Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Yaani hizi chuki sijui mnazitoa wapi sijui. Sielewi kama ni za kuzaliwa nazo au mmejifunzia ukubwani.

We ulichoona hapo ni kuuza mahindi tu basi??

Tabu sana kama Taifa. Watu gani nyie kila kitu mnatazama negative tu aisee. Hebu badilikeni basi. Na hili tuliliona sana wakati uliopita mlijifunza kuishi na chuki kali sana mioyoni mwenu bahati yenu nzuri mlikuwa mmeshika mpini. Sasa mpini umechomoka ghafla kwenye kisu mmejikuta mmeshika makali bila kupenda. Hebu tulieni maisha yaendelee.
sahihi kabisa .... sukuma gang wana taabu sana...ngoja tuwanyooshe.
 
Magufuli was super bana, vitu vidogo kama hivi avifate kenya? Angepiga simu moja tu wasipotaka waache.watanunua wengine au sisi tutakula wenyewe kwani sh ngapi basii??

Ila jpm alikuwa chuma aisee

Jinga kabisa.

Kuna uzito wa kuonana mtu ana kwa ana na kumpigia simu.
 
Magufuli was super bana, vitu vidogo kama hivi avifate kenya? Angepiga simu moja tu wasipotaka waache.watanunua wengine au sisi tutakula wenyewe kwani sh ngapi basii??

Ila jpm alikuwa chuma aisee
Agiza unachopendelea hivi punde napita hapo kulipa! Mzee alikuwa ni mashine!.eti apande ndege akajadili mahindi kenya!!
 
Magufuli was super bana, vitu vidogo kama hivi avifate kenya? Angepiga simu moja tu wasipotaka waache.watanunua wengine au sisi tutakula wenyewe kwani sh ngapi basii??

Ila jpm alikuwa chuma aisee
Kama alivyosema atanunua mwenyewe korosho, na kilichofuata hapo na madhira kwa wakulima wa korosho!

Btw, yaani mlichokiona kwa Samia kwenye ziara yake ya Kenya ni suala la kuuza mahindi?

Wafuasi wa Jiwe mna viroja ambavyo haviwezi kufanywa hata na mtoto wa Darasa la IV

Na hivi mtaendelea kuweweseka hadi lini? Nyie ndio watu mnaomuombea Samia afanye vibaya ili tu Malaika Jiwe aonekane alikuwa bora wakati alikuwa janga tu kwa taifa!!!

Btw, katika huo unyanyuaji wake wa simu, aliweza kuboresha bei ya mazao yapi?!

Mnavyopenda kujitoa ufahamu, hamkawi kusema "huoni bei ya sukari na ya mafuta ya kula ilipanda"!!!
 
Magufuli was super bana, vitu vidogo kama hivi avifate kenya? Angepiga simu moja tu wasipotaka waache.watanunua wengine au sisi tutakula wenyewe kwani sh ngapi basii??

Ila jpm alikuwa chuma aisee
tatizo si kuwa chuma. hata wewe unaeza kuwa chuma.. ila urais si kumaga kampuni.. unamanage 60mil people na resources ziwatoshe.
kula maindi kutaleta maendeleo gani?
 
Hii nchi tunapoelekea hata sipaon kabisa tunajizika kabisa

Kabla hujaleta sifa za kusifu na kuabudu embu Tuambie kwenye ziara ya Mama na Rais Museven unafikir ni Nan kafaidika na Nan kaliwa kichwa? Watanzania nchi hii tunaiteketeza yani pamoja na mambo yote Rais Samia alio waachia wakenya juu yetu ikiwemo na gas yetu ila wao wameruhusu Mahind tu? Na kuruhusu watu wapite mipakan alafu mama Atarud tz kifua mbele kua katoka kwenye ziara???

Tanzanian hii sijui Tunaenda wap yani kutoka Tanzania mpaka kwenda nchi ambayo inashindwa mamilionea na watz kuwaomba waje kuwekeza ni uji kabisa kwa hasira mpaka point zimeniishia
Tulipata nini kwenye ziara ya kwanza Kigali?
 
Hii nchi tunapoelekea hata sipaon kabisa tunajizika kabisa

Kabla hujaleta sifa za kusifu na kuabudu embu Tuambie kwenye ziara ya Mama na Rais Museven unafikir ni Nan kafaidika na Nan kaliwa kichwa? Watanzania nchi hii tunaiteketeza yani pamoja na mambo yote Rais Samia alio waachia wakenya juu yetu ikiwemo na gas yetu ila wao wameruhusu Mahind tu? Na kuruhusu watu wapite mipakan alafu mama Atarud tz kifua mbele kua katoka kwenye ziara???

