DOKEZO Angalizo: Utapeli na wizi kwenye maduka ya Pharmacy/ biashara ya dawa za binadamu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Asante sana kwa keshea nasi taarifa muhimu kama hii,

Juzi kati tu hapo nilimskia wifi yangu anamwambia mdogo wake 'zile dawa tunazomnunulia mama za miguu kwa shlng elfu 6 kuna mdada anawauzia watu kwa elfu 70 ati anawaambia zinatoka nje' Yaani mdada anafanya kuchkua pesa na kujifanya anaagizia nje kumbe anaenda kwenye pharmacy kununua kwa elfu 6 then yeye anauza elfu 70.
Yaelekea tushapigwa sana sana
 
Acha mambo ya kuaassume sema ulipigwa kitendo tu cha kuchungulia na kuangalia aliyekukatia tiketi yuko wapi basi ni lazima ulijisikia vibaya
 
Kaka wewe ni M-pare, dawa huwa hazina burgaining!
 
Ni kawaida hiyo mkuu mbona. Wale ni machinga hivyo bei watakupga mara kadhaa. Hii ni kwa biashara zote si duka la dawa tu.
Hata bia kuna sehemu inauzwa buku 2 sehemu nyingine utanunua buku 7
Alaf ipo viceversa ,upande wabia ukikuta sehemu kali sana ndo bei imechangamka tofauti navigrosari vyamtaani,lkn huku kwene dawa maduka makubwa ndo bei chini,njoo ukutane nasisi sasa tuliopanga box zetu mbili tatu kwene shelf
 
Huyu ana duka la jumla Kariakoo lazima awe na bei nzuri.
Saf sana, kumbe mwamba yupo vzr nikajua anatamba Mbeya tu kumbe hadi Town huko,huku pia ukifika kwene pharmacy zake kuna sehemu maalum zakufanyia packagin yadawa zinazoenda sehemu mbali mbali kuna hadi boda special kwa ajili yakufanya delivery
 
Watu wamekuwa mashetani kabisa
 
Kuna pharmacy nilienda Sina hamu, nilinunulishwa dawa Aina 2 tofauti zote zinafanya kazi moja, nilivyotumia nikaanza kuzidiwa, nilipomuona doctor akaniambia nilipaswa kunywa Aina moja tu na sio zote kwa pamoja.
Pole sana........watu wapo radhi hata kukuudhia dawa zilizoisha muda wake ili kushibisha matumbo yao.....
 
Watanganyika tunazidiwa Sana na wazanzibar kwenye dhulma.
Mpemba sio rahisi kumdhulumu MTU.
Sasa njoo huku Nyamagana, Ushirombo, Rombo (huku hata pombe chafu utauziwa kwa Bei mbaya)
Mombo hapa hata nyama ya mbwa utachanganyiwa kwenye nyama choma ya mbuzi hasa usiku wakati wa kusafirisha maiti)
 
Na kuna baadhi ya vituo vya afya ukienda unabambikiwa magonjwa ili ununue dawa nyingi wapate faida. Nilishapewa dawa za vidonda vya tumbo wakati sina yaani watu wanawaza hela tu hayo mengine hayawahusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…