Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Rais Samia ,
Ukweli lazima usemwe watanzania walio wengi hatukupendi hata kidogo. Na pia wana CCM karibu asilimia 95% hatukupendi na wala hatutaki uendelee kugombea nafasi ya Urais kwa mwaka 2025.

Tatizo lako wewe umejaa kibrii na mbinafsi na honestly huna mapenzi ya dhati kabisa na watanganyika na huna uchungu na mali asili za watanganyika.

Ndani ya CCM kwenyewe huko ndani hawakupendi kabisa.....take it from me. Ndio maana unaitwa Chura kiziwi kwa sababu unajifanya masikio yako umeziba pamba.

Na ukitaka ujue kweli wana CCM wenzako hatukupendi tangaza rasmi kuwa hutogombea nafasi ya Urais kwa mwaka 2025 ili uone wanafiki walioko ndani ya CCM wanaosema mitano tena kwa mama Samia watakavyogeuza gia angani na kuanza kukusifia tena kwa kukupamba kwa media zote kuwa wewe ndio Rais na KIONGOZI bora usiye na tamaa na madaraka.

Watanganyika walioko kwenye cycle yako kwa sasa wanakula tu kuneemesha matumbo yao but deep from their hearts hawakupendi hata kidogo na wengine wanakuombea mabaya ikiwezekana hata kesho uondoke hapa duniaini. HUO NDIO UKWELI JAPO WEWE HUTAKI KUAMBIWA UKWELI HATA KIDOGO....... NDIO MAANA UNAITWA "CHURA KIZIWI".

Na mimi bila kupepesa macho Naungana na watanganyika wenzangu na wana CCM wenzangu kuwa HATUKUPENDI HATA KIDOGO.

Uondoke utuachie nchi yetu - Tanganyika yetu. And by your information hili suala la wamasai na kuuza ngorongoro kwa wajomba zako waarabu ndio limezidi kuwakasirisha zaidi watanganyika wote.

Samia , nakuita tena SAMIA HUPENDWI na watanganyika wengi na wana CCM wenzangu wote ...... HATUKUPENDI NA HATUKUHITAJI

Umeshatuharibia nchi yetu vya kutosha, now please go away kalee wajukuu tu
Atuachie Tanganyika yetu. Atoke. Atoke.
 
Ndani ya CCM kwenyewe huko ndani hawakupendi kabisa.....take it from me. Ndio maana unaitwa Chura kiziwi kwa sababu unajifanya masikio yako umeziba pamba.

Na ukitaka ujue kweli wana CCM wenzako hatukupendi tangaza rasmi kuwa hutogombea nafasi ya Urais kwa mwaka 2025 ili uone wanafiki walioko ndani ya CCM wanaosema mitano tena kwa mama Samia watakavyogeuza gia angani na kuanza kukusifia tena kwa kukupamba kwa media zote kuwa wewe ndio Rais na KIONGOZI bora usiye na tamaa na madaraka
Hata mwanaye amethibitisha na anajua Mama yake hapendwi

 
Hu uzi utafutwa kama wilaya ya Ngorongoro, ngoja mods bado wanapata breakfast.
hivi hao mods huwa wanapatikana wapi.

mwanzoni huu Uzi nilikuwa sijaelewa sana, sasa nimekuelewa. ni swali zuri sana kujiuliza maana hali sio kabisa!
 
Katika mambo ambayo CCM 2025 hawapaswi kamwe kukosea ni kumrejesha Rais huyu madarakani
1. Kwanza Tanzania bado tunatawaliwa na mfumo dume kiasi kwamba hata ndani ya CCM wenyewe hawapo tayari kumwongezea miaka na wapo wengi tayari kumchagua hata upinzani maadamu ni jinsia ya kiume .

2. Wengi wanaona kwamba hayupo tayari kulinda Raia wake, kumekuwa na ajari, Ngorongoro wafugaji wanatumia yeye ameamua kuwa kimya
3. Issue ya bandari inamtafuna maana hata kanisa Katoliki ambalo limeota mizizi mpaka kijijini mashauri yao yamepuuzwa na kumbuka wapo watu ambao hawawezi kudharau kauli ya viongozi wao
4. Kikokotoo na nyongeza za mishahara kwa wafanyakazi imepuuzwa.
5. Utekaji umekithiri bado kama amiri jeshi Mkuu mfariji wa raia mlinzi wa uhai wa wananchi yeye amenyamaza kimya.
CCM mnapaswa kufanya maamuzi magumu sana uchaguzi wa 2025
 
Katika mambo ambayo CCM 2025 hawapaswi kamwe kukosea ni kumrejesha Rais huyu madarakani
1. Kwanza Tanzania bado tunatawaliwa na mfumo dume kiasi kwamba hata ndani ya CCM wenyewe hawapo tayari kumwongezea miaka na wapo wengi tayari kumchagua hata upinzani maadamu ni jinsia ya kiume .

2. Wengi wanaona kwamba hayupo tayari kulinda Raia wake, kumekuwa na ajari, Ngorongoro wafugaji wanatumia yeye ameamua kuwa kimya
3. Issue ya bandari inamtafuna maana hata kanisa Katoliki ambalo limeota mizizi mpaka kijijini mashauri yao yamepuuzwa na kumbuka wapo watu ambao hawawezi kudharau kauli ya viongozi wao
4. Kikokotoo na nyongeza za mishahara kwa wafanyakazi imepuuzwa.
5. Utekaji umekithiri bado kama amiri jeshi Mkuu mfariji wa raia mlinzi wa uhai wa wananchi yeye amenyamaza kimya.
CCM mnapaswa kufanya maamuzi magumu sana uchaguzi wa 2025
Hakika anaupiga mwingi
 
1. Kwanza Tanzania bado tunatawaliwa na mfumo dume kiasi kwamba hata ndani ya CCM wenyewe hawapo tayari kumwongezea miaka na wapo wengi tayari kumchagua hata upinzani maadamu ni jinsia ya kiume
Tusibague Mtu kwa Jinsia yake Rangi yake Dini yake Kabila lake nk.

Ubaguzi wa aina yoyote haufai tuchague Mtu kutokana na uwezo wake.
 
Katika mambo ambayo CCM 2025 hawapaswi kamwe kukosea ni kumrejesha Rais huyu madarakani
1. Kwanza Tanzania bado tunatawaliwa na mfumo dume kiasi kwamba hata ndani ya CCM wenyewe hawapo tayari kumwongezea miaka na wapo wengi tayari kumchagua hata upinzani maadamu ni jinsia ya kiume .

2. Wengi wanaona kwamba hayupo tayari kulinda Raia wake, kumekuwa na ajari, Ngorongoro wafugaji wanatumia yeye ameamua kuwa kimya
3. Issue ya bandari inamtafuna maana hata kanisa Katoliki ambalo limeota mizizi mpaka kijijini mashauri yao yamepuuzwa na kumbuka wapo watu ambao hawawezi kudharau kauli ya viongozi wao
4. Kikokotoo na nyongeza za mishahara kwa wafanyakazi imepuuzwa.
5. Utekaji umekithiri bado kama amiri jeshi Mkuu mfariji wa raia mlinzi wa uhai wa wananchi yeye amenyamaza kimya.
CCM mnapaswa kufanya maamuzi magumu sana uchaguzi wa 2025
Well said✌️
 
Back
Top Bottom