Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Kikundi cha wapumbavu kama mleta maada ni cha kutokomezwa hiki kinadhani business as usual inaendelea
 
kiongozi aliyefeli yeye na wafuasi wake huwa hawajiamini yaani ukiandika ujumbe hata hauwahusu wao na kiongozi wao wanakuja juu kukushambulia

kiongozi aliyefeli unaweza kumwambia kuwa umetishaa na akafurahi na akajiona kweli yuko matawi hata siku kama ana mwezi mmoja madarakani

kiongozi wa namna hii na wafuasi wake huishia kuaibika kupoteza mvuto na kuleta mateso na manyanyaso kwa wananchi wako
 
Hivi una muda hata wa kumuhudumia mumeo? Maana umepaniki sana
 
Poleni mwenda zake ndo kafa hata mukisema sana hatafufuka, bora Mungu katuponyesha kupigwa risasi na kutekwa kila siku bora nguruwe alikuwa na thamani kuliko mwendazake aliyekuwa amekosa utu.
 
unataka mama aendelee naule ubabe wakishamba??
anapowaweza zaid nipale anaposema yeye namwendazake nikitu kmoja
 
Mkuu lengo lako hasa nini, mbn kama umetumwa uvuruge chama na serikali kwa ujumla? Ulianza na JK na familia yake, leo umehamia kwa mama, kesho hatujui utarukia kwa nani na kwa masilahi ya nani na pia unapata faida gani!!
Anasema ukweli, Samia akumbuke kilichompata JK 2010
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…