Anayesema Moshi pagumu kwa wageni, ugumu wake ni nini?

Asante kwa kumjibu huyu mcheza vigodoro
 
Hahaha bdo unaendelea kubisha? Uchagani makaz Bora ni 90% yaan kila ukitembelea nyumba 10, 9 ni za kisasa(nzuri) indicator mojawPo ni kwamba uchagani yote haina hata nyumba moja ya nyasi kama kule kwenu Lindi
Uko bize kusufia manispaa iliyodumaa
 
Asante kwa kumjibu,ngoja nimuongezee kama serikali ndio main investor mbona marehemu jiwe pamoja na kuvutia kwake lakin still now mkoa wake geita ni wa 3 kwa umaskini? Huku Kilimanjaro ikiendelea kuwa top ktk life standard,makazi Bora na miundombn toshelez kwa 90%, imagine Kilimanjaro nzima Hakuna hata shule moja mtoto anakaa chini, imagine Kilimanjaro despite udogo wake lakin ndio mkoa unaoongoza tz kuwa na shule nyingi ohh God bless Kilimanjaro
 
Uko bize kusufia manispaa iliyodumaa
Wananchi hawaishi manispaa, nazungumzia vijijin huko uchagani Mambo ni swaafi mijumba kama Amsterdam yaani 90% ya nyumba za Kilimanjaro ni za kisasa hii ni kwa mujibu wa ripoti ya serikali usinitolee povu pole
 
Unatupiga Kama hapa.

Bukoba Kuna emails za kihaya??!! Hebu toa mfano.


Halafu acha kulinganisha bukoba na Moshi kwenye swala la ubinafsi na Tabia zenu za ajabu.


Bukoba Kuna wasukuma kibao,waha kibao,wanyarwanda kibao,waganda ndo husiseme,wajita na wajaluo Hadi nyie wachaga wenyew mpo huku bukoba.


Sema bukoba watu wengi wanapenda kuongea kihaya lakin sio kwamba ni pagumu kwa mgeni.


NB. Ukiwa mgeni hupaswi kudharau wahaya hata kidogo hapo utajuta. Wahaya hawapendi dharau..
 
Wewe naye kila wakati unawaza uchagga tu. Sasa hivi mtasononeka sana. Enzi za wachagga kupendeleana vyeo zimeshapita shirikiane na watanzania kujenga nchi. Hakuna namna.
 
Wananchi hawaishi manispaa, nazungumzia vijijin huko uchagani Mambo ni swaafi mijumba kama Amsterdam yaani 90% ya nyumba za Kilimanjaro ni za kisasa hii ni kwa mujibu wa ripoti ya serikali usinitolee povu poleView attachment 1897288
Hii ni trela, wangeona mijumba iliyoshushwa huko Vijijini wala wasingefyta mamidomo yao kama pipa manina zao. Kuna umbwa kanikera hapa. Watu tunaharmonize vitu na mingine inakuza ukabila, nizakale kama mkun unawashwa nenda kino.
 
Wnaubaguzi sana hawa jamaa. Heri mpaka ungesogezwa wawe kenya kwa wabaguzi wenzao. Nashangaa hata serikali inavyowapa nafasi sekta nyeti maana ni ulaji kwanza huduma baadae!
 
Moshi ikusanye zaidi ya Jiji la Mwanza ?
Hapo tu kwenye population ni uhuni na uongo unaongea..

Tax records Moshi inakusanya zaidi ya jiji la Mwanza. Sasa sijui unaongelea nini hasa..

Alafu unavyosema Moshi hakuna kilichobadilika ni upuuzi na chuki zako kwa watu wa jamii hiyo
 
Kumbe ndio hivyo ! Kumbe Kilimanjaro ni makaburini ?
 
Kwa hiyo tuwaonee wivu kwa idle capital waliyowekeza kwenye nyumba za kulala na makaburi Moshi na Nyumba za kulala Christmas na misiba?
.Kwani hizo nyumba za kulala Christmas na makaburi vina generate income gani hadi tuwaonee wivu?
 
Nyumba ya kulala tu sio Asset ni liability sababu haiingizi hela linatumia hela tu

Hakuna benki itakupa pesa kisa eti una ghorofa la kufikia Christmas Moshi. Hawataki benki kuchukua kama dhamana unless likiwa na wapangaji hapo Sawa lakini ghorofa tu liko migombani Moshi liimekaa kama mtu anajisaidia haja kubwa wima linasubiri tu watu waje msibani na krismasi eti ukopee benki kama dhamana Hakuna
 
Hebu Soma vzr post yangu.


Una mihemuko sana
 
Si kweli wahindi ndio wengi,wachaga wanamiliki uswekeni,na owners wengi ni wanawake wa makabila tofauti Tanzania
 
Usijidanganye am the land official btw😂👊🏼
 
Ok umeshinda good day a keyboard warrior,watu tuko site na hatujadil propaganda or a mere say
 
Jinsi unavyoandika unaonekana unapitia wakati Mugumu Sana katika maisha yako.

Take it easy na jipe muda.

Time heals
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…