The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
- Thread starter
-
- #81
Nadhani kama angekuwa anamaanisha hivyo angeruhusu wanachadema waanze kujipanga kugombea nafasi mbalimbali lakini inavyoonekana wamepigwa Pini wasihusike na chochote ila wajipange kuzuia uchaguzi.Lissu anachojaribu kuieleza dunia ni kwamba bila mabadiliko kitakachofanyika si uchaguzi
utapeli mwingine bana ni hasara kwa chama husika pekee,Hatususii uchaguzi kwa maana ya kwamba wengine waende kwenye uchaguzi wengine wasiende.. Ni kwamba hakutakuwa na uchaguzi kabisa kwa yeyote yule bila mabadiliko tajwa
Halafu mnataka CCM iwape Nchi😀😀😀😀 nyieee!!!Tatizo akili zako zimegandia mahali badala ya kujadili hoja wwe unaleta ushabiki kwani nani kamtaja Mbowe hapa au ulilala kwake leo!?
Selo tz hazijai,ndoo ya maji tu ndiyo hujaaHatususii uchaguzi kwa maana ya kwamba wengine waende kwenye uchaguzi wengine wasiende.. Ni kwamba hakutakuwa na uchaguzi kabisa kwa yeyote yule bila mabadiliko tajwa
Siyo waoga bali busara,uumie kisa watu wasio na msimamo,leo lowasa fisadi kesho mabadiliko lowasa lowasa mabadiliko!!?..halafu watanzania wamekosa nini ambacho chadema watakileta hadi wafanye vurugu kuzuwia uchaguzi!?Kuna nadharia halafu kuna uhalisia.
Kiuhalisia Watanzania bado waoga sana.
Watanzania hawahitaji mikutano ya hadhara,waliibiwa uchaguzi lini, ushahidi?Sasa wanavyoibiwa chaguzi kila mara bila kupinga napo si uoga?
Walipokatazwa kufanya mikutano ya hadhara ambayo imeruhusiwa kikatiba wakakaa kimya napo si uoga?
Kujiamini hakuna maana yoyote katika hiliTAL anajiamini mno.
Kuna maana kama ana ushawishi na nyenzo za kutimiza huko kujiamini kwake otherwise ni kujiamini kwa mdomoni.Kujiamini hakuna maana yoyote katika hili
Nyenzo wala ushawishi hanaKuna maana kama ana ushawishi na nyenzo za kutimiza huko kujiamini kwake otherwise ni kujiamini kwa mdomoni.
Kwahiyo ni porojo za mdomoni. Ngoja tuone.Nyenzo wala ushawishi hana
Hakujawahi kuwa na ELECTION toka nchi hii ipate uhuru.Anasisitiza kwamba no reform no election.
Akiulizwa mtasusia uchaguzi? Anakataa kwa nguvu zote kwamba chadema haiko tayari kususia uchaguzi.
Akiulizwa ni lini mtatangaza jina la mgombea wenu, anasema huwezi kuendelea kutangaza mgombea wakati umesema no reform no election.
Utata unakuja namna hii.
Siku zimesonga sana na mda ni mfupi sana sasa ni lini huyu mheshimiwa ataanza kuizuia serikali isiendelee na michakato ya uchaguzi?
Ni reference gani anayo inamhakikishia kuwa na ubavu wa kuzuia uchaguzi?
Mtu mwenye akili nyingi kama Lissu anaeeleweka kiurahisi na watu wenye akili. Mtu kama wewe hauwezi kuelewa. Kumbuka ulichopata kwenye masomo yako darasani . Kama sio sifuri ni ni zeroni muhimu wananchi kuepuka vibaka na matapeli wa kisiasa kama hao,
afadhali vyama vya upinzani vimeshaanza kumstukia, kupuuza wito wa kuungana nae, na kumkana ni wazi huyo ni tapeli katika siasa
hataki mdahalo wala hataki uchaguzi na haijulikani anataka nini?
awaeleweshe basi na viongozi wenzake wahubiri no reform no elections?Mtu mwenye akili nyingi kama Lissu anaeeleweka kiurahisi na watu wenye akili. Mtu kama wewe hauwezi kuelewa. Kumbuka ulichopata kwenye masomo yako darasani . Kama sio sifuri ni ni zero
Kwani wapi nimesema Watanzania wote wapo kwenye mrengo (ni mrengo, si mlengo) wa Lissu?aliyekuambia watanzania wote wapo kwenye mlengo wa lissu nani ? ndiyo maana kuna chadema na ccm tena ccm ni wengi unawashindaje sasa?
Wengi ni waoga halafu wajinga kama wewe.Siyo waoga bali busara,uumie kisa watu wasio na msimamo,leo lowasa fisadi kesho mabadiliko lowasa lowasa mabadiliko!!?..halafu watanzania wamekosa nini ambacho chadema watakileta hadi wafanye vurugu kuzuwia uchaguzi!?
Wewe ni muoga na mjinga sitaki uniambukize ujinga wako kwa kujibizana nawe.Watanzania hawahitaji mikutano ya hadhara,waliibiwa uchaguzi lini, ushahidi?
Mkuu mwishoni ungeweka na nukta kabisa. Sio kupakana mafuta ni aidha operation au nusu kaputi operation iendelee ugonjwa uponeHatususii uchaguzi kwa maana ya kwamba wengine waende kwenye uchaguzi wengine wasiende.. Ni kwamba hakutakuwa na uchaguzi kabisa kwa yeyote yule bila mabadiliko tajwa