Mwanga Mkali
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 1,302
- 2,473
Swala sio jinsia yake ni uwezo wake wa kimaamuzi.... tunarudi kulekule tena zaidi ya JK full ushikaji na kubembelezana... mijitu mijizi, mizembe, mirafi unacheka nayo subili tutakapo anza kukopa mishahara kwa kina Rostam ndio utaelewa hawezi. Mfano mdogo tu tume ya Madini unajaza former Barrick employee ndio waongoze unategemea nini? si tupo hapa utaja nielewa tu.Kama mama anaweza kuiongoza familia vivyo hivyo anaweza ongoza raia. Mbali na hapo ni mtazamo hasi kutokukubali kuongozwa na mwanamama
Kwani anaibeba Tanzania kichwani?Huo ni ukweli ulio bayana.
Ukiangalia na kusikia ya hapa na pale ndani ya muda ambao Rais Samia amechukua madaraka hakika magomvi,dharau na kutuhumiana waziwazi kwenye kada mbalimbali kumetamalaki.
Mfano ni katika Idara mbalimbali za Serikali Viongozi wengi kwa muda mfupi baada ya kifo cha Magufuli waziwazi ama wanatishana kuuana kwa sababu ya maslahi ama wanadharauliana na kuchongeana ili tu mmoja wao aonekane bora dhidi ya mwingine.
Kinachosikitisha hayupo yeyote anayewakemea ama kuwaadhibu.Mamlaka za wagomvi wale zipo kimya jambo ambalo katika Utawala uliopita kamwe wajinga wale wasingevumiliwa.
Kwa muktadha huo naliona mapema sana anguko la Samia.
Kwahiyo wewe ndio unaweza kuiongoza tanzaniaHuo ni ukweli ulio bayana.
Ukiangalia na kusikia ya hapa na pale ndani ya muda ambao Rais Samia amechukua madaraka hakika magomvi,dharau na kutuhumiana waziwazi kwenye kada mbalimbali kumetamalaki.
Mfano ni katika Idara mbalimbali za Serikali Viongozi wengi kwa muda mfupi baada ya kifo cha Magufuli waziwazi ama wanatishana kuuana kwa sababu ya maslahi ama wanadharauliana na kuchongeana ili tu mmoja wao aonekane bora dhidi ya mwingine.
Kinachosikitisha hayupo yeyote anayewakemea ama kuwaadhibu.Mamlaka za wagomvi wale zipo kimya jambo ambalo katika Utawala uliopita kamwe wajinga wale wasingevumiliwa.
Kwa muktadha huo naliona mapema sana anguko la Samia.
Magufuli hakuwahi kushindwa! Nchi ilionekana inaelekea wapi sasa hivi kila samaki kambale. Na kujitia mwema mbele ya majizi... fikiria mtu anajulikana anamshahara wa 7m ame declare kwenye tume ya maadili hana biashara but kwenye account ana 2.3 B unamuuliza hizi umetoa wapi hana majibu uki freeze account unaonekana katili kweli?Nyerer mkapa kikwete, maguful wote tunalalamika hawakuweza sasa nani anawezaa!??
AsanteSwala sio jinsia yake ni uwezo wake wa kimaamuzi.... tunarudi kulekule tena zaidi ya JK full ushikaji na kubembelezana... mijitu mijizi, mizembe, mirafi unacheka nayo subili tutakapo anza kukopa mishahara kwa kina Rostam ndio utaelewa hawezi. Mfano mdogo tu tume ya Madini unajaza former Barrick employee ndio waongoze unategemea nini? si tupo hapa utaja nielewa tu.
Kazi kweli kweli! Kwa style hii wapigaji wataachaje kujipakulia keki ya taifa na miradi kufia njianiHata ikulu hajatoka hapo nje. Atachomwa na jua ngozi itaharibika
Nabii pekee wa kike ni mama Rwakatare tu wengine wote walikuwa wanaume sidhani kama Mungu akuwaona wanawake why aliamua kufanya manabii na mitume kuwa wanaume .Ni kweli mama Ana uwezo mdogo lakini kama wasaidizi wake wakiwa wazuri Basi hamna shida
Siku zote wanawake huwa Wana uwezo mdogo ndo maana 99.999% ya manabii Ni wanaume...walioacha legacy Wengi Ni wanaume
Mbona Sabaya alikuwa anamdharau mkuu wake wa mkoa Mama Anna Mngwira mbele ya Magufuli hakuchukuliwa hatua?Huo ni ukweli ulio bayana.
