Angalizo: Watu wa Mbeya mnaoishi Mbeya Mjitathimini mienendo yenu kinidhamu inalichafua Jiji, ipo siku jiji litafutwa

Angalizo: Watu wa Mbeya mnaoishi Mbeya Mjitathimini mienendo yenu kinidhamu inalichafua Jiji, ipo siku jiji litafutwa

Sasa kwani likifutwa Jiji wao watapata shida Gani na Sasa linasemekana ni jiji kunafaida Gani waipatayo.
Zuchu tulia umeyataka mwenyewe
Hujui ndio maana unaongea huu ujinga.

Kuwa Jiji ni pamoja na Serikali kutenga pesa nyingi za Maendeleo na favour zingine
 
Itakua ulikutana na wasafwa, wale wana ubaguzi hata kwa mtu asie wa kabila lao.
Sasa kama ni muislam, umetoka mkoa mwingine na ni kabila jingine aloo hamna rangi utaacha kuona.
Una uhakika wasafwa ndo wabaguzi au unaongea tu now days watu wanazidi kuelimika sio kama zamani alafu mbeya hawaishi wasafwa wewe toa maoni kama ni kweli hayo masuala ya kuibwa kwà solar yapo ni kipi kifanyike sasa naona na wewe unaendelea kubagua
Wanyakyusa na wasangu hawana shida wako safi. Wasafwa wapumbavu sana na ndio kabila kubwa.
Una chuki tu na wasafwa wewe
 
Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwa ajili ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira ya Jiji la Mbeya, baadae wasanii watakuwa hawaji
Hakuna... Wako sahihi.
Hayo machawa hyo ndio adhabu stahiki.
 
Liweke kabila lako hapa nyambaff!! Mbona unawajadili wasafwa kwa dharau sana. Liweke na la kwako tuweke madhaifu yenu.
Mbona unataka battle jombaa, hatupo kubattle hapa.

Kubali au kataa ndo iko hivyo wasafwa ni wabaguzi sana ninyi watu.
Mahukuru sana wanyakyusa wamechangamsha la sivyo mngeishia milimani huko
 
Una uhakika wasafwa ndo wabaguzi au unaongea tu now days watu wanazidi kuelimika sio kama zamani alafu mbeya hawaishi wasafwa wewe toa maoni kama ni kweli hayo masuala ya kuibwa kwà solar yapo ni kipi kifanyike sasa naona na wewe unaendelea kubagua

Una chuki tu na wasafwa wewe
Nimemquote mtu aliebaguliwa hapo, sijajibu hoja ya kuiba hizo solar zako.

Acha kukurupuka ndgu safwa boy.
 
Wewe ndio mweupe kwanza sisi toka wameweka hizo sola sijaona kama kuna mahali zimeibiwa na kama kuna mahali zimeibiwa basi hali siyo mbaya kama unavyo tuaminisha.kuhusu wageni kupigwa zuchu alistahili kichapo . kuna mtu ameongelea Udini sio kweli kwa sababu kitongoji ninacho kaa mwenyekiti wetu ni muislamu na wananchi wake asilimia tisini ni wakristo na pia siyo mwenyeji wa huku lakini anakubalika sio kawaida .mkitaka kufuta jijini futeni halituongezei chochote mfukoni
 
Watoto wa Isanga,Nzovwe,Maendeleo mpaka Sido, Kwa Mama John, Sai,Nanenane Hadi Uyole Hawana Unafiki Ukizingua Unazinguliwa
 
Husika na kichwa Cha habari hapo juu.

Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;

1. Wizi wa Solar za taa za barabarani, haya mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye Halmashauri tu.

2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwa ajili ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira ya Jiji la Mbeya, baadae wasanii watakuwa hawaji

Pia, Soma: Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa

Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadili haya.

NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni doria kuzilinda.
Acha uongo solar kuibwa umeona ni mbeya tu?!
 
Pole sana mkuu, ila hukupaswa kukaa kimya...
Hizo tabia za kinyani lazima tushirikiane kuitokomeza...

Ubaguzi wa kidini, ukabila ni unyani na ukifanyiwa na mtu usiwe mnyonge hata kama anafikiri yuko kwao...
Basi huo unyani umeshamiri sana zanzibar kuliko sehemu yoyote au wao wana haki na huo unyani?
 
Najua lengo lako kuu lilikuwa ni kulalamikia huyo msanii uchwara na hilo la sola umeliweka tu ili kusindikiza.

Najua umeguswa sana na hili tukio, hayo ya wizi wa solar umeweka tu kuzugia katika kufikisha ujumbe wako. Maana hayo yanatokea kila mahali na sio kigezo kabisa cha kufuta majiji.
Hii ndio huitwa 'mind reading'...?
 
Sa
Husika na kichwa Cha habari hapo juu.

Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;

1. Wizi wa Solar za taa za barabarani, haya mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye Halmashauri tu.

2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwa ajili ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira ya Jiji la Mbeya, baadae wasanii watakuwa hawaji

Pia, Soma: Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa

Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadili haya.

NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni doria kuzilinda.
Sasa kabinti kameenda na kubana pua eti mitano Tena ilhali watu wako na hisia zao, Tena ana bahati wangempiga kwa mawe kabisa
 
Basi huo unyani umeshamiri sana zanzibar kuliko sehemu yoyote au wao wana haki na huo unyani?
Kosa moja haliharalishi lingine...

Tanzania hatubaguani, ukienda mkoa wowote unapaswa kuondoa hisia za ugeni...

Huo unyani haukubaliki...

Unakuta mtu anambagua mzaramo huku mishe zake anafanya Dar na haulizwi na yeyote...
 
Mbona unataka battle jombaa, hatupo kubattle hapa.

Kubali au kataa ndo iko hivyo wasafwa ni wabaguzi sana ninyi watu.
Mahukuru sana wanyakyusa wamechangamsha la sivyo mngeishia milimani huko
Kumbe nabishana na Mnyakyusa!! Wanyakyusa mumechangamsha kitu gani? Kama ni uchovu tuko sawa tu. Nyie wanyakyusa mnachotuzidi ni maringo na dharau tu. Nimetembea sana Rungwe na Kyela, maskini watupu, mapalachichi na ndizi tu ndiyo mnategemea. Na wanawake zenu kuuza uchi. Daadaadeki
 
Husika na kichwa Cha habari hapo juu.

Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;

1. Wizi wa Solar za taa za barabarani, haya mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye Halmashauri tu.

2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwa ajili ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira ya Jiji la Mbeya, baadae wasanii watakuwa hawaji

Pia, Soma: Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa

Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadili haya.

NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni doria kuzilinda.
Acha lifutwe kwani hilo si jina tu mkuu?
 
Mnapochabikiaga Machadema mlidhani Huwa wanapandikiza nini?

Uhuni umehama kutoka Arusha na Sasa ni Mbeya.

Chadema ni watu wa hovyo,unganeni kuwakataa ndio chanzo Cha yote hayo.

Saizi Arusha imetulia Kwa sababu wameyakataa Machadema
Upo sahihi kabisa, Arusha Sasa limekuwa jiji tulivu Sana
 
Back
Top Bottom