Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Hii mada yako inenikumbusha JPM pale alipotoa siri kwamba yeye alimtaka Dr awe makamu wake.

Mara paap, akashauriwa huyu anafaa zaidi atakusaidia.

Na baada ya hapo huyuhuyu akawa VP.

Kwa mtazamo wa jicho la tatu tuloelewa tuling'amua JPM alikuwa akitoa ujumbe upi na kwa nani.

Ila hakuwa na jinsi.

Baadae tukasikia kuna watu wanasusa, na hata kutishia kuondoka, lakini mzee wa pwani akawa anaingilia kati anaamua na yanaisha, ila wawili hawa hawakuwa sawa na kila mmoja alikuwa ana yake kichwani.

Sasa ikawa jioni ikawa usiku kulipokuchwa yeye huyu ni mkuu kabisa, na yule aliefikiriwa kuwa ndie angalau angekuwa mkuu akawahiwa akapewa umakamu.

Yule ndie sera zake zote za uchumi alitunga na zikatufukisha kwenye uchumi wa kati.

Nyerere aliwahi kusema kuwa "The leaders of south tend to keep their people as ignorant in order that you can exploit them better"

Mchezo ukawa umeisha.

Mengine ni kama ulivoelezea tunapigwa kisawasawa, bila kujibu.
Huyu mama hana intellectual capacity ya kuongoza nchi. She is weak and incompetent.

Hajui lolote kuhusu uchumi wala kodi.

Ni vyema akajiondoa apishe wengine.
 
Wananchi wa nchi ya Tozonia🐒🐒🐒
605758310.jpg
 
Wengi wanaolalamika kuhusu tozo,kodi,ni wale wavivu,wasiotaka kazi.Fanyakazi ulipe kodi.Ukoona hospital,shule,barabara,daraja,reli nk,ujuwe yupo aliyelipa kodi,ndio wewe ukavitumia hivyo.
 
Huyu mama hana intellectual capacity ya kuongoza nchi. She is weak and incompetent.

Hajui lolote kuhusu uchumi wala kodi.

Ni vyema akajiondoa apishe wengine.
Fanya kazi acha kulia lia.Lipa kodi kwa maendeleo ya nchi.Ukiona hospital,shule,barabara,madaraja,reli nk,yupo aliyelipa kodi,tozo,wewe sasa unafaidika navyo.
 
Hizi kodi alizozitunga samia na watu wake sijui amezitoa wapi?

Ni nchi gani duniani inatoza kodi kwenye miamala ya fedha ama manunuzi ya kielekroniki?

Anayetuma fedha anakatwa, anayepokea anakatwa. Muamala mmoja una VAT, TOZO, service charge, sijui EWERU, REA, kodi ya jengo, uliona wapii?

Nchi hii ina kila rasilimali ambazo zinaweza kutulisha hata miaka mia moja bila kuzalisha chochote!

Mmewafungulia mabeberu wanachota madini kama njugu, wanasomba gases, wanapora wanyama na trophies.... ati ndio mnafungulia uchumi!!

Fedha za bandari zinapigwa, miradi inapigwa, ufisadi wizi kila mahali. Hiyo haitoshi, mama huyu kaamua ageukie kuwanyonya masikini!

Hata ukiweka mia kwenye simu wanaifyeka!!

Kama nchi imekushinda NG'ATUKA, ONDOKAA, ACHAAAAA, TOKAAA, SEPAAAA!!!!

Sio lazima kila mtu awe Rais, wengine mbaki kuwa wasaidizi wa nyumbani tu wa kawaida (ordinary house servants).

Sio lazima ung'ang'anie usichokiweza.... unang'ang'ana tu ng'a ng'a ng'aa.... ACHAA....

Nchi hii ina watanzania zaidi ya milioni hamsini, wasomi, wajuzi, weledi na wenye maarifa. Waachie hao, wewe pumzika.

Kuwa Rais wa nchi kunahitaji mawazo mapana, utulivu wa akili na nafsi. Not everyone can be president!

Tunahitaji Rais anayejitambua na kutambua nini wananchi wanataka na nini nchi inataka!

Lakini kwa mama huyu, HAPANA.
Namnukuu Mshana Jr Alisema hivi,...

'Tuendelee kuona kazi ya kudai katiba mpya ni ya CHADEMA tu kwasababu wanatafuta madaraka na wala sisi tusio wanasiasa haituhusu.

Tunavuna tulichopanda kama Taifa kwa miaka mingi, hivyo tuwe wapole maana sisi ni nchi ya amani.[emoji1752][emoji1752][emoji1752][emoji1752]'

Mwisho wa kunukuu.
 
Huyu mama hana intellectual capacity ya kuongoza nchi. She is weak and incompetent.

Hajui lolote kuhusu uchumi wala kodi.

Ni vyema akajiondoa apishe wengine.
Lakini, hujajiuliza kama bado anafuata dira ya maendeleo ya CCM au imebadilika.

Je, dira hiyo imebeba yale yanayotendeka sasa hivi?

Tatizo ni kwamba hakuna information kwa umma, maana kila kitu kimeamriwa kuwa kimya na wamekubali.

