Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Mifereji ya ukwapuaji fedha za umma š¤£Kaboresha mifereji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mifereji ya ukwapuaji fedha za umma š¤£Kaboresha mifereji
Yako wapi? Yamejifichaficha ndani ya miradi ya mtangulizi wake! Taja jambo wazi lenye tija! Jambo pekee ambalo amefanya na kila mtanzania anajua ni kuuza bandari zetu kwa DP World! Basi!!Tumtendee haki, amefanya mengi tu mazuri. Na machache amevurunda pia.
[emoji38][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23]Hizi sasa ni kebehiā¦.Ndo maana magu alikuwa anawanyoosha
[emoji23][emoji1][emoji38][emoji1787][emoji1787]Kampandisha masta kutoka col hadi Bgd. Gen.
[emoji817]Kauza Bandari zoteee
Yepi yatajeTumtendee haki, amefanya mengi tu mazuri. Na machache amevurunda pia.
ššKaboresha mifereji
mbona kama ulichokiandika sio majibu ya swali.Punguza chuki hata kama humpendi huyo SSH
" kuweni wasimamizi wa haki na uadilifu kwa ajili ya mwenyezi, kuchukiana kwenu na watu kusikupeleekeni ninyi kutokufanya uadilifu, fanyeni uadilifu"
Hata kama humkubali mtu basi hakikisha kutokumkubali kwako liwe ni jambo mbali na kufanya uadilifu juu yake ni jambo mbali
Usichanganye hisia binafsi na uadilifu
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
[emoji120] lakini katutia kichefuchefu kwa hili la DP World tumemshtukia tunaanza kumtathmini kutafuta jambo lipi jema kawatendea linaloweza kubalance na kupooza kwa kiasi fulani na hii scandal! Ukiangalia hakuna!Punguza chuki hata kama humpendi huyo SSH
" kuweni wasimamizi wa haki na uadilifu kwa ajili ya mwenyezi, kuchukiana kwenu na watu kusikupeleekeni ninyi kutokufanya uadilifu, fanyeni uadilifu"
Hata kama humkubali mtu basi hakikisha kutokumkubali kwako liwe ni jambo mbali na kufanya uadilifu juu yake ni jambo mbali
Usichanganye hisia binafsi na uadilifu
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji38][emoji38][emoji1]Mifereji ya ukwapuaji fedha za umma [emoji1787]
Be specific!Rais Samia amefanya mengi mazuri.
1. Haki za binadamu
2. Demokrasia
3. Miundombinu
Miradi ya JPM:Kama huoni hakuna mtu wa kukuonesha
Nikikupa list hapa ni endless ,eg kuwapa Watoto wako Ajira ni jambo kubwa kuliko yote achilia mbali hayo ya Barabara ,hivyo ni vitu vidogo sana Kwa Samia..
Miradi ya JPM ni kama ipi hiyo?
[emoji1787][emoji1][emoji1][emoji1]Kamtoa gaidi gerezani
[emoji1][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38]Muangalie SSH kwanza back up yake :-,(mwigulu,January,Nape, )unapata picha tu kwamba hakuna Cha maana zaidi ya cheap mission behind the scene yaani ni hasara tupu,back up yake wote ni liability
Jibu hoja ,acha hisiaPunguza chuki hata kama humpendi huyo SSH
" kuweni wasimamizi wa haki na uadilifu kwa ajili ya mwenyezi, kuchukiana kwenu na watu kusikupeleekeni ninyi kutokufanya uadilifu, fanyeni uadilifu"
Hata kama humkubali mtu basi hakikisha kutokumkubali kwako liwe ni jambo mbali na kufanya uadilifu juu yake ni jambo mbali
Usichanganye hisia binafsi na uadilifu
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Haya sio matusi! Jenga hoja! Sema jambo dhahiri lenye mashiko lisilo la kufikirika ambalo kalitendea taifa!Hata ukimtusi ananyamaza kimya