Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga

Watu wenye pesa wanaume hupenda kuoa au Ku-date na wanawake ambao wapo financial broke ili kuwafanya kuwa submissive - kuwatii wanaume.

Na ndoto kubwa ya masikini huwa ni kulipiza Mapito yao waliyofanyiwa Kama , kudharauliwa, kutukanwa , kuteswa , hivyo msamaha wa MTU masikini ni kisasi.


Shusho anachopitia sio mapepo wala dharau kwa mme wake .

Isipokuwa anajaribu kuishi katika dark side yake.

Na dark side hakuna MTU ambaye Hana dark side.
 
Nimeipenda hii
 
Haya ndio matokeo ya mkutano wa Beijing...
 
Mleta mada upo sahihi ila mwanamke ni kuimbe kinachomtegemea mwanaume, ili awe comfortable lazima apate protection kutoka kwa mwanaume. Hizi ni facts hata wanyama wapo hivyo, dume aliye na nguvu ndo atamuwin jike. Ila sikuhizi kuna mentality ambayo wanawake wamjewekea ya 50/50. Hii ni doa kwa mustakabali wa maisha yao maana hakuna mwanaume anayeweza kuishi na mwanamke asiekubali kuongozwa vivyo hivyo hakuna mwanamke atake kubali kuishi na mwanaume asie kiongozi. Sasa tusichanganye mswala ya kuwapa haki wanawake wakapitliza kuchukua majukumu ya uongozi. Lazima utadharaulika kama mwanaume.
 
Binafsi sishindwi kuwalisha wazazi wake na kuhudumia mwanamke

Pia naamini wanaume wengi hatushindwi kutoa mahitaji ya msingi kwa familia

Ila siwezi kumnunulia range wala kumnunulia designer clothes
Kwasabab hayo mambo hayanibariki mimi.

Mkuu naanzaje kumuhudumia mwanaume mwezangu(baba mkwe)
Hii sasa ni dharau.
Sio wajibu wangu wala wa mke wangu

Sasa kama unapingana na wanawake kulipiwa mahali unaanzaje kusema niwahudumie wakwe.

Siwezi mjengea chochote baba mkwe.
Ila ninaweza nikawalisha ikiwa kama sehemu ya usamalia wema kwan kama nitajitoa kwa misaada kwa yatima nitafanya vivyo kwa wakwe na ndugu.
 
Christina ni malaya wa muda mrefu sana ni vile amejificha ktk uimbaji, lakini hakuna mwanaume hajamvua chupyi... Na alishaachwa baada ya kuumwa muda mrefu, mumewe ikabidi amuache ili asije kufa na magonjwa yasiyoeleweka... Hivi sasa mwanamke anayofanya ni kutafuta defense mechanism apate sympathy ya watu...
 
Mtibeli wewe kwamba sasa unaungana na Hamonize, Ipm na wengine woooote wanaoshikiliwa na nguvu flan iv kizazi cha mwanamke kisimamiwe na mwanamke mwenyewe. Cjui una umri gan ila mda utaongea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NDOA ni utaratibu wa Mungu mwenyewe ambao ni wazamani sana kama alivyo Mungu mwenyewe.Sheria na kanuni za kuishi katika NDOA kaziweka mwenyewe wala siyo binaadamu.Msingi mkuu wa NDOA ni UTII wa mwanamke kwa mumeo yaani ni mwanamke kuwa chini ya mwanaume,kinyume na hapo panakuwa hakuna NDOA.
Hakuna mwanadamu anayependa haya maisha ya NDOA awe Mwanamke au mwanaume kwa sababu ndani ya NDOA hakuna uhuru kwa jinsia zote.Ingekuwa siyo dhambi kwa mwanadamu kuishi tu kama mnyama(kukutana kimwili kiholela) bila ya utaratibu,basi hakuna ambaye angeoa na kuolewa.

NDOA NI MFUMO WA MUNGU NA WATAUISHI WATU WA MUNGU TU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Noted Mkuu, malala imeeleweka...
 
Nimeipenda hii
 
Mleta mada anataka simba jike na dume wawe na nguvu sawa, seriously?
Mada zingine zina ukakasi sana, hata kuzijadili unaona uvivu.
 

