Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Bado nipo optimistic na huyu mama kujali maslahi ya raia wake, maana bwana yule alikandamiza maslahi ya wengine ili mradi apate pesa ya kufanya white elephant project zake kama manunuzi ya ndege....
 
Mkuu unajua kwamba Magufuli ametengeneza utegemezi mkubwa sana kwa taifa hili? Amekopa karibu trilioni 25 kwa miaka mitano ambazo ni mzigo mkubwa kwetu leo. Hakuwa mkweli na hakujua uchumi. Nchi ilikuwa inaenda kuanguka vibaya sana, Mungu ametuokoa.

Uwekezaji ndio dawa na mama ameshajua hilo.
 
We hujaona hoja hapo??? Kukopa fedha na kutengeneza madeni makubwa kwa Taifa huku akienda kujenga kijijini kwao chato ndo kuifanya nchi initegemee???

Lazima sukuma gang mteseke sana Safari hii!
Mkuu jenga hoja kwa maslahi mapana ya nchi,achana na chuki binafsi!!
 
Bado nipo optimistic na huyu mama kujali maslahi ya raia wake, maana bwana yule alikandamiza maslahi ya wengine ili mradi apate pesa ya kufanya white elephant project zake kama manunuzi ya ndege....


Haina shida mkuu ngoja tuone atatupeleka wapi?...hofu yangu ni kwamba,kwa nje inawezekana kuona anajali maslahi ya wengi,ila kwa ndani huko watu wanagawana nchi na mabeberu kwa maslahi yao binafsi!!
 
Mama Samia ameshasema KAZI INAENDELEA! kwa hiyo kila kitu kinaendelea kama kawaida sasa nyinyi mnaoomba eti apige chini miradi ya ilani ya CCM mnapoteza muda wenu tu. Hangaikeni na Saccos yenu.
Kuna wapinzani wa Rais mama samia wameibuka ndani ya ccm magufuli , sijawahi kuwa saccos wala sehemu ya saccos ila nilikerwa na matendo ya magufuli pamoja kuwa nilikuwa namuunga mkono sana lakini alipo anza kupotoka sikuwa na haja ya kuwa mnafiki.
 
Jibu swali kama mlilinda ajira za wazawa kwa nini kwenye kipindi cha huyo fedhuli wenu magufuli ndo vijana wengi kutoka vyuoni walikosa ajira na watu wengi waliokuwa kwenye ajira walipoteza kazi zao kutokana na makampuni na biashara kufa???
Hahahha kwa hzi Degree zenu za chupi na Mabinti kutegemea makalio yao baada ya akili kufanya kazi jiandaeni kupoteza ajira zaidi kwa maana hao wawekezaji wanabanwa na sheria sasa wameambiwa waajiri wale wanaowaamini so mwekezaji anaweza ajiri hata mfagiaji mkenya si ndo anamuamini ? Kwa tabia zenu za wizi,uvivu,uongo jiandaeni kupoteza zaidi
 
Vyombo vya usalama kazi yao ni kuongoza serikali? rudi ukasome civics vizuri.....Kwahiyo haupendi Maisha bora kwa kila mtanzania(enzi za jk)? Mlitaka nyie tu Sukuma gang mle bata? Mama anataka kurekebisha madudu yote aliyoyafanya MEKO yakasababisha uchumi upige mweleka.


Kwanza jitahidi kuelewa jambo lolote kabla ya kulizungumzia mkuu,Acha kuendeshwa na mihemko,pili wewe unajitokeza hapa bila aibu kusema zama za JK maisha yalikuwa bora kwa kila Mtanzania?
 
Mama namuona akitupoteza. Sidhani kama atafanya maamuzi magumu na yoyote kwa taifa zaidi ya kufurahisha genge. Na kwa spidi anayoenda nayo, Naona kaja na ajenda yake badala ya kusema anatekeleza ilani ya ccm.
very soon anaenda igawa ccm. Anaonekana ni mtu wa kufuata upepo watu wafurahi. Mpaka sasa sijamkubali.
huyu ndie karata ya upinzani kucheza nayo, wanamvuta akijaa bhaas. Hiyu ndiye anayeenda iua ccm na pia ndiye anayeenda weka mianya ya wajanja kuiibia tena nchi.
 
Mkileta nyenyenyeeee mtashughulikiwa tu. Mama anafanya yale ambayo watanzania wote wanapenda yafanyike bila kujali vyama vyao.
Kushughurikiwa haijawahi kuwa njia ya kuondoa manung'uniko hata siku moja!!

Nimejiridhisha kuwa wewe ni bonge la mshamba usiyeelewa nini maana mawazo kinzani!!

Hoja hujibiwa Kwa hoja sio
 
Mkuu upo sahihi sana,ndio maana nasema Mama hana uwezo wowote kiuongozi hana maono,hana misimamo ,ni mtu wa kuangalia upepo unaendaje kwenye mitandao, na kwa style yake hii anaenda kufeli vibaya!!
Roho mbaya itakuua. Nchi iko salama mikononi mwa mama.
 
Mama namuona akitupoteza. Sidhani kama atafanya maamuzi magumu ya yoyote kwa taifa zaidi ya kufurahisha genge. Na kwa spidi anayoenda nayo, Naona kaja na ajenda yake badala ya kusema anatekeleza ilani ya ccm.
very soon anaenda igawa ccm. Anaonekana ni mtu wa kufuata upepo watu wafurahi. Mpaka sasa sijamkubali.
huyu ndie karata ya upinzani kucheza nayo, wanamvuta akijaa bhaas. Hiyu ndiye anayeenda iua ccm na pia ndiye anayeenda weka mianya ya wajanja kuiibia tena nchi.
Mtanuna mwaka huu. Hameni nchi basi.
 
Back
Top Bottom