Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Lengo kuu ni kukuza uchumi kupitia uwekezaji kwenye sekta binafsi
Kushirikiana na sekta binafsi kufanya miradi (PPP)
Sekta binafsi itakuza ajira na kuongeza makusanyo ya kodi
Kikwazo kikubwa kwa Samia ni hii miradi mikubwa aliyoianzisha Magufuli bila step
Kushirikiana na sekta binafsi kufanya miradi (PPP)
Sekta binafsi itakuza ajira na kuongeza makusanyo ya kodi
Kikwazo kikubwa kwa Samia ni hii miradi mikubwa aliyoianzisha Magufuli bila step