Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Kwani wakati wa Magufuli Huyo Kabudi mzee wa Jalalani alifanya nini cha maana?

Acheni kumpa Prof wa majalalani sifa asizostahili
 
Yawezekana waziri asiwepo lakini utaratibu ukafuatwa
Na waziri anaweza kuwepo na utaratibu usifuatwe vilevile


Kwani huo mkataba wenyewe unasemaje🤔🤔
Si mnakumbuka Waziri huyu si ndio alikuwepo, wakati wa ule kutia saini mkataba wa kampuni feki ya kununua korosho toka Kenya na akapiga na selfie, akionyesha mkataba na kutuhakikishia kwamba mambo ni safi, lakini matokeo yake kila mtu anajua kilichotokea yakawa maumivu....kazi iendelee.
 
Kwenye utilianaji mikataba ya kiuwekezaji waziri wa katiba na sheria pamoja na mwanasheria mkuu wa serikali ahusishwe sasa kwa nn hatujamuona Kabudi na mwanasheria mkuu wa Serikali mnaficha nn mafisadi yameanza kuivamia nchi sisi Chama Cha Magufuli na Magufulist na Magufulification of Tanzania and the entire Afrika tunahoji usiri huo lkn kumbuka wewe umengia kwa utaratibu fuata utaratibu hatutakubali kuchezewa kwa rasilimali zetu na kikundi cha watu wachache
Hauna cha kumfanya Mama utaishia kuandika humu humu JF[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kilicho sainiwa KENYA sio mkataba.. Kilicho sainiwa ni Makubaliano ya kuelekea katika kufanikisha huo mradi wa Bomba la gesi..

MEMORANDUM OF UNDERSTANDING (MOU) ndo kitu kilichosainiwa, hii inamaanisha mazungumzo zaidi yanafuatia kuelekea katika kusaini mkataba wenyewe.

Tuwe tunafuatilia kabla ya kutoa taarifa zetu.
yes, ni kama kilichofanyika kuhusu bandari ya bagamoyo enzi za mkwere......


majadiliano yalifanywa chini ya magufuli
 
Kwenye utilianaji mikataba ya kiuwekezaji waziri wa katiba na sheria pamoja na mwanasheria mkuu wa serikali ahusishwe sasa kwa nn hatujamuona Kabudi na mwanasheria mkuu wa Serikali mnaficha nn mafisadi yameanza kuivamia nchi sisi Chama Cha Magufuli na Magufulist na Magufulification of Tanzania and the entire Afrika tunahoji usiri huo lkn kumbuka wewe umengia kwa utaratibu fuata utaratibu hatutakubali kuchezewa kwa rasilimali zetu na kikundi cha watu wachache
Hakuna profesa wa sheria muongo kama Kabudi.
 
Yawezekana waziri asiwepo lakini utaratibu ukafuatwa
Na waziri anaweza kuwepo na utaratibu usifuatwe vilevile


Kwani huo mkataba wenyewe unasemaje🤔🤔
Hata AG asiwepo? Si ndo Chenge alipokuwa akiwapigia hapo?
 
Kwenye utilianaji mikataba ya kiuwekezaji waziri wa katiba na sheria pamoja na mwanasheria mkuu wa serikali ahusishwe sasa kwa nn hatujamuona Kabudi na mwanasheria mkuu wa Serikali mnaficha nn mafisadi yameanza kuivamia nchi sisi Chama Cha Magufuli na Magufulist na Magufulification of Tanzania and the entire Afrika tunahoji usiri huo lkn kumbuka wewe umengia kwa utaratibu fuata utaratibu hatutakubali kuchezewa kwa rasilimali zetu na kikundi cha watu wachache
Kenge wewe, nenda kamshauri JIWE uko alipo, anabebeshwa viroba vya korosho mwanzo mwisho, we si kutwa unamtukana rais wetu, sasa huo ushauri unampa wa nini, we Musiba lazima uende jela awamu hii
 
Kwenye utilianaji mikataba ya kiuwekezaji waziri wa katiba na sheria pamoja na mwanasheria mkuu wa serikali ahusishwe sasa kwa nn hatujamuona Kabudi na mwanasheria mkuu wa Serikali mnaficha nn mafisadi yameanza kuivamia nchi sisi Chama Cha Magufuli na Magufulist na Magufulification of Tanzania and the entire Afrika tunahoji usiri huo lkn kumbuka wewe umengia kwa utaratibu fuata utaratibu hatutakubali kuchezewa kwa rasilimali zetu na kikundi cha watu wachache
Kama mnaona hamfuati magufuli si mumfuate mwenda zake mkaongozwe ki magufuli ?
 
