Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
Anza wewe #posKunywa sumu ujifie kabisa wala hatuna hasara sisi tuko na Mama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anza wewe #posKunywa sumu ujifie kabisa wala hatuna hasara sisi tuko na Mama.
Your assumption failed at its vegetative state..very typical ya mtu mwenye fikrafupi..Sijui, hata kiroho Hama mkuu
Kumsifia mtu haikufungi kumkosoa. Akifanya vyema unamsifia akikosea unamkosoa. Au wewe ubongo wako unasemaje?Hawa Wanaomsifia sasa ndo hao hao Watakaomnanga........Kama Enzi za Mzee Wa Msoga...! Tunaikumbuka ile Kauli Ya ' Raisi Dhaifu' ilitokea Wapi....!
Nipanic na kitu gani hasa?Hahah umepanic tulia dawa yenu inachemka 2025 mtajua mumetuchelewesha
Mama amekaa na jiwe miaka mitano. Anajua nchi inavyoendeshwa kuliko wewe. Anachokifanya anakijua. Mazuri yaliyokuwepo na member: 73501"]
Mama amekaa na jiwe miaka mitano. Anajua nchi inavyoendeshwa kuliko wewe. Anachokifanya anakijua. Mazuri yaliyokuwepo na mabaya yaliyokuwepo anayajua.
pia ana-act kama hakuwa no. 2 vile..very strange strategy, myopic & very costly!binafsi naona anafanya kazi ya kuwafurahisha watu ...ni suala muda tu nadhani kila kitu kitajitenga ktk uhalisia ....hii ni picha kamili ya utawala wa jakaya kujirudia
Anatufaa kwa sababu anaongea maneno matamu matamu aliyoandikiwa ili kufurahisha hadhira?
Watu wameshajua udhaifu wa mama JPM si kwamba alikuwa achungulii mtandaoni alikuwa anachungulia sana ila alikuwa anachukua hatua siku zimepita hata kama mawazo yametoka mtandaoni.Mkuu upo sahihi sana,ndio maana nasema Mama hana uwezo wowote kiuongozi hana maono,hana misimamo ,ni mtu wa kuangalia upepo unaendaje kwenye mitandao, na kwa style yake hii anaenda kufeli vibaya!!
Tuna no 1anayenukia unafiki..thats all.
Mwendazake pia alikuwa anafurahisha watu.
Kama akina Sabaya,bashite,gwajima,jaffo .nk
Jamii ya Chato ilifurahi kwa upendeleo ule