Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
ACT na CCM hakuna Tofauti tofauti yao ni Rangi za bendera tu vyote sio Vyama vya UpinzaniMwenye majibu ya maswali hayo anisaidie. Zito atamkubali? CCM anakaa akiwa amekatwa mkia vitawezekana kweli?
Wana visa na Mama maana kustaafu siyo kweli maana sidhani kama yeye ndiye ana umri mkubwa sana kuliko Makongoro... na wengine?
Umeambiwa au umesikia?Mama kaomba kustaafu, huyo mwingine hajaomba kustaafu!!!
Uko sahihi lakini kwenye kule wajukuu UACHE keki ya uRC kweli? Mbona keki tamu ile?U RC, DC na uwaziri ni vyeo vya kisiasa na sio utumishi wa umma kwa hiyo hawana muda wa kustaafu. Mkuu akikuona una umuhimu utaendelea tu, ndio maana baadhi wanakuwa mawaziri baada ya kustaafu kwenye utumishi wa umma. Mnamkumbuka Wassira? Ila mtu vile vile anaweza kumuomba Mkuu asimteue au akakataa uteuzi kwa sababu anataka kufanya shughuli nyingine kama kulea wajukuu, biashara, uanaharakati n.k.
Amandla...
Unajua kuna mentality mbaya sana kwamba mwanasiasa kustaafu kwake mpaka afariki.Naona umeanzia Twitter ukaon haitoshi, sasa umehamia huku. Yote tisa katiba inasema viongozi wote wa kisiasa katika ngazi zote za teuzi watafanya kazi "At a pleasure of the President" Hivyo Raisi anateua yeyote yule ambaye anamtaka. Pia nadhani ukifanya utafiti zaidi utafahamu neno "kustaafu" haimaanishi umri peke yake kama wewe ulivyolikomalia leo.....
Huenda waliwahi kunyang'anyana.....Mwenye majibu ya maswali hayo anisaidie. Zito atamkubali? CCM anakaa akiwa amekatwa mkia vitawezekana kweli?
Wana visa na Mama maana kustaafu siyo kweli maana sidhani kama yeye ndiye ana umri mkubwa sana kuliko Makongoro... na wengine?
Sidhani, walikutana wapi jamani?Huenda waliwahi kunyang'anyana.....
Dunianisidhni, walikutana wapi jamani?
Hivi ni vyeo vya furaha ya Rais. At the president pleasure. Haviulizwi ni kwa furaha yake tu ameamua kumzawadia mmoja wa wastaafu cheo wakati wengine wakiendelea na ustaafu wao.Au kustaafu kunakosemwa kuna maana nyingine ? maana haiwezekani wote wafanane umri huku mmoja anastaafu mwingine anaajiriwa .
Kama yupo aliyeelewa jambo hili anieleweshe .
Angalizo : Hatuna ugomvi wowote na wawili hawa na wala hatupingi mamlaka ya uteuzi , bali tunaomba kueleweshwa tu
Ukweapo wasalimie vizuri unaowapita njiani ili wakati wa anguko wakupokee. Sijui mama aliwasalimia au la. Ninahisi atapata kimwanya kengine humohumo CCM.Mwenye majibu ya maswali hayo anisaidie. Zitto atamkubali? CCM anakaa akiwa amekatwa mkia vitawezekana kweli?
Wana visa na Mama maana kustaafu siyo kweli maana sidhani kama yeye ndiye ana umri mkubwa sana kuliko Makongoro... na wengine?
Mwenye majibu ya maswali hayo anisaidie. Zitto atamkubali? CCM anakaa akiwa amekatwa mkia vitawezekana kweli?
Wana visa na Mama maana kustaafu siyo kweli maana sidhani kama yeye ndiye ana umri mkubwa sana kuliko Makongoro... na wengine?
Ndugu Mkaruka any permanent withdrawal from a particular work-force is considered a retirement.Unajua kuna mentality mbaya sana kwamba mwanasiasa kustaafu kwake mpaka afariki.
Sasa ikitokea kama hivi, ndio drama zinaanza mara kafukuzwa, kakataliwa au katemwa.
Sisi shida yetu ni kufahamishwa tu , lakini hizi lugha zenu za vijana kustaafu huku wazee wakiajiriwa kwenye nafasi zile zile tunashindwa kuelewa , wala hatuna ugomvi wowote na maamuzi yenuNdugu Mkaruka any permanent withdrawal from a particular work-force is considered a retirement.
Sasa naona ndugu yangu Erythrocyte amekomaa sana na umri tu wakati kuna mengine mengi.
Mwanasiasa kwenye ngazi za uteuzi Tenure yake hutegemea Pleasure of the President,
Tofauti na teuzi nyingine ambazo ziko kisheria na hutoa muda maalum wa Tenure.
Kama ulivyosema, kuna tatizo kubwa sana kimtazamo hapa Tanzania.........
Mkuu mimi sikulaumu, wala sikuhumu......Sisi shida yetu ni kufahamishwa tu , lakini hizi lugha zenu za vijana kustaafu huku wazee wakiajiriwa kwenye nafasi zile zile tunashindwa kuelewa , wala hatuna ugomvi wowote na maamuzi yenu
Yani unamuita Maulid Kitenge mpenzi wako? π π π π π
Kuna ukweli fulani hivi. Mimi pia nimeongea nae mara kadhaa Moshi.Namfahamu vizuri huyu mama, niliwahi kukaa naye na kupiga stori. Yupo vizuri kichwani kuliko huyo aliyemstaafisha
Mimi kwenye andiko lile ( ambalo hata hivyo wakubwa wameli merge ) niliuliza katika hali ya kushangaa tu na wala sikuwa na ajenda nyuma ya pazia , nadhani unanifahamu vizuri , nikiwa na ajenda yangu huwa simung'unyi maneno na wala siji na mafumbo yoyote yale , natoboa hadharani bila kuficha .Mkuu mimi sikulaumu, wala sikuhumu......
Ila nachosema, you should have known better ndugu Erythrocyte, kwa nafasi ya ushawishi uliyonayo mbele ya jamii ya kitanzania tunategemea uwe unafanya tafiti za kutosha kabla ya kuandika kitu ambacho kinaweza taharuki au kuchanganya (Negative Connotation) watanzania wenye uelewa mdogo.
Lakini ukiendelea kukishupalia huku na kule, sisi wengine tunaweza kutafasiri kwamba una ajenda yako binafsi. Nafahamu wewe ni msomi mzuri tu, and I hope hili utalizingatia na kuweka weledi mbele..........
Huu ni ushauri tu.......
Mnyatutu huyu anaenda cheza na wajukuu zake, si lazma siasa.Mwenye majibu ya maswali hayo anisaidie. Zitto atamkubali? CCM anakaa akiwa amekatwa mkia vitawezekana kweli?
Wana visa na Mama maana kustaafu siyo kweli maana sidhani kama yeye ndiye ana umri mkubwa sana kuliko Makongoro... na wengine?