwa kanisaniSo far, viongozi miamba waliopata kutokea kwenye taifa hili ni JKN, BWM na JPM tu!
Praise & Worship Team (2016-2019)!Baadhi ya kauli ambazo tumezisikia kutoka kwa Mama Samia na viongozi wengine fulani waliohudumu chini ya JPM zinaonesha kwamba hao viongozi walikuwa wanahubiri na kusimamia wasichokiamini. Kitendo hicho cha kuhubiri na kusimamia wasichokiamini kilikuwa unafiki na utovu mkubwa wa nidhamu kwa wapigakura wa nchi hii. Hili limenikumbusha hata ule utovu wa nidhamu ambao VP na PM waliuonesha wiki nne zilizopita kwa kuwapa wapigakura salaam hewa kutoka kwa Hayati JPM ilhali wakijua JPM alikuwa mahututi ndani ya ICU.
Katika utumishi, sio kitu cha ajabu kuwa na tofauti za kimtazamo juu ya jambo fulani. Hata hivyo, inapotokea kwamba VP au waziri anaamini tofauti za kimtazamo zilizopo kati yake na Rais, juu ya jambo hilo, ni kubwa sana na hazivumiliki endapo Rais atakataa ushauri wake, basi ni bora akajitenga na msimamo wa Rais kwa kujiuzulu.
VP au Waziri akishindwa kujitenga na kitu ambacho anaamini kinaumiza maslahi ya taifa, VP au waziri huyo anakuwa ameonesha udhaifu mkubwa sana wa kiuongozi. Kiongozi lazima awe na ujasiri wa kusimama upande wa haki hata kama kufanya hivyo maana yake ni kupoteza kazi. Vinginevyo, huyo hafai kabisa kushika dhamana kubwa kama hiyo.
Needless to say, VP au Waziri anayehubiri na kusimamia asichokiamini hawezi hata kuweka kiasi sahihi cha juhudi inayohitajika kufikia malengo yaliyotarajiwa. Kwa maneno mengine, yeye anageuka kuwa VP au waziri mzigo.
Mama Samia ameonesha udhaifu wa kiwango cha PhD na amekuwa mfano mbaya kabisa kwa mawaziri wake. Bila shaka, Rais anawaambia mawaziri na taifa zima kwamba unafiki katika Serikali unakubalika. Yumukini mfano wa unafiki aliouonesha ni silaha ambayo wateule wake hawatasita kuitumia dhidi yake. Inasikitisha, to say the least!
Mama itamdhinda hii nchi, wanaijua vizuri wanamshangaa tu, kazi aliyoifanya Magu haina ya kiufananisha na raisi awaye yote aliyepita. Mama analijua hilo, ila unafiki wake wa kujipendekeza kutaka kupendwa na kila MTU itamgharimu tu.Tukisema huyu Mama hajielewi wala haelewi hii nchi inataka nini kwa sasa,kuna watu wanakuja na hadithi za Sukuma Gang Mara MATAGA!!
AminaTumuombeeni ataweza tu, Kwa Mungu kila kitu kinawezekana
Mama itamdhinda hii nchi, wanaijua vizuri wanamshangaa tu, kazi aliyoifanya Magu haina ya kiufananisha na raisi awaye yote aliyepita. Mama analijua hilo, ila unafiki wake wa kujipendekeza kutaka kupendwa na kila MTU itamgharimu tu.
Muda utaongea, mama anachemka sana
Umekosa Elimu bora mchimbachumvi tuu fulani harafu dharau kibao upo kwenye kipasso hapo kila mtu unamuona pimbi...Unaona sehemu fupi kutokana na ufinyu wa fikra....au ushabiki maandazi
Wewe kenge hakuna mrejesho yule boya aliyeuwa uchumi mrejesho wake nini??Ipitie tena hii kauli yako miaka kadhaa baadaye (mbele ya safari) kisha utupe mrejesho!