Hivyo hayati Nyerere alikuwa sawa aliposema "Leaders in the South keep their people ignorant as so they can exploit them better"
 
Kuna vichaa wanasifia, huko tuendako tutakuwa tunafanya kazi vipato vyote viishie kwenye tozo.
Mlianza chadema kumwimbia mapambio ya kumaifu, mkambeza JPM Sasa mnaweweseka. Hamjulikani mnataka Nini.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Wengi wanaolalamika kuhusu tozo,kodi,ni wale wavivu,wasiotaka kazi.Fanyakazi ulipe kodi.Ukoona hospital,shule,barabara,daraja,reli nk,ujuwe yupo aliyelipa kodi,ndio wewe ukavitumia hivyo.
Hakuna asietaka kulipa kodi bali ielimishe jamii, uiambie ukweli mapato na matumizi ya serikali waelewe, onyesha kwa vitendo na vielelezo barabara zilojengwa, miundombinu na huduma zingine za afya.

Je, hadi sasa serikali imetoa taarifa ya mapato yake ya kila mwezi tokea mara ya mwishio ifanye hivyo?

Je, imetoa taarifa ya mradi wowote ambao umekamilika kwa asilimia 100?

Je, miradi yote iloanzwa imefikia hatua ipi na lini inatarajiwa kukamilika kwa asilima 100?

Je, miradi hiyo imegharimu kiasi gani hadi sasa?

Hizi ni information ambazo "necessary" kwa umma kwani zinachagiza support kwa serikali hiyohiyo.

Wananchi wasipopata hizi taarifa wanageuka kuwa "ignorant" yaani wanakuwa hawazingatii kinachoendelea na hapo serikali yaamua kuwatumia kwa ujinga huo.
 
Hii mada yako inenikumbusha JPM pale alipotoa siri kwamba yeye alimtaka Dr awe makamu wake.

Mara paap, akashauriwa huyu anafaa zaidi atakusaidia.

Na baada ya hapo huyuhuyu akawa VP.

Kwa mtazamo wa jicho la tatu tuloelewa tuling'amua JPM alikuwa akitoa ujumbe upi na kwa nani.

Ila hakuwa na jinsi.

Baadae tukasikia kuna watu wanasusa, na hata kutishia kuondoka, lakini mzee wa pwani akawa anaingilia kati anaamua na yanaisha, ila wawili hawa hawakuwa sawa na kila mmoja alikuwa ana yake kichwani.

Sasa ikawa jioni ikawa usiku kulipokuchwa yeye huyu ni mkuu kabisa, na yule aliefikiriwa kuwa ndie angalau angekuwa mkuu akawahiwa akapewa umakamu.

Yule ndie sera zake zote za uchumi alitunga na zikatufukisha kwenye uchumi wa kati.

Nyerere aliwahi kusema kuwa "The leaders of south tend to keep their people as ignorant in order that you can exploit them better"

Mchezo ukawa umeisha.

Mengine ni kama ulivoelezea tunapigwa kisawasawa, bila kujibu.

Hatuwezi kuukwepa ubeberu kwa aina ya fikra tulizo nazo ni mpaka tujitambue na tufahamu namna nzuri ya kucheza nao.

Hatuwezi kuushinda ubeberu kwani ubeberu umejengwa kwa mtindo wa kupora kwa hila huku kusini ikiwemo Tanzania.

Hakuna jinsi, tulipe kodi tujenge nchi.

Ukiacha kuwa umeandika kwa kiswahili fasaha na bila kutukana, hata sijui hoja yako ilikuwa nini.
 
Hakuna asietaka kulipa kodi bali ielimishe jamii, uiambie ukweli mapato na matumizi ya serikali waelewe, onyesha kwa vitendo na vielelezo barabara zilojengwa, miundombinu na huduma zingine za afya.

Je, hadi sasa serikali imetoa taarifa ya mapato yake ya kila mwezi tokea mara ya mwishio ifanye hivyo?

Je, imetoa taarifa ya mradi wowote ambao umekamilika kwa asilimia 100?

Je, miradi yote iloanzwa imefikia hatua ipi na lini inatarajiwa kukamilika kwa asilima 100?

Je, miradi hiyo imegharimu kiasi gani hadi sasa?

Hizi ni information ambazo "necessary" kwa umma kwani zinachagiza support kwa serikali hiyohiyo.

Wananchi wasipopata hizi taarifa wanageuka kuwa "ignorant" yaaniwanakuwa hawazingatii kinachoendelea na hapo serikali inaamua kuwatumia kwa ujinga huo.
Taarifa imeshatolewa na Waziri Doctor wa uchumi.
 
Hakuna asietaka kulipa kodi bali ielimishe jamii, uiambie ukweli mapato na matumizi ya serikali waelewe, onyesha kwa vitendo na vielelezo barabara zilojengwa, miundombinu na huduma zingine za afya.

Je, hadi sasa serikali imetoa taarifa ya mapato yake ya kila mwezi tokea mara ya mwishio ifanye hivyo?

Je, imetoa taarifa ya mradi wowote ambao umekamilika kwa asilimia 100?

Je, miradi yote iloanzwa imefikia hatua ipi na lini inatarajiwa kukamilika kwa asilima 100?

Je, miradi hiyo imegharimu kiasi gani hadi sasa?

Hizi ni information ambazo "necessary" kwa umma kwani zinachagiza support kwa serikali hiyohiyo.

Wananchi wasipopata hizi taarifa wanageuka kuwa "ignorant" yaani wanakuwa hawazingatii kinachoendelea na hapo serikali yaamua kuwatumia kwa ujinga huo.

Wakati Magufuli anua mfumo wa kuhoji tulikuwa tunamsifia, sasa hivi serikali iliyopatikana bila ridhaa ya umma inafanya bila kujali umma.
 
Back
Top Bottom