Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

[
Nyinyi mlitaka mle peke yenu na magenge ya wahuni task force....Nani alikwambia ujambazi au madawa ya kulevya yatarudi? Haujaona tani za sembe zimekamatwa juzi juzi? Wahalifu hawaepukiki ila majambazi dawa yao ni kula vyuma tu na wenyewe wanajua kwamba kwasasa polisi hawataki utani na ujambazi ukizingua na ujambazi wako unakula chuma tu.

Enzi za jiwe ,wapiga pambio na wahuni task force walikuwa na maisha mazuri,sasa ujio wa ssh wanaona wamenyang'anywa tonge mdomoni hivyo wanataka na wengine waendelee kunyanyasika kama enzi za jiwe wakati mama kashakataa fedha za dhuluma.
 
Nadhani hii ni premature conclusion. Mama anafanya safari zenye economic gain na pia kurudisha mahusiano dhabiti ya kimataifa aliyoharibu jpm (rip) na Kabudi
 
huyo aliyekuwa hasafiri kasaidia Nini zaidi ya kutuachia Uchumi ulikuwa kwa asilimia 4

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Iliimarika kwenye sekta ipi KWA mfano??

Ufisadi mbona ulikuwa pale pale?deni la Taifa mbona limezid Mara dufu,hali ya maisha mbona ulizid kuwa mbaya zaid??

Biashara na uchumi mbona umedorora, mwendazake bora ametanguliaaa
Bila shaka wewe utakuwa mpinzani mmefumbishwa macho kabisa msione mema yaliyofanyika.Miundombinu iliyojengwa hauioni mkuu? Ndege? SGR? Terminal 3?,stendi mbalimbali?,shule na hospitali zilizojengwa? maboresho huduma ya afya? maboresho sekta ya madini? hayo yote huyaoni? mapato TRA kuongezeka? uchumi kupanda mpaka nafasi ya kati? hauoni? Nidhamu kazini? kupinga uzembe na ufisadi bila kuonea mtu haya? mama aliyepo kule kijijini ndiye anaweza kuona ubora wa maisha kwa kusogezewa huduma ya maji! ila wewe uliyepo mjini ukiishi kwa kupiga dili lazima hali ya maisha utaona ngumu!
 
Mungu anisamehe...hayati Magufuli amefanya mengi mazuri lakini sikuwahi kufurahia utawala wake kamwe.....sitakuja kuutamani naomba Mungu anisaidie katika maisha yangu yoote yalisalia nisipitie utawala kama ule
Tunapaswa kumshukuru Mungu kwa kila Jambo.
Niliposikia Magu katutoka, nilihuzunika lkn nilimshukuru Mungu kwani mapenzi yake yalitimizwa.

Usiombe kila Kona na kila wakati Kuna watu wanalia kwa machungu unayowapatia
 
Mwisho wa siku kumpa matumaini makubwa sana Rais ni kujiumiza mwenyewe, atafanya kiasi chake mengine atawaachia wengine mbona wale maadui watatu bado tunao mpaka leo miaka 60 baada ya uhuru.
 
Wagalatia mmeshaanza chuki zenu, muachen mama afanye kazi,kwann mnateseka??yeye hakumchukua jiwe,jiwe limeondoka KWA kudra za mungu,kama hamkubali mwambien Gwajima akamfufue aje aendeleze alipoishia, hamuwez basi tulieni,kelele zenu hazina mashiko
Ukikuta mtu anajiita Mkristo aafu anabagua watu wa dini, dhehebu, kabila,au mtu wa rangi ingine basi jua huyo si Mkristo ni muhuni km walivyo wahuni wengine. Kwa Mungu sote tunaitika km watoto wake. We nani hata umbagua mtu ambaye hujamuumba na duniani tumekutana tu?

Dini ni njia ya kutafuta na kumjua Mungu na dini haibadilishi ubinadamu wetu. Ni wajinga wachache ndio wamezifanya dini ziwe msingi wa kubaguana,kusemana vibaya na hata kupigana.
 
Muacheni Mama tuenjoy maisha
 
Huyu mama anavitu vingi vya kurekebisha. Mwendazake hakupaswa kupata kile cheo cha urais, ameua sekta binafsi ambayo ndio walipaji wakuu wa kodi.. NGO nyingi alifunga.
Mwendazake alijiconnect na BOT anashinda anachungulia accounts za makampuni na watu binafsi.. Akitoka hapo ni kukwapua hela za watu.
Hatujawahi kupata kituko cha namna hii hata wawekezaji ilikuwa shida kuja kuwekeza kwenye nchi hii.. Mwacheni mama atafute connection na uwekezaji ili angalau hata mzunguko wa hela urudi
 
Kwani kila awamu ya uongozi lazma uzi wa kuuliza kama huu uwepo?? Mama anatupeleka pazuri sana na tunamwamini.
 
Anafuta legacy Mbaya ya mwendazake
 
au mkuu una
mkuu mbona hujazungumzia ile faida ya bilioni 28 za ATCL zilizopatikana mwezi mmoja tu baada ya kununua ndege (km sijakosea)?!!!!
 
Labda unapotea mwenyewe na wenzio wachache msio elewa ,Samia anatupeleka pazuri , wewe ulitaka atupeleke jela?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…