Wanao tenda dhambi na maovu ni maadui wa Mungu.
Ndiyo maana ata ukisoma biblia unaona kwamba Mungu alitafuta kisa kati ya Samson na wafilisiti Ili Samson apate kuwa uwa
Daudi naye pia hivyo hivyo shughuli yake ilikuwa kuwa angamiza maadui wa Mungu.
Acheni upuuzi, huyo Mungu ni katili namna gani?, haya hao watu waliofanya makosa je watoto wadogo,wanyama na mali zisizohusika na hao watenda dhambi haki Yao ikoje?, Hamuoni kuwa Mungu wenu anajipinga mwenyewe ktk maandiko aliposena Uovu wa mtu hautorithiwa kwa mwana? Hapo hapo Kuna mistari inayosema uovu wa mtu utaadhibiwa mpka vizazi vi4, je lipi ni sahihi?.
Ni muda Sasa wa waafrika kuamka na kuzikataa hizi TAKATAKA tulizokalilishwa na wazungu wakituaminisha ndio utakatifu, kumbe Ushenzi mtupu.
Ukristo+uislam ndio chanzo cha maovu hapa duniani, maajabu hutoona wale wanaoitwa wapagani wakifanya unyama kwa viumbe wengine, Bali ni hao wafia dini wanaojiita watu wema na watenda mema na Mungu wao mwenye huruma, lkn matendo Yao ni zaidi ya ushetani.
Hata maandiko yenu yanaprove kuwa huyo Mungu wenu wa ukristo+uislam ndiye aliyeangamiza maisha ya watu+wanyama wengi wasio na hatia kuliko hata huyo shetan anaeitwa mbaya na muovu, Sasa sijui Kati ya Mungu na shetan ni yupi muovu.
Maajabu pia Kuna maelfu ya dini na Imani, lkn hutoona zikifanya wala kufundisha maovu na chuki kama hizi dini zenu za kishetani za Abraham(uyahudi, ukristo, uislam), hizi dini ni hovyo kabisa.
Huu ni muda wa watu kuamka na kuujua ukweli