Ngurumoyaleo
Member
- Dec 6, 2016
- 54
- 75
Very Goood! Hapo umenena Mkuu, Mama Mhe. Rais aachwe, apewe moyo ili aweze kufanya kazi zake kwa kujiamini na hapo atafanya kwa ufanisiKila mtu amejaa ubinafsi...Judgmental na full of hutred...Mama anajitahidi kuleta umoja tayari makundi yanayotaka upendeleo na uhakika wa interests zao zina mvuta huku na kule...Mpeni basi nafasi, atendee kwa kadri ya ufahamu wake. Weakness kila mtu anayo, ziacheni kwanza weakness zake kuzeni talents zake ili apate confidence ya kuongoza nchi kwa amani na upendo
Katiba mpya ni muhimu lakini si kwa hili bunge linalocheza (kudemka) na ngoma za mitandao I. La mwanzo na muhimu ni kuwa na tume huru na ya haki itakayotupa wabunge ambao ni wawakilishi waliyopata ridhaa ya wananchi ili waweze kuisimamia upitishaji wa katiba mpya.Katiba mpya ndio itaibadilisha hii nchi
Naona kama anatembea kwa kunyata (anakanyaga kwa kunyata). Anakwenda kwa mwendo wa kukiogopa chama chake. Ndani ya CCM waliowengi hawataki kusikia kwamba mama anatenda tofauti na mwendazake. Yaani mawazo yao ni kwamba Samia Suluhu "amefundishwa kazi" na JPM, hivyo atafanya kama JPM. Hili jambo la kifo cha JPM halijawaingia akilini kabisa. Mama ameamua kutumia hizo lugha ili kuwaridhisha wapambe wa mwendazake na wao kwa jinsi walivyochanganyikiwa, wameamini kwamba John na Samia ni kitu kimoja.Too early to pass judgement on Samia Leadership! Tumpe muda angalau hta siku mia moja za mwanzo ni bora zaidi kuliko mwezi mmoja wakati hata muundo wa serikali yake haujakamilika!
Atafanya maamuzi sahihi sana kujiuzuru kabla ya madhira kuwa makubwa... na jinsia yake ya kike.
Kama hana uwezo hana tu... hata apambwe vipi kama hana na hatakuwa nao.Mnalipwa na nani?
Makonda?
Hapo ampe nguvu majaliwa , atamsaidia Sana asimbeze jamaa anaweza , vinginevyo mambo yatamharibikia , nchi ni ngumu kuiongoza .... Yeye abaki Tu kusimamia na kurekebisha mana yeye ndo final and high command, Ila asiwe mbishi na asiye jali raia kama alivyokuwa Jiwe....kwenye usimamizi nilikuwa pamoja na Jiwe, Ila kwenye matumizi tulitofautiana vibaya Sana na jamaaNi kweli mama Ana uwezo mdogo lakini kama wasaidizi wake wakiwa wazuri Basi hamna shida.
Siku zote wanawake huwa Wana uwezo mdogo ndo maana 99.999% ya manabii Ni wanaume...walioacha legacy Wengi Ni wanaume