Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Na hata wao wanajua wanazingua ila wataendelea kuzingua na hakuna kitu mtawafanya, au we unacho?
 
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Wenzako tumefika wewe Bado kumbe? Tunaelekea huku 👇

View: https://twitter.com/AnnaSarungi/status/1746100811422114195?t=P3H_SuhSCv2PJSnLk9-Yow&s=19

View: https://twitter.com/ProudlyCCM/status/1746101558142505079?t=vv2uCYzG6UIm3IfArum2Mw&s=19
 
Alipokufa Jiwe Tu Huyu Nyuma Tumepigwa Tumechakaa
Tumechezewa Sana Ndugu Zangu
Tumeonewa Mno
 
Kosea Kuoa/Kuolewa Maana Mnaweza Kuachana Muda Wowote
Lakini Ukikosea Kuchagua Kwenye Uchaguzi Hadi Baadaye

YAANI MIAKA 5 Ama Afe Kwa Uwezo Wa Rabi
 
Great thinkers

Huo ndo ukweri wenyewe mambo yanvyoenda hapa Tanzania utadhani hakuna serikali.

1.Maji hamna
2.Umeme hamna
3.Bidhaa bei juu.

Ni aibu kuwa Raisi kama huyu analiaibisha Taifa kwa wageni na wawekezaji
 
Jk haoni ndani kwa safari za kiongozi wa awamu ya 6, naona anaratiba ya kutembelea dunia nzima kwa kutumia ndege ya abiria 150 kubeba abiria 6 ..

Utadhani nyumbani umeme upo na maji yapo..
Screenshot_20240213-231514_YouTube.jpg
20240213_230209.jpg
 
Wewe pata picha mkeo tu hapo nyumbani anunue gauni jipya akipita atataka mtaa mzima wajue anapita au akienda kwenye sherehe atazunguka ukumbi mzima ili ijulikane yupo na amevaa gauni jipya same kwa Samia.

Bado hujaona wewe ngoja siku atakayoomba kikao na Kim Jong Un ndiyo utashangaa vizuri
 
Back
Top Bottom