Huu ni wakati wa kutengeneza walipa kodi wengi wa baadaye baada ya uchumi wao kuimarika na wao kuweza kuchangia katika kukuza uchumi wa nchi, kwa lugha nyepesi tuanze na maendeleo ya watu ili tuje kwenye maendeleo ya vitu.Hii kauli ya mama sikuielewa kabisa!!
''KWA UAMUZI HUU NAJUA UCHUMI UTATIKISIKA LAKINI NAOMBA TUVUMILIE''
Je ni sahihi Rais kusababisha uchumi kuyumba tena kwa maksudi? Ili kimfurahisha nani? Kamwe kiongozi usiongoze ili kuwafurahisha unaowaongoza.
Kwenye vifurushi kweli wameniwezaUngezea na issue ya vifurushi vya simu, waliotumbua pesa kwenye report ya CAG, uthubutu ni jambo gumu sana anaogopa kutengeneza maadui huko CCM.
Mkuu vyama vya upinzani kupitia wenyeviti wake kama vile Mbowe, Tundu Lisu nk, wanadai kuwa nchini kuna corona. Sasa kama kuna corona kwa mujibu wa maneno yao wenyewe. Hauoni kama wakipewa ruhusa ya kufanya mikutano watasababisha maambukizi yasio ya lazima. Usihamishie lawama kwa raisiKama vyama vya siasa bado vinakatazwa kufanya mikutano ya hadhara ambayo ipo kikatiba, na wewe hujaingilia kati kwa ishu ndogo kama hii ambayo hutapata lawama maana kipo kikatiba, Basi naanza kuwa na mashaka utawala wako.
Najua umezungukwa na wahafidhina wa CCM, lkn Kama dhamira yako, sheria na Katiba vinakupa haki katika kufanya lolote, waambie kuwa kwa hili niacheni.
Minyumbu basi inajua ndio itajiachia muda wa kuchapa kazi huu!!!sio muda wa siasa wayabane hivyo hivyoKama vyama vya siasa bado vinakatazwa kufanya mikutano ya hadhara ambayo ipo kikatiba, na wewe hujaingilia kati kwa ishu ndogo kama hii ambayo hutapata lawama maana kipo kikatiba, Basi naanza kuwa na mashaka utawala wako.
Najua umezungukwa na wahafidhina wa CCM, lkn Kama dhamira yako, sheria na Katiba vinakupa haki katika kufanya lolote, waambie kuwa kwa hili niacheni.
Msibani kwa mwenda zake,mbona hawakuzuia watu kukusanyika?Mkuu vyama vya upinzani kupitia wenyeviti wake kama vile Mbowe, Tundu Lisu nk, wanadai kuwa nchini kuna corona. Sasa kama kuna corona kwa mujibu wao wakipewa ruhusa ya kufanya mikutano watasababisha maambukizi yasio ya lazima
Tumpe Muda na tumwombee yale mashetani yasimzidi nguvu.Kama vyama vya siasa bado vinakatazwa kufanya mikutano ya hadhara ambayo ipo kikatiba, na wewe hujaingilia kati kwa ishu ndogo kama hii ambayo hutapata lawama maana kipo kikatiba, Basi naanza kuwa na mashaka utawala wako.
Najua umezungukwa na wahafidhina wa CCM, lkn Kama dhamira yako, sheria na Katiba vinakupa haki katika kufanya lolote, waambie kuwa kwa hili niacheni.
We subiri,subira huvuta kheriKama vyama vya siasa bado vinakatazwa kufanya mikutano ya hadhara ambayo ipo kikatiba, na wewe hujaingilia kati kwa ishu ndogo kama hii ambayo hutapata lawama maana kipo kikatiba, Basi naanza kuwa na mashaka utawala wako.
Najua umezungukwa na wahafidhina wa CCM, lkn Kama dhamira yako, sheria na Katiba vinakupa haki katika kufanya lolote, waambie kuwa kwa hili niacheni.
Hivi sasa anaandaa hotuba 2 kubwa,moja ni bungeni kabla bunge halijaahirishwa na ya 2 atakapokabidhiwa ccmTumpe Muda na tumwombee yale mashetani yasimzidi nguvu.
Kweli aisee twende polepole. Muda bado upo maana hata mwezu badi atafanya mangapi?? Nikweli serikali ile ye ibilisi mwendazake ilituumiza lakini twende taratibu tutavuka.Mtu hata kuteua ma RC na Ma DC bado
Mnataka kuanza kumpa demands?Hata mwezi bado?
Mbona alipokuwepo Yule jamaa mliufyata kabisa?
Mpeni mda
Kama vyama vya siasa bado vinakatazwa kufanya mikutano ya hadhara ambayo ipo kikatiba, na wewe hujaingilia kati kwa ishu ndogo kama hii ambayo hutapata lawama maana kipo kikatiba, Basi naanza kuwa na mashaka utawala wako.
Najua umezungukwa na wahafidhina wa CCM, lkn Kama dhamira yako, sheria na Katiba vinakupa haki katika kufanya lolote, waambie kuwa kwa hili niacheni.
AMtu hata kuteua ma RC na Ma DC bado
Mnataka kuanza kumpa demands?Hata mwezi bado?
Mbona alipokuwepo Yule jamaa mliufyata kabisa?
Mpeni mda
Kazi ipo mkuuMtu hata kuteua ma RC na Ma DC bado
Mnataka kuanza kumpa demands?Hata mwezi bado?
Mbona alipokuwepo Yule jamaa mliufyata kabisa?
Mpeni mda