Ukiangalia na kusikia ya hapa na pale ndani ya muda ambao Rais Samia amechukua madaraka hakika magomvi,dharau na kutuhumiana waziwazi kwenye kada mbalimbali kumetamalaki.
Mfano ni katika Idara mbalimbali za Serikali Viongozi wengi kwa muda mfupi baada ya kifo cha Magufuli waziwazi ama wanatishana kuuana kwa sababu ya maslahi ama wanadharauliana na kuchongeana ili tu mmoja wao aonekane bora dhidi ya mwingine.
Kinachosikitisha hayupo yeyote anayewakemea ama kuwaadhibu.Mamlaka za wagomvi wale zipo kimya jambo ambalo katika Utawala uliopita kamwe wajinga wale wasingevumiliwa.
Kwa muktadha huo naliona mapema sana anguko la Samia.
Hayo ni mawazo ya dikitetaHii nchi bila udkteta haiendi
[emoji23][emoji23]au turudishe mkoloniHii nchi bila udkteta haiendi
Jitombashisho kweli weweHuo ni ukweli ulio bayana.
Ukiangalia na kusikia ya hapa na pale ndani ya muda ambao Rais Samia amechukua madaraka hakika magomvi,dharau na kutuhumiana waziwazi kwenye kada mbalimbali kumetamalaki.
Mfano ni katika Idara mbalimbali za Serikali Viongozi wengi kwa muda mfupi baada ya kifo cha Magufuli waziwazi ama wanatishana kuuana kwa sababu ya maslahi ama wanadharauliana na kuchongeana ili tu mmoja wao aonekane bora dhidi ya mwingine.
Kinachosikitisha hayupo yeyote anayewakemea ama kuwaadhibu.Mamlaka za wagomvi wale zipo kimya jambo ambalo katika Utawala uliopita kamwe wajinga wale wasingevumiliwa.
Kwa muktadha huo naliona mapema sana anguko la Samia.
Mfumo dume tatizo la akili zetu za kiafrika.ramli chonanishi hiyo yaani mama aanze kazi ya kuja kuwagombelezea kwenye viidara vyenu huko chini ? ana kazi muhimu za taifa za kufanya
[emoji23]mi napambania ugali wangu tu, ayo mengine mda utaongeaMagufuli hakuwahi kushindwa! Nchi ilionekana inaelekea wapi sasa hivi kila samaki kambale. Na kujitia mwema mbele ya majizi... fikiria mtu anajulikana anamshahara wa 7m ame declare kwenye tume ya maadili hana biashara but kwenye account ana 2.3 B unamuuliza hizi umetoa wapi hana majibu uki freeze account unaonekana katili kweli?
We jamaa bure kabisa, nani alikuambia uongozi ni eidha kuwa Mwanaume au kuwa na Nguvu?Huo ni ukweli ulio bayana.
Ukiangalia na kusikia ya hapa na pale ndani ya muda ambao Rais Samia amechukua madaraka hakika magomvi,dharau na kutuhumiana waziwazi kwenye kada mbalimbali kumetamalaki.
Mfano ni katika Idara mbalimbali za Serikali Viongozi wengi kwa muda mfupi baada ya kifo cha Magufuli waziwazi ama wanatishana kuuana kwa sababu ya maslahi ama wanadharauliana na kuchongeana ili tu mmoja wao aonekane bora dhidi ya mwingine.
Kinachosikitisha hayupo yeyote anayewakemea ama kuwaadhibu.Mamlaka za wagomvi wale zipo kimya jambo ambalo katika Utawala uliopita kamwe wajinga wale wasingevumiliwa.
Kwa muktadha huo naliona mapema sana anguko la Samia.
Kama umesoma trend nguvu yao imezidi kupungua, na umoja wao kama vile unadhoofika.Mnalipwa na nani?
Makonda?
Mjifaraiji kwa maneno haya...Kama umesoma trend nguvu yao imezidi kupungua, na umoja wao kama vile unadhoofika.
Yawezekana mlipaji pia haoni faida ya ku sponsor hii kampeni..
Nawasikitikia wakija kushtuka ni 2034.
Everyday is Saturday................................π