Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Hana lolote huyu Samia Suluhu. Tunapoteza muda. Híi nchi ni complex. Hana uwezo wa kuiongoza. Nilisahau kuisikiliza spichi yake ya Mei Dei. Nasikia ilisheheni makosa mengi.
Haya,tumsikie atawaambia nini Wabunge wa Kenya leo. Mangi-meza tupo wengi tunaisubiri spichi yake.

fhh22.jpg
 
Anaogopa kusemwa mpaka afe kama JPM,anataka sifa tu, sasa ataona wakina mama wakifia kwenye mawodi
 
Tutegemee mambo mengi toka kwa Rais Samia Suluhu. Mojawapo ni tabia nyingi za aliyekuwa Rais wa Awamu ya Nne Ndugu Jakaya Kikwete.

Safari zitakuwepo nyingi sana na majambazi yatampangia safari nyingi ili yabaki yakiiba pesa za umma. Kuna uwezekano mkubwa sana wa Nchi kusimama.

Lakini faida ni yeye katika kutaka kuwafurahisha watu kwa furaha za muda mfupi huku nchi baadaye ikiingia kwenye majanga

Wauzaji wa madawa ya kulevya na biashara haramu wanaanza kurudi wakiamini sasa watakuwana nafasi ya kuja haribu tena maisha ya watanzania. Mtandao wao unafahamika ulikuwa mkubwa mpaka ndani ya Serikali kuu.

Sijui yeye atakuwa na mtizamo gani katika hilo. Lakini tutegemee maisha yale mazuri ya kipindi cha kikwete katika awamu hii. Ya kila mbuzi kula kutokana na urefu wa kamba yake.

Tofauti na kikwete labda ni kuwa Speeches za huyu mama anaongea kwa utulivu na anakuwa amejipanga. Kikwete hakuwa na mvuto wa kuongea au kusikilizika. Tofauti ya kikwete na magufuli ni kuwa magufuli alikuwa na maneno makali but kikwete maneno yasiyo na maana.

Kama tunapenda speeches nzuri basi tutaendelea kuzipata kila mara. Hizi mama atajitahidi kuendelea kuwa nazo. Na kwa kuwa tulizimiss kila baada ya speech tutampongeza sana kwa kutufariji. Na ni kweli watanzania wanapenda maneno ya faraja. Tuendelee kupata.

Mnaweza kidogo mkachanganyikiwa kwa nlichoandika. But ndani kwenye threads mnaweza pata some points.mengine achana nayo



Nashangaa sana hadi natamani kuzimia nikisikia baadhi ya watu wanasifia eti hotuba tamu. Tamu!??? Imekuwa choroko hiyo!??? Watu hawajui kwamba hata panya au mbu akitaka kukufaidi damu huwa ANAPULIZA ndipo ANANG'ATA.
 
Magufuli kiongozi akilalamikiwa na wananchi,anamwita pale pale, anafanya naye mental sparring pale pale kwenye halaiki.
Pale pale kwenye halaiki anampiga knockout anamwambia,"kazi basi"
 
Kwenye utilianaji saini mikataba ya kiuwekezaji Waziri wa Katiba na Sheria pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni muhimu ahusishwe, sasa kwanini hatujamuona Profesa Kabudi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali? Mnaficha nini?

Au tuamini mafisadi wameanza kuivamia nchi sisi wazalendo and the entire Afrika tunahoji usiri huo lakini kumbuka wewe umengia kwa utaratibu fuata utaratibu hatutakubali kuchezewa kwa rasilimali zetu na kikundi cha watu wachache.
 
Yawezekana waziri asiwepo lakini utaratibu ukafuatwa
Na waziri anaweza kuwepo na utaratibu usifuatwe vilevile


Kwani huo mkataba wenyewe unasemaje🤔🤔
Heri kuona mambo waziwazi kuliko kuota ndoto!
 
Kilicho sainiwa KENYA sio mkataba.. Kilicho sainiwa ni Makubaliano ya kuelekea katika kufanikisha huo mradi wa Bomba la gesi..

MEMORANDUM OF UNDERSTANDING (MOU) ndo kitu kilichosainiwa, hii inamaanisha mazungumzo zaidi yanafuatia kuelekea katika kusaini mkataba wenyewe.

Tuwe tunafuatilia kabla ya kutoa taarifa zetu.
 
