Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Mzee sidhani kama upo sahihi,

Let's say aje mwingine, unadhani ndio ataweza ajiri vijana wote wanaotoka vyuoni?
Maisha n wew tu pambana, hizi siasa zina nafasi ila sio kubwa sanaa
 
P
Mzee sidhani kama upo sahihi,

Let's say aje mwingine, unadhani ndio ataweza ajiri vijana wote wanaotoka vyuoni?
Maisha n wew tu pambana, hizi siasa zina nafasi ila sio kubwa sanaa
Point ni gharama za maisha kua Juuu
 
Kama Kuna mtu anadhani ccm itampitisha Hangaya 2025 asiishie kupimwa mkojo pekee
 
Mkuu,kawaambie ambao hawajakanyaga shule.
Waishio mjini wanajitambua.
INSHU Villagers.
Akiwemo na baba na mama zetu.hao ndo wachawi wa mabadiriko
 
Kama wewe ni jobless maana yake huna kazi unaelewa, gharama za maisha zilipanda kila pembe ya nchi.

Tozo, kupanda kwa nauli, kupanda bei ya vyakula, nk.

Haya yanatosha kuwa na Rais mwingine awe wa CCM au upinzani.
Wewe kama Jobless ulitamani maisha ya majobless yaweje?
 
Mtaani Kuna namba E za kutosha
Bar zinajaa
Harusi mnaenda wengi sana

Ugumu huu unazungumzia ni wa nji ipi kijana
 
Ngoja nizungumze kwa experience.
Maisha ya jobless ni magumu sanaa.. ishu ya mtaji ni changamoto,ukiwa unakazi ni rahisi kusema vijana hawapendi kazi,waovyo n.k but sio kweli , vijana wanahitaji kushikwa mkono hawa.. kama huna watu wakukusaidia fanya hivi:
●kama huna mtaji unatakiwa utafute na ufanye kazi ambazo hazihitaji mtaji , namaanisha zinazotumia nguvu,ujuzi,akili n.k ili kupata mtaji. Mfano: saidia fundi,kuuza duka,kukatisha tiketi za maBus(NB:Usiwe mpiga debe), dalali n.k
Ukifanya kazi hizo kwa muda unaweza save pesa, then ukapata mtaji wa kufanya biashara unachotaka.
 
Wanaojipendekeza utasikia wanampamba kwa maneno ya kila namna. Mara anaupiga mwingi, mara Mama ni msikivu.

Lakini mitaani 95% hawamkubali. Maana kila kitu amaeharibu. Leo hii sukari inauzwa Tsh 5000/= Dhuluma na uonevu vimetamaraki. Mpaka Makonda anakiri mbele ya Tv.

Ufisafi ndio wimbo wa taifa. Yaani wananchi wanakamuliwa Kodi alafu wahuni wachache wanajichotea kupitia Mahindira Tech na michongo mingine
 
Wanaojipendekeza utasikia wanampamba kwa maneno ya kila namna. Mara anaupiga mwingi, mara Mama ni msikivu.

Lakini mitaani 95% hawamkubali. Maana kila kitu amaeharibu. Leo hii sukari inauzwa Tsh 5000/= Dhuluma na uonevu vimetamaraki. Mpaka Makonda anakiri mbele ya Tv.

Ufisasi ndio wimbo wa taifa. Yaani wananchi wanakamuliwa Kodi alafu wahuni wachache wanajichotea kupitia Mahindira Tech na michongo mingine




MTU mwenye macho akifanya mambo Kama MTU ambaye haoni inaumiza Sana.

Njia ya kulalamika sio njia sahihi unapohisi haki yako inachezewa chukua hatua
 
Wanaojipendekeza utasikia wanampamba kwa maneno ya kila namna. Mara anaupiga mwingi, mara Mama ni msikivu.

Lakini mitaani 95% hawamkubali. Maana kila kitu amaeharibu. Leo hii sukari inauzwa Tsh 5000/= Dhuluma na uonevu vimetamaraki. Mpaka Makonda anakiri mbele ya Tv.
Mkuu Kamanda Asiyechoka , you are right!, kwasababu ni kweli kabisa Mama ni msikivu sana na anaupiga mwingi, ila pia, hakuna ushahidi wowote kuwa huko mitaani 95% hawamkubali kwasababu sio kweli kuwa ameharibu kila kitu, kuna vitu vingi vikubwa, amevijenga, na hili la sukari inauzwa Tsh 5000/= sio yeye, hii ni issue ya kibiashara inayoitwa "the price elasticity of the demand", demand ikiwa kubwa kuliko supply, kunatokea scarcity na bei lazima itapanda, hivyo sio Samia!.

Hoja kuwa hapendwi na 95% mtaani, we subiria 2025 it will be proved na utashuhudia...
P
 
Makonda alienda kuzunguka mikoani kuongea na watanzania, wakamueleza shida zao, baadhi akazitatua on the spot, nyingine kama za sukari akawaambia wawe na subra..

Ametoka kuzunguka kwenye hiyo ziara yake, anarudi Dsm na kuitisha kikao na wanahabari, anadai kutoa ripoti, ambapo kwenye ripoti yake anawaelezea shida zile zile alizoambiwa na watanzania, ili wanahabari nao wakazirudishe tena kwa watanzania wale wale waliomwambia mwanzo.

Baada ya hapo, anakuja Samia nae anatuambia atakuwa anatenga siku moja kwa mwezi yakuongea na watanzania tumwambie juu ya matatizo yetu yale yale...

Hawa jamaa ukiwafuatilia vizuri ni pasua kichwa sana, ndio maana matatizo yetu hayaishi wameyageuza kama kitenesi, wanakirusha kidundie hapa mara kidundie kule ...

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Lakini mitaani 95% hawamkubali. Maana kila kitu amaeharibu. Leo hii sukari inauzwa Tsh 5000/= Dhuluma na uonevu vimetamaraki. Mpaka Makonda anakiri mbele ya Tv.

Ufisasi ndio wimbo wa taifa. Yaani wananchi wanakamuliwa Kodi alafu wahuni wachache wanajichotea kupitia Mahindira Tech na michongo mingine
Katika mambo ya hovyo amefanya sijayapenda
  1. Kuugawa bandari
  2. Kuuza Ngorongoro
  3. Kumtumia Zembwela kama mshauri wake
 
Back
Top Bottom