Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Mtoa mada nikushauri kitu, tafuta kazi ufanye. Unamuhesabia mama wa watu hadi siku za kukaa ofisini dah. Tafuta kazi achana kufatilia maisha ya huyu mama, utapata ugonjwa wa sononi. Huna namna hata moja kumkwamisha huyu mama zaidi ya kujiongelesha humu JF kitu ambacho sidhani kinaweza badili chochote.
 
Ogopa mtu ambae anatanguliza jinsia yake kutwa kutaja jinsia yake kana kwamba yupo pale kwa ajili ya jinsia yake

Dereva ambae kutwa kugeuka nyuma na kuangalia abiria wanafanya nini au kusema nini hakuna binadamu aliyeweza kuridhisha watu wote Mungu mwenyewe alishindwa. Mapambio yamekuwa mengi mpk nawaza rabda kuna watu wamekodiwa kuendesha hizi harakati za kimtandao za hii bendi ya kusifu na kuabudu

# 37/5 itatutesa sana
 
Nikisemaga hawa Jamaa ni Mazezeta nina maanisha hawa mataga uzezeta wa fikra hawajui vipaumbele hawajui sisi kama Taifa tunataka nini.

Ajira Ajira Ajira Mama afungue Nchi tupate Ajira
 
Imani imekuwa finyu kabisa.

Nasikia kafanya style ya CHIEF MANGUNGO(wa MVOMERO) kule kwa MANYANGAU.
 
Mataga mmechanganyikiwa sisi tunakula bia tu.
 
Huu ndio ukweli wenyewe. Ndio maana kipindi cha Mwendazake walikuwa wakipigana vita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…