Kwenye utilianaji mikataba ya kiuwekezaji waziri wa katiba na sheria pamoja na mwanasheria mkuu wa serikali ahusishwe sasa kwa nn hatujamuona Kabudi na mwanasheria mkuu wa Serikali mnaficha nn mafisadi yameanza kuivamia nchi sisi Chama Cha Magufuli na Magufulist na Magufulification of Tanzania and the entire Afrika tunahoji usiri huo lkn kumbuka wewe umengia kwa utaratibu fuata utaratibu hatutakubali kuchezewa kwa rasilimali zetu na kikundi cha watu wachache
Tulikuwa na maisha mazuri na ya furaha wakati unaowaita mafisadi wanatawala Tanzania kuliko hao wazalendo wako wa kuchonga akina Magufuli. Kama uzalendo ndiyo yale Mwendazake alikuwa anafanya, basi uzalendo ni UHANITHI

Mafisadi waendelee kwa maisha bora ya Watanzania
 
Kwenye utilianaji mikataba ya kiuwekezaji waziri wa katiba na sheria pamoja na mwanasheria mkuu wa serikali ahusishwe sasa kwa nn hatujamuona Kabudi na mwanasheria mkuu wa Serikali mnaficha nn mafisadi yameanza kuivamia nchi sisi Chama Cha Magufuli na Magufulist na Magufulification of Tanzania and the entire Afrika tunahoji usiri huo lkn kumbuka wewe umengia kwa utaratibu fuata utaratibu hatutakubali kuchezewa kwa rasilimali zetu na kikundi cha watu wachache
Huna lolote we sukuma gang. Kwa huyo Maghufuli mikataba imewahi kuwa wazi ?!. Ni lini iliwahi kuwekwa wazi mikataba ?! Wapinzani Cdm wamekuwa wakidai miaka yote mikataba ipitishwe bungeni kwa kujiridhisha lakini Ccm na serikali haijawahi kuwa tayari.

Mwacheni Mama afanye kazi yake. Na daima hawezi kuongoza sawa na huyo Maghufuli wako. Maghufuli mwenyewe kasoro zilikuwa kibao
 
Huna lolote we sukuma gang. Kwa huyo Maghufuli mikataba imewahi kuwa wazi ?!. Ni lini iliwahi kuwekwa wazi mikataba ?! Wapinzani Cdm wamekuwa wakidai miaka yote mikataba ipitishwe bungeni kwa kujiridhisha lakini Ccm na serikali haijawahi kuwa tayari.

Mwacheni Mama afanye kazi yake. Na daima hawezi kuongoza sawa na huyo Maghufuli wako. Maghufuli mwenyewe kasoro zilikuwa kibao
Yule hakuwa na kasoro isipokuwa alikuwa dikteta kabisa
 
Kilicho sainiwa KENYA sio mkataba.. Kilicho sainiwa ni Makubaliano ya kuelekea katika kufanikisha huo mradi wa Bomba la gesi..

MEMORANDUM OF UNDERSTANDING (MOU) ndo kitu kilichosainiwa, hii inamaanisha mazungumzo zaidi yanafuatia kuelekea katika kusaini mkataba wenyewe.

Tuwe tunafuatilia kabla ya kutoa taarifa zetu.
Good
 
Kwenye utilianaji mikataba ya kiuwekezaji waziri wa katiba na sheria pamoja na mwanasheria mkuu wa serikali ahusishwe sasa kwa nn hatujamuona Kabudi na mwanasheria mkuu wa Serikali mnaficha nn mafisadi yameanza kuivamia nchi sisi Chama Cha Magufuli na Magufulist na Magufulification of Tanzania and the entire Afrika tunahoji usiri huo lkn kumbuka wewe umengia kwa utaratibu fuata utaratibu hatutakubali kuchezewa kwa rasilimali zetu na kikundi cha watu wachache
KUMBUKIZI za Mikataba.
Hii inanikumbusha ule mkataba wa MUUNGANO WA TANZANIA 1964.
Mwanasheria mkuu wa Zanzibar (Welfong Dorado) hakuwepo kwenye maandikiano yale.
Hivi Kutilianasaid kule Ulikuw Memorundum of Understanding tuu? Hukuwa Mkataba Kamili?

download.jpg


images.jpg
 
Inawezekana kuna watu hawali wala kulala wanawaza utendaji kazi wa mama tu. Jamani, muacheni mama afanye kazi, ujue mtaanza kumpanikisha alafu ataanza kuwa defensive alafu ndio atawaumiza zaidi
 
Back
Top Bottom