Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga

Upo sahihi kwa misingi ya kisiasa na dunia ya sasa inavyotaka binadamu tuishi.
Women deserve freedom.

Maswali yangu kwako mkuu?

1.Do women really need freedom?
Is freedom what women really want?
Uhuru ni haki ya mtu bila kujali anataka au hatakî. Haki ni lazima sio hiyari.

2.freedom is earned not given, can you talk about it.

Jaribu kupambana na Nature

Hata hivyo wanawake sio kama wanapewa Uhuru ila uhuru wao wanaupigania wenyewe kwa namna mbalimbali.

Mkuu mimi sio mfuasi wa Watu wanaopenda kupendelewa. Nataka Watu wapewe haki zao. Hilo tuu.

Hicho mnachokipinga ndio hichohicho CCM na vyama vya upinzani vinavyofanya
 
Samahani Mtoa Mada , Naomba uniambie Mfumo Dume wa KiMungu upoje ?
 
Neno ukoloni mambo leo halijapatikana kibahati mbaya mkuu.

Sisi bado tunatawaliwa.
Kama unataka ukweli fuatilia hotuba zote za juliasi utagundua hilo.

Tujikite kwenye mada naona leo umeamua kuplay as a Devil's advocate kwenye hii thread yako.

The fact sijamzungumzia c shusho na situation yake nimeamua kutonasa kweny huu mtego.
 
Mtoa Mada , Naomba uniambie Mwanamke ameelezewaje ( awe vipi ) kwenye Familia ? Tumia Biblia


Na Mwanaume Ameelezewaje ( Awe Vipi ) kwenye Familia ? Tumia Biblia



Kwanini nimekuambia Biblia , Ndio Neno la Mungu Muumbaji ....
 

Kwani kipi kwenye mada ambacho hakipo sàhihi ili nione msingi wa hoja yako?
 
Hoja Ulizoandika kwa sehemu kubwa ni sahihi lakini sidhani kama unauthibitisho wa kutosha kuhusisha ndoa ya Christina Shusho katika mazingira uliyoandika.
 
Kama ni mahakamani hii kesi utashinda 100%

Nilitegemea utatumia falsafa za kitibeli katika hili.
 
Mtoa Mada , Naomba uniambie Mwanamke ameelezewaje ( awe vipi ) kwenye Familia ? Tumia Biblia


Na Mwanaume Ameelezewaje ( Awe Vipi ) kwenye Familia ? Tumia Biblia



Kwanini nimekuambia Biblia , Ndio Neno la Mungu Muumbaji ....

Mithali 31 inamuelezea Mwanamke anatakiwa kuwaje. Kisha amtii mumewe.

Mume anatakiwa ampende Mkewe.

Neno mke na mume linakuja baada ya wawili hao kupendana(kukubaliana).
Lakini kama kuna mmoja Kalazimishwa automatically protokali haiwezi kufuatwa kwa sababu msingi mkuu umevunjwa
 
Hoja Ulizoandika kwa sehemu kubwa ni sahihi lakini sidhani kama unauthibitisho wa kutosha kuhusisha ndoa ya Christina Shusho katika mazingira uliyoandika.

Nimeandika kutokana na kile alichoeleza Christina Shusho mwenyewe.
Alafu Christina Shusho hapa ni Case study tuu ila mada inahusu Watu wote
 
Kama ni mahakamani hii kesi utashinda 100%

Nilitegemea utatumia falsafa za kitibeli katika hili.

Hata kitibeli nitashinda Mkuu.
Kwa sababu Utibeli ni Haki, upendo, maarifa na ukweli. Ambapo kwa mahakama kinachohitajika ni kimoja tuu ukweli(ushahidi)
 
Kuna nini kwani
 
Uhuru
Uhuru ni zaidi ya vile ambavyo umajaribu kusema kuwa wanawake wanatakiwa kupewa uhuru.

Kumtetea mwanamke asifanye majukumu yake muhimu kwenye familia hiyo siyo kumpa uhuru .

Hakuna sehemu nimesema Mwanamke asifanye majukumu yake katika familia. Ila ñilichoandika ni kuwa majukumu ya Mwanamke ndani ya familia ni makubwa na yanakaribiana na ya mwanaume ndio maàna ya mke ni msaidizi wa mume hata siku mume asipokuwepo mke ndio anabeba familia na anakuwa kichwa cha nyumba
 
Hii 50/50 ndio imeiangamiza dunia
 
Mtu akitaka kutenda dhambi huja na sababu lukuki kuhalalisha dhambi zake.Hata Adamu alipomkosea Mungu alikuja na sababu kibao. Pia mtoto wake, Kaini wakati ana muua nduguye Abeli pia alikuwa ana sababu zake alipoulizwa na Mungu. Kiufupi, Hakuna kinachoJustify yeye kuvunja ndoa. Anakwenda kinyume na Biblia anayoiimba 🤔
 

Kavunja sheria ipi Mkuu ya biblia?
Na wazazi walitumia kifungu gani cha sheria kumlazimisha ndoa?
Maana yeye Utetezi wake ni kuwa aliolewa kwa amri ya wazazi na sio hiyari yake.
 

Mkuu hii ngoma ni nzito
Mwisho wa siku hatuwezi kushindana na mfumo .
 
Kavunja sheria ipi Mkuu ya biblia?
Na wazazi walitumia kifungu gani cha sheria kumlazimisha ndoa?
Maana yeye Utetezi wake ni kuwa aliolewa kwa amri ya wazazi na sio hiyari yake.
Miaka 19 ni mtu mzima. Kabla ya kufunga ndoa huwa unaulizwa pale mbele ya watu wote kama amekubali. Kwanini asikatae? Narudia tena mtu akiamua kutenda dhambi, visingizio havikosekani. Ndoa za kikristo huwa hazivunjiki, labda mmoja wapo, Kati ya wana ndoa, azini🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…