Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
Mama 10 tena,nishaanza kunenepa na mimiNyumbu haoView attachment 1745303
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama 10 tena,nishaanza kunenepa na mimiNyumbu haoView attachment 1745303
Kuna I'd mpya kibao jf, na zote zimeanza kumkosoa MamaSi nasikia kuna TIMU CHATO ambayo inamikakati ya kukwamisha mama na kumkosoa kwa kila afanyacho eti kisa kaanza kueleza ukweli wa yale yaliyo kuwa yanatendeka sirini, naona mmeanza kazi sasa.
Hama nchi mkuuMimi kwa kweli nimeshakata tamaa..
Kunywa sumu tuuMimi kwa kweli nimeshakata tamaa..
MatagaNyumbu haoView attachment 1745303
Sindano zinawachoma[emoji23][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
Nyumbu haoView attachment 1745303
Haya baada ya muda hata Mama Samia utasema hivyo tu kwa kuwa una mission yako ya kifisadi. Mkuu achana na ufisadi hautakusaidia.Mnafiki sana huyu.
Anza wewe #posKunywa sumu tuu
Mama anatufaa sana... Natamani aongezewe miaka 15
Una uhakika nipo nchini?Hama nchi mkuu