DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Yako mengi sana..
Hapa Kuna Amri ya Kuua wanaume wote hata watoto wa Kiume halafu mabinti ndi waachwe Na Wale walioolewa wanauliwa wao na Waume zao..
Wanabaki wale mabikra halafu wanagawana Mabikra Musa na Wenzake..Dah
Hesabu 31:15,17 na 18
Ghayo TheMongo Barbarian
Hapa Kuna Amri ya Kuua wanaume wote hata watoto wa Kiume halafu mabinti ndi waachwe Na Wale walioolewa wanauliwa wao na Waume zao..
Wanabaki wale mabikra halafu wanagawana Mabikra Musa na Wenzake..Dah
Hesabu 31:15,17 na 18
Ghayo TheMongo Barbarian