Tofauti ni moja kati yako na yeye

Wewe umeegemea kwenye dini na mila walizoishi mababu na mabibi zetu lakini pia baba na mama zetu.

Yeye kaegemea kwenye uhalisia wa dunia iliyopo na inayokuja.

ni uhalisia usiopingika, kuwa zamani mali na kila kitu kilikuwa cha mwanaume maana hata mwanamke hakuweza kurithi mali. Mwanamke hakuweza kupigana vita au kupambana na wanyama wakali au vibaka. Hivyo mwanaume alikuwa kila kitu kwa mwanamke kuanzia chakula hadi security hivyo, kuolewa ilikuwa ni bahati na heshima.

Mwanamke alikuwa kupe hivyo ni lazma angemshikilia na kumtii mumewe hata afanyiwe nini, apigwe, asalitiwe na adhalilishwe lakini angeweza kusurvive vipi au tu kuwalea watoto wake bila mwanaume. Haiwezekani na nadhani hiyo ndo concept ya mtoa mada ya kuuita utumwa maana wengi walibakia ndoani for survival na si kwa maamuzi binafsi kama watu huru.

Leo mwanamke anasoma na kupata kazi lakini pia dunia ya leo security kubwa ni pesa na sio sime hivyo, utegemezi wa mwanamke umepungua kwa kiasi kikubwa.. Hivyo unadhani mwanamke alive huru atapata sababu gani ya kung'ang'ania ndoa ambayo haipo sawal kwake, sio rahisi

Ndio maana mwanaume traditional ni ngumu kumuelewa mwanamke wa "kisasa" Kwa sababu ya kuwa na matarajio tofauti. Hii conflict of interests ndio inasababisha ndoa nyingi kufa

Japo hii concept ya uhuru wa mwanamke imepotosha wanawake wengi kwa kuhisi wanatakiwa kuwa toxic au kuonesha mabavu dhidi ya wanaume ili waonekane independent. Kitu ambacho si sahihi maana mwanamke kujaribu kuwa mwanaume hupoteza haiba yake ya uanamke hivyo, wanaume inabidi tujitahidi kujifunza kuishi na hawa independent ladies lakini wanawake wajitahidi kuona nafasi yao katika jamii inatakiwa kulindwa na sio waipuuze sababu ya kupata pesa au madaraka. La sivyo, tutaendelea kuwa na kizazi ambacho kipo damaged kwa kukosa malezi stahiki ya baba na mama wanaoheshimu nafasi zao za kiasili katika maisha ya watoto wao.
 
Sasa alikuwa anasababu gani kuitaja Ndoa ambayo ni mfumo wa kizamani katika mada mfumo wa kisasa?.
Ukiitaja Ndoa umemtaja Mungu(Imani) na ukiitaja Ndoa umeutaja mfumo wa kizamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka Mwanamke apewe uhuru gani zaidi au unamaanisha wa kwenda kupakuliwa nje ya ndoa.. maana uhuru wa kwenye ndoa wanao
 

Kuna Watu wanaakili sana.

Mkuu maelezo yako kama kuna mtu ambaye hajakuelewa basi tena.
Umeeleza kwa lugha nyepesi lakini ujumbe umesimama.
 


Siku zote wahalifu na waovu hutumia mambo ya Mungu vibaya kuwadhulumu wengine.
 
Sasa alikuwa anasababu gani kuitaja Ndoa ambayo ni mfumo wa kizamani katika mada mfumo wa kisasa?.
Ukiitaja Ndoa umemtaja Mungu(Imani) na ukiitaja Ndoa umeutaja mfumo wa kizamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sioni kama anachofanya shusho ni sawa kwa sababu yule hakuwa ni mume tu bali ni baba wa watoto wake. Chochote anachokisema hakiishii kwa mume wake bali kwa watoto wake ambao ni wakubwa...

Nadhani shusho pamoja na umaarufu na kila kitu ambacho amekipata kwa kuonekana kuwa ni figure flani ya kimungu kwa watu kupitia nyimbo zake. Ila maneno ya chini chini kuhusu kutelekeza familia yake yanamuathiri, na dhidi anavyozidi kujisafisha ndivyo zidi anavyojichafua

Kwa hiyo comment yangu ilikuwa general kutokana na presentation ya mada na si case ya shusho. Kwa sababu alitakiwa kulinda hisia za watoto wake pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…