Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
. Wange mvunja vunja miguu kabsa ili iwe fundisho kwa wasani wengine wapumbavu kama huyu mdoli...Kwann iwe mbeya tu, acheni uhuni
Point yako ni ya WCB Wala sio wizi.Husika na kichwa Cha habari hapo juu.
Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;
1. Wizi wa solar za taa za barabarani, haya Mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye halmashauri tu.
2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwaajir ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira Jiji la Mbeya, badae wasanii watakuwa hawaji
Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadiri haya.
NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni Doria kuzilinda.
Acha bangi. Wange mvunja vunja miguu kabsa ili iwe fundisho kwa wasani wengine wapumbavu kama huyu mdoli...
. Ifikie hatua wasanii wabongo wajue utofaut wa matumizi ya uchawa na mazingira yake ,,,, sipendagi huo upuuzi wa kuingiza siasa kwenye jukwaa la burudani
Pole sana mkuu, ila hukupaswa kukaa kimya...Tangu nifanyiwe ubaguzi wa kidini huo mkoa sina habari nao , siwezi kuwachukia maana wengine ni marafiki zangu ...Nimeona baadhi ya rafiki zangu wanaunga mkono huo upuuzi.
Kwa hiyo mkong'oto wa chupa ulikuwa dhidi ya UP Diddy na siyo labda furaha ya mashabikiWalioingia chumbani kwa P Diddy wapigwe vita ili kuonyesha jamii haisuport ushoga,wamenifurahisha sana wana mbeya,
U P Diddy wenu huko huko msiulete huku
Umeleta uzi mrefu, lakini kilichofanya ulete huu uzi ni hiyo namba 2. Hiyo Mbeya hata mkiifuta kuwa jiji na kuwa mji mdogo, itakuwa na madhara kwa viongozi ila sio kwa wananchi wa kawaida. Mnaweza kufuta jiji hata leo.Husika na kichwa Cha habari hapo juu.
Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;
1. Wizi wa solar za taa za barabarani, haya Mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye halmashauri tu.
2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwaajir ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira Jiji la Mbeya, badae wasanii watakuwa hawaji
Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadiri haya.
NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni Doria kuzilinda.
Jiji la Mbeya sidhani Kama watu wake wanajua kuwa wapo jiji wapo very primitive
Wewe ni mpumbavu huyo Zuchu kuwaonyeshea Dole la kati wanaume naona ni sawa huna akili kabisaHusika na kichwa Cha habari hapo juu.
Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;
1. Wizi wa solar za taa za barabarani, haya Mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye halmashauri tu.
2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwaajir ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira Jiji la Mbeya, badae wasanii watakuwa hawaji
Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadiri haya.
NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni Doria kuzilinda.
Kama hakujawasaindia mbona unapiga kelele kama mtu uliyepoteza marindaKwahyo kurushia watu makopo kumewasaidieni Nini hebu acheni ujinga
Kwani Mbeya kuwa jiji kumeinufaisha nini cha ziada na kabla ya kuwa jiji?Husika na kichwa Cha habari hapo juu.
Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;
1. Wizi wa solar za taa za barabarani, haya Mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye halmashauri tu.
2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwaajir ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira Jiji la Mbeya, badae wasanii watakuwa hawaji
Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadiri haya.
NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni Doria kuzilinda.
Haina noumaAcha bangi
Husika na kichwa Cha habari hapo juu.
Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;
1. Wizi wa solar za taa za barabarani, haya Mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye halmashauri tu.
2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwaajir ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira Jiji la Mbeya, badae wasanii watakuwa hawaji
Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadiri haya.
NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni Doria kuzilinda.
Itakuwa ni waoItakua ulikutana na wasafwa, wale wana ubaguzi hata kwa mtu asie wa kabila lao.
Sasa kama ni muislam, umetoka mkoa mwingine na ni kabila jingine aloo hamna rangi utaacha kuona.