Kwenye utilianaji mikataba ya kiuwekezaji waziri wa katiba na sheria pamoja na mwanasheria mkuu wa serikali ahusishwe sasa kwa nn hatujamuona Kabudi na mwanasheria mkuu wa Serikali mnaficha nn mafisadi yameanza kuivamia nchi sisi Chama Cha Magufuli na Magufulist na Magufulification of Tanzania and the entire Afrika tunahoji usiri huo lkn kumbuka wewe umengia kwa utaratibu fuata utaratibu hatutakubali kuchezewa kwa rasilimali zetu na kikundi cha watu wachache
Kwa taarifa yako hakuna mkataba unatiwa saini na nchi bila kupitia kwa mwanasheria mkuu wa serikali
 
Huna lolote we sukuma gang. Kwa huyo Maghufuli mikataba imewahi kuwa wazi ?!. Ni lini iliwahi kuwekwa wazi mikataba ?! Wapinzani Cdm wamekuwa wakidai miaka yote mikataba ipitishwe bungeni kwa kujiridhisha lakini Ccm na serikali haijawahi kuwa tayari.

Mwacheni Mama afanye kazi yake. Na daima hawezi kuongoza sawa na huyo Maghufuli wako. Maghufuli mwenyewe kasoro zilikuwa kibao
Mikataba daima haisainiwi na Bunge. Labda tujianzishie utaratibu mpya
 
Mikataba daima haisainiwi na Bunge. Labda tujianzishie utaratibu mpya
Sasa uwazi mnautaka kwenye mikataba mtaupatia wapi ?!. Chombo cha wananchi ni Bunge . Vinginevyo usiri serikalini utaendelea na kwa sababu pia huwa wanaapa kutunza siri .
 
Kwenye utilianaji mikataba ya kiuwekezaji waziri wa katiba na sheria pamoja na mwanasheria mkuu wa serikali ahusishwe sasa kwa nn hatujamuona Kabudi na mwanasheria mkuu wa Serikali mnaficha nn mafisadi yameanza kuivamia nchi sisi Chama Cha Magufuli na Magufulist na Magufulification of Tanzania and the entire Afrika tunahoji usiri huo lkn kumbuka wewe umengia kwa utaratibu fuata utaratibu hatutakubali kuchezewa kwa rasilimali zetu na kikundi cha watu wachache
Nonsense!

Kila siku unaanzisha post zenye maudhui negative juu ya mama yetu. Why?

Tuachie mama yetu. Kitabu cha baba yako Jiwe kimeshafungwa!
 
Tulikuwa na maisha mazuri na ya furaha wakati unaowaita mafisadi wanatawala Tanzania kuliko hao wazalendo wako wa kuchonga akina Magufuli. Kama uzalendo ndiyo yale Mwendazake alikuwa anafanya, basi uzalendo ni UHANITHI

Mafisadi waendelee kwa maisha bora ya Watanzania
Mkuu usipende kuendekeza rushwa. Sisi tunaolipa kodi hatufurahii kuona nchi haisongi mbele. Mimi nataka hata posho za Wabunge zishuke.
 
Yawezekana waziri asiwepo lakini utaratibu ukafuatwa
Na waziri anaweza kuwepo na utaratibu usifuatwe vilevile


Kwani huo mkataba wenyewe unasemaje🤔🤔
Upo sahihi kabisa, pia yawezekana walishiriki kikamilifu katika maandalizi yake, na wameenda wasaidizi wao!
 
Back
Top Bottom