Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Huna lolote, una kazi ya kujisifiaga tu!Wewe mfanyabiashara, sitaki kukuharibia biashara yako.
Usiite post yangu "just opinion" wakati habari zote nilizoandika zipo mtandaoni.
Sijisikii kuutoa uzi huu kwenye maudhui yako ya kuuza apartment na kuanza kubishana nawe point by point kuhusu mambo niliyoandika.
Lakini, ukitaka niende huko naweza.
Mimi siandiki kitu nisichokijua, hiyo market ya kimataifa naijua, kwa sababu nishanunua nyumba na kusaidia watu kununua nyumba.
Hata kama nina kazi ya kujisifia (si kujisifiaga, ukiandika kujisifiaga unanionesha wewe ni mshamba wakuja) hilo si tatizo.
aise..!Hata kama nina kazi ya kujisifia (si kujisifiaga, ukiandika kujisifiaga unanionesha wewe ni msamba wakuja) hilo si tatizo.
Kama nina kazi ya kujisifia, si kweli kwamba sina lolote.
Kwa sababu nina kazi ya kujisifia.
Kama sina lolote, sina hata kazi ya kujisifia.
Chagua moja, sina lolote au nina kazi ya kujisifia?
Mawili haya hayawezi kuwa kweli yote kwa pamoja.
Pia,
Kutojisifia si sifa nzuri.
Wasiojisifia wana mengi ya kutojisifia.
Tunaojisifia tuna mengi ya kujisifia.
Ningekuona wa maana kama ungenibishia kwa kituo katika ninayojisifia.
Lakini naona huna ubongo wala uti wa mgongo wa kunibishia.
Unaishia kunipiga vijembe vya wivu wa kuyataka maisha ninayoishi wakati huwezi kuyapata.
Hapo sijamuwekea hata gia ya Kiduku Lilo kashaanza kulalamika.aise..!
Pathetic little troll just as pig ignorant as the orange buffoon u.....! Kiss ur a...Hata kama nina kazi ya kujisifia (si kujisifiaga, ukiandika kujisifiaga unanionesha wewe ni msamba wakuja) hilo si tatizo.
Kama nina kazi ya kujisifia, si kweli kwamba sina lolote.
Kwa sababu nina kazi ya kujisifia.
Kama sina lolote, sina hata kazi ya kujisifia.
Chagua moja, sina lolote au nina kazi ya kujisifia?
Mawili haya hayawezi kuwa kweli yote kwa pamoja.
Pia,
Kutojisifia si sifa nzuri.
Wasiojisifia wana mengi ya kutojisifia.
Tunaojisifia tuna mengi ya kujisifia.
Ningekuona wa maana kama ungenibishia kwa kituo katika ninayojisifia.
Lakini naona huna ubongo wala uti wa mgongo wa kunibishia.
Unaishia kunipiga vijembe vya wivu wa kuyataka maisha ninayoishi wakati huwezi kuyapata.
You are doing what psychologists call "projection".Pathetic little troll just as pig ignorant as the orange buffoon u.....! Kiss ur a...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu ukielezea maisha yako tu, yani si kwa nia ya kujisifia au kuwanyanyapaa wao, wao wanajisikia vibaya.Dah!
Sure 100℅
Unaifahamu Tapatalk?Asante sana.
Nime
1.Uninstall JF app.
2. Searched and downloaded JF app from apkpure.com version ni v8.0.48
3.Nimeenable installing apks
4.Nime install hiyo apk
5.Bado tatizo la kuona notifications za mwisho 22 September 2019 liko pale pale
6. Bado picha hazionekani.
Wewe app yako version gani? It should be in settings.
Labda kuna apk mpya zaidi ya hii?
Pesa haijipigishi kelele kama unazopiga wewe. Acha sifa za kipumbavu ktk nyuzi za watu.Siyo tu hujanikwaza, huwezi kunikwaza, yaani kuna level fulani ya akili ya kuweza kunikwaza hujaweza kufikia.
Nilikuwa namjibu huyo, wewe nilishaachana nawe.
Na wewe mfanyabiashara.Mimi mtoto wa mjini, naelewa biashara.
Hapo Posta unapopataja kuuza apartment, familia yangu imemaliza kujenga nyumba hapo tangu mwaka 1903, na hiyo ni iliyopo kwenye record tu, kuna nyingine za kabla ya hapo sizijui.
Nishasema nilichotaka kusema na sina lengo la kujibizana na wewe zaidi hapa, maana naona kama naweza kukuharibia biashara yako.
Peace!
Achana nae mkuuMbona una majigambo sana na dharau wewe jamaa? Hivi hujioni! Talk is cheap! Weka basi nyumba yako au chichote cha maana unachodai kumiliki tuone kama ni kweli. Una dharau sana wewe mtu. Siku zote Unajiona wewe ni bora kuliko mtu yeyote kwa kila kitu. Nashangaa kama ni mtu wa ways and means kama unavyodai kwa nini kutwa upo humu JF kuperuzi nyuzi na kutembeza dharau zako. Watu wenye level hiyo unayodai si tu hawana muda huo, hata tabia hiyo hawana.
Mwenye hela habwabwajiPesa haijipigishi kelele kama unazopiga wewe. Acha sifa za kipumbavu ktk nyuzi za watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua mwanzoni jamaa alikuja analalamika haoni picha app yake inazingua ikabidi nimtumie picha pm kiroho safi nikijua jamaa mtu safi tu ana lengo zuri.Pesa haijipigishi kelele kama unazopiga wewe. Acha sifa za kipumbavu ktk nyuzi za watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona mtu ana tabia ya kukashifu biashara za watu ujue wivu roho mbaya na umasikini unamsumbua kitu hukitaki au hukipendi acha tu halafu kwanini mafukara wengi wanapenda kujisifu na kujitangaza kuwa wanauwezo sanaUnajua mwanzoni jamaa alikuja analalamika haoni picha app yake inazingua ikabidi nimtumie picha pm kiroho safi nikijua jamaa mtu safi tu ana lengo zuri.
Baadae akaanza kuongea uozo nikaona kumbe huyu jamaa taahira.Watu kama hao mkuu usibishane nao muache tu aelezee mashudu yake akitosheka na ujinga wake atakaa kimya..
mjinga mpe cheo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona mtu ana tabia ya kukashifu biashara za watu ujue wivu roho mbaya na umasikini unamsumbua kitu hukitaki au hukipendi acha tu halafu kwanini mafukara wengi wanapenda kujisifu na kujitangaza kuwa wanauwezo sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah, nafikiri hata JF is based on Tapatalk. Nahitaji ku install Tapatalk?Unaifahamu Tapatalk?
Sent from my Nokia 7.1 using Tapatalk
Tatizo unaongea pesa wakati hata sijaanza kuongea pesa, naongea vitu basic vya maisha kama sehemu ya kuishi.Pesa haijipigishi kelele kama unazopiga wewe. Acha sifa za kipumbavu ktk nyuzi za watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini kutakuwa na gharama za kuchangia kama ulinzi standby generetor nakadhalika hapo inakaaje mkuu isijekuwa kama umepanga tena. Nauliza tu ungawa najua gharama kama hizi mtu huwezi kukwepa popote
ndio mkuu hizi gharama zipo kama ulivyosema hapo suala la ulinzi na mafuta kwenye generator mnachangiaLakini kutakuwa na gharama za kuchangia kama ulinzi standby generetor nakadhalika hapo inakaaje mkuu isijekuwa kama umepanga tena. Nauliza tu ungawa najua gharama kama hizi mtu huwezi kukwepa popote