Tanzanian hii sijui Tunaenda wap yani kutoka Tanzania mpaka kwenda nchi ambayo inashindwa mamilionea na watz kuwaomba waje kuwekeza ni uji kabisa kwa hasira mpaka point zimeniishia
Tatizo mliozoezwa uzwazwa na Jiwe...ndo mna hii small minded thinking

Unajua Arusha, Iringa, mbeya na hata Manyara how wafanyabiashara waliumizwa sana.... vitunguu, viazi, matunda no acha ya Mahindi ???
Hapo hujagusia maya... !!

Kujua wenu tu ndio mnaandika pumba hizi. You can't as a country work in isolation economically na kupata maendeleo ya kweli.

Akili zenu za kijinga na uoga ya kizamani mnaishia kutaka kuzunguka na mabunduki, lkn huku mnatuibia madini, pesa nk kwa visingizio cha wanyonge.

Subiri muone maendeleo ya kweli na uchumi kukua kiukweli sio kwa kupika data za uongo.

Biashara itakua, mzunguko wa pesa utaonekana na nyie kafunueni mfuniko mfateni huyo Jiwe....
 
Madam president ahakikishe kwenye kupanga na kupangua wakuu wa mikoa na wilaya, asirudishe hata TAKATAKA moja ambayo ni team magufuli kindakindaki, kuanzia sabaya na wengineo wote, hadi wakuu wa wilaya, na mtu Kama makonda ndio asimpe teuzi yoyote , Yeye ndio anafadhili ili kundi mitandaoni kumkwamisha Rais, akishirikiana na Ole sabaya
 
Sasa ona mahindi yaliyokua yamedoda kumbe mama kaenda jana, mpaka umefunguka hamna kikwazo. Hapo hujaona tija

Akiuza gesi nchini Kenya tatizo liko wapi?
Au jirani hauziwi anauziwa wa mbali?
Au amewaambia waje wavune gesi bure?

Hao wakenya hata wakitaka kununua maji ya bahari kwenye matenki mnaweza mkakataa kwa sababu ya mitazamo hasi,chuki na kutoelewa biashara
Mawazo hayo niyakina Shigela. Mama awapumzishe watu kama hao wasaidiwe wamezidiwa na chuki.
Unamchukiaje mtu asiyekudhulumu bali anafanya biashara na wewe?

Mama chapa kazi, kama kuna ulipokosea lakini sio kwenda Kenya
Wajamaa hua hawaelewi biashara siyo kosa lao. Wao biashara maana yake ni unyonyaji. Na mkifanya biashara wanataka wapate wao tu. Ni watu fulani washenzi-washenzi.
 
Hii nchi tunapoelekea hata sipaon kabisa tunajizika kabisa

Kabla hujaleta sifa za kusifu na kuabudu embu Tuambie kwenye ziara ya Mama na Rais Museven unafikir ni Nan kafaidika na Nan kaliwa kichwa? Watanzania nchi hii tunaiteketeza yani pamoja na mambo yote Rais Samia alio waachia wakenya juu yetu ikiwemo na gas yetu ila wao wameruhusu Mahind tu? Na kuruhusu watu wapite mipakan alafu mama Atarud tz kifua mbele kua katoka kwenye ziara???

Tanzanian hii sijui Tunaenda wap yani kutoka Tanzania mpaka kwenda nchi ambayo inashindwa mamilionea na watz kuwaomba waje kuwekeza ni uji kabisa kwa hasira mpaka point zimeniishia
Kagera ilipigwa na tetemeko tukasema wakati tunaomba kura hatukuomba tetemeko ila Zimbabwe ilipopigwa na kimbunga tulikimbiza msaada Tena kwa kuwauliza mahitaji yao. Unadhani tulipata nini kutoka Zimbabwe!tumuache mama afanye kazi.
 
Hii nchi tunapoelekea hata sipaon kabisa tunajizika kabisa

Kabla hujaleta sifa za kusifu na kuabudu embu Tuambie kwenye ziara ya Mama na Rais Museven unafikir ni Nan kafaidika na Nan kaliwa kichwa? Watanzania nchi hii tunaiteketeza yani pamoja na mambo yote Rais Samia alio waachia wakenya juu yetu ikiwemo na gas yetu ila wao wameruhusu Mahind tu? Na kuruhusu watu wapite mipakan alafu mama Atarud tz kifua mbele kua katoka kwenye ziara???

Tanzanian hii sijui Tunaenda wap yani kutoka Tanzania mpaka kwenda nchi ambayo inashindwa mamilionea na watz kuwaomba waje kuwekeza ni uji kabisa kwa hasira mpaka point zimeniishia
Watanganyika mna nini vichwani!? Funza!??
 
Back
Top Bottom