Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #101
kisha akasema Watu waoane kwa kufanana(kwa classes).
nambie kitabu gani sura ya ngapi na mstari wa ngapi
Huwezi pingana na asili uliyoikuta ndo anachoribu mleta uziMfumo unaopingana na asili
Acha uongo upendo hauna formulaMwanzo 2:13,18
[
[18]BWANA Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Unaelewa nini unaposikia neno kufanana na Classes?
Mwamba anataka wanawake nao wawe wanatongoza kama wanaume na wawe wanapanga tarehe za harusi ndo uhuru anaouongelea
Acha uongo upendo hauna formula
Tatizo nyuzi zako zinaonyesha bado ni mtoto
Huwezi pingana na asili uliyoikuta ndo anachoribu mleta uzi
UnasikitishaHuwezi pingana na asili uliyoikuta ndo anachoribu mleta uzi
jamaa ana mindset za mpinga kristo...yani katumia weakness ya shusho kuja kupotosha umma kuhusu ndoa...Ninachoamini SHUSHO is Human being can make a MISTAKE hata yeye anaweza kwasasa asijue kama anakosea coz Kazi ya shetani sometimes kujiugeuza malaika na kukuletea false massage kama aliyoletewa shusho kwa kusema katumwa na roho mtakatifu kumbe is WRONG maana anajua akimtumia yeye ataweza kusepa na kundi la watu kuamini ndoa is BAD thing na wnawake wengi wakamfuta anyways dua zangu ni MUNGU amfungue shusho kwenye battle of mind aliyonayo kwa sasa to save her marriage.
Unasikitisha
Ukweli ni kwamba wamefanikiwa mkuu kwa kiasi kikubwa.
Hili jibu linaonyesha wewe bado ni mtoto unayeishi kwenye fantasy world ila ukikua utaachaAsili ni nini kwani?
Sheria za mila na tamaduni sio asili ni mapokeo.
Hizo elimu mlizipatia wapi?
Mfumo unaotuamlia nini chakufanya kipi ni sahihi na si sahihi.
Swala la mwanaume kumtongoza mwanamke ni asili hiyoTatizo Watu wanataka mapokeo yao ndio yaitwe asili jambo ambalo sio sahihi.hqwi
Classes uliyo itathmini siyo aliyoimaanisha MUNGU..wewe umeitathmini classes kama uwezo wa kifedha/kiupeo/kielimu/kimwonekano nk. kutokana na thread yako lakini hapo kilichomaanishwa zaidi ni sifa za nafsi zaidi zinazobeba Character ya mtu kama upole,utu,hekima,kupenda ibada,utii,unyenyekevu nk...Mwanzo 2:13,18
[
[18]BWANA Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Unaelewa nini unaposikia neno kufanana na Classes?
Upo sahihi mkuu ila nikukumbushe tu hatuoi single madhaz...Just keep that in your mind bruh!Jambo kuwa kiasili haimaanishi ni HAKI.
Niliwahi andika hivyo lakini haimaanishi nililiunga mkono.
Mwanamke aolewe katika umri ambao kwa hiyari yake anataka kuolewa.
Hili jibu linaonyesha wewe bado ni mtoto unayeishi kwenye fantasy world ila ukikua utaacha
Hili jibu linaonyesha wewe bado ni mtoto unayeishi kwenye fantasy world ila ukikua utaacha
Upo sahihi mkuu ila nikukumbushe tu hatuoi single madhaz...Just keep that in your mind bruh!
Mkuu?Tatizo Watu wanataka mapokeo yao ndio yaitwe asili jambo ambalo sio sahihi.hqwi
Eti upendo hauna formula!!? Wewe unaonekana ndiyo bado mtoto.Acha uongo upendo hauna formula
Tatizo nyuzi zako zinaonyesha bado ni mtoto