LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Mkuu Mimi Cha kwanza ni Tanzania mkuu, mama amejua kuangalia mama Tanzania.mambo ya mavyama Sina muda, kwangu haki, uadilifu na uzalendoVipi umehama toka Saccos ya Chadema umerudi CCM sasa mkuu? Karibu sana kwenye Chama Dume!!
Amegusa unapokula nini...? tulia sindano itagonga mfupa ivunjikie ndaniTofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea
Kwao ccm ni kubwa kuliko Tanzania.Ni ujingaWazalendo uchwara roho zinawauma. Mtakoma chato gang
Kazi Inaendelea mkuu! Nyinyi ndiyo mtakoma hata hiyo saccos yenu ipo hatarini zaidi.Wazalendo uchwara roho zinawauma. Mtakoma chato gang
Haahaa kwa utumishi huu uliotukuka yapande tu mkuu.mama samiha mabega yamepanda juu sasa
Hatuna haja na saccos cha muhimu shetani kafa.Kazi Inaendelea mkuu! Nyinyi ndiyo mtakoma hata hiyo saccos yenu ipo hatarini zaidi.
Kama vipi kasage viwembe umeze ufe.mama samiha mabega yamepanda juu sasa
Karibu sana tuendelee kutekeleza ilani ya Chama Dume CCM mkuu.Mkuu Mimi Cha kwanza ni Tanzania mkuu, mama amejua kuangalia mama Tanzania.mambo ya mavyama Sina muda, kwangu haki, uadilifu na uzalendo
Kwangu chama chochote kikifa sawa tu, Cha msingi utanzania wetu.Mama Samia ni mzalendo wa kweli Sio yule mwenda zakeKazi Inaendelea mkuu! Nyinyi ndiyo mtakoma hata hiyo saccos yenu ipo hatarini zaidi.
Mataga Kama humkubaliani na sera za mama hameni nchi
Kama alivyokufa mama yako mzazi kwa kubakwa!! Pole sana!!Hatuna haja na saccos cha muhimu shetani kafa.
Wewe ni moja Kati ya wasiojielewa na huwenda hauko Sawa!Watashughulikiwa hao chato gang
Kama kutenda haki,uadilifu, na kuachana na ya hovyo ya yule mwenda zake Niko radhi mkuuKaribu sana tuendelee kutekeleza ilani ya Chama Dume CCM mkuu.
Uzuri anaendeleza alichokiacha Mwendazake tunashukuru Mungu kwa hilo.Kwangu chama chochote kikifa sawa tu, Cha msingi utanzania wetu.Mama Samia ni mzalendo wa kweli Sio yule mwenda zake