Hakuna hoja yoyote ya kumtetea Christina Shusho yenye mashiko...
Wewe una uhakika Gani kuwa mke wako anakupenda?
Haya twende..., kuna uhusiano Gani kati ya kuolewa na mume asiyempenda na Yeye kumuacha Mungu aliyemuimbia Mtetezi wangu yu hai na akaungana na Mungu wa mtu mwingine?
Ni kwamba hiyo ndiyo rangi yake halisi. Unamtetea!!! Unajua Kwa matendo yake anaziangamiza nafasi ngapi?
Binafsi yangu nilimpenda sana Shusho hata isingeweza kupita wiki sijaskiza nyimbo zake kadhaa, zilikuwa zinahuisha...
Sasa nioneshe huyo Mwanaume Yeye anampenda na akaolewa nae.
Sasa Robert tuelewane kitu kimoja, usije hata siku 1 ukafikiri kwamba mkeo kuchepuka ni ishara ya kutokukupenda.
Kijana wewe bado sana hujaizunguka Dunia, bado tena nasema bado.
Nisitoe maelezo mengi ila kuna mtu akikuamulia huyo Mwanamke wako ni ndani ya nusu saa anabebwa.
Na una hakika Gani huchapiwi?
Isije ikawa umelishwa malimbwata tunaongea na malimbwata ndo maana hata nyuzi hazieleweki...
(Mimi nachoelewa ni Shusho amepata shambulio la kiroho akashindwa kujinasua)