Apparently COW Ethiopia's Army has tried to shoot down another Kenyan aircraft in Somalia

Apparently COW Ethiopia's Army has tried to shoot down another Kenyan aircraft in Somalia

Tayri mkopo uliokua nao unakupeleka msegemnege halafu uongezee juu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

TRA wanaelewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani ukatae billion ndio usamehewe trillion[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Ah weh,segemnege mnaenda nyinyi na 60%ya pato la taifa.

au hujui hata deni inakaribia kuuza nchi[emoji23][emoji23][emoji23],bandari iko mezani watu wanaikula ile ku save sgr.
 
Geza Ulole,

Naona bado Magu anang'ang'ana kusamehewa Deni. Katibu mkuu wa UN mh Antonio amekubaliana na wazo la kuzitaka nchi tajiri kusamehe madeni ya nchi za Afrika ili kuzipa fursa nzuri ya kupambana na Corona, ikumbukwe wazo hili lilitolewa na Rais Magufuli wa Tanzania.
Mawazo mengi ya magu yanafuatwa na WHO, it is a good step, unapaswa kupongeza na kuunga nguvu.
 
Inaweza kuwa ni dharau kutoka Ethiopia au pia inaweza kuwa ni accident kama wanavyojitetea kwamba walidhani ni ndege ya adui. Lakini imefanyika mara mbili kwa hivyo sidhani kama ni accident. Kuna kusudio hapa. Ila Kenya nadhani itabidi aidha iwache kutumia anga hio au ifanye mazungumzo na Ethiopia.
Sio inaweza kuwa, ni dharau. Two times, has crossed your border how many times now.
Ni kwanini wanawafanya ivyo, ni hiyo jubaland?
 
Umesoma hiyo article inavyotaja silaha za Ethiopia na ulinganishe na Kenya?, Vifaa vya kijeshi vya Ethiopia ni zaidi ya Mara 3 ya vifaa vya Kenya, tena ni vifaa vya kisasa zaidi, that's why Ethiopia is ranked much higher than Kenya in military fire power.

Vifaa gani..be specific ,...
 
Unataka awaze mikopo[emoji4]
Kuwalipa wakulima was Koroshow 😉
Its time now Kenyan waje and ask Magufuli for a help. He is well equipped, he beaten corona and he can assist you with prayers. LA sivyo ha wahabeshi watawatia madole machoni.
Atusaidie kuondoa Hawa omba omba watanzania wamejaa kila Kona ya Nchi his yetu ya asali na maziwa... Kenya.
 
Umesoma hiyo article inavyotaja silaha za Ethiopia na ulinganishe na Kenya?, Vifaa vya kijeshi vya Ethiopia ni zaidi ya Mara 3 ya vifaa vya Kenya, tena ni vifaa vya kisasa zaidi, that's why Ethiopia is ranked much higher than Kenya in military fire power.
Kwa hio ni kweli Kenya ipo juu ya Tanzania according to hizo rankings 😉 na pia Botswana Nchi ya watu millioni 2 iko juu ya Tz bado pande ya SADC 😂
Yani si EAC na si SADC kote mpo tu hamna mahali mnashikilia nambari moja...mkiingia EAC mnapata nafasi ya Kwanza ni Kenya na Ethiopia, mkiingia SADC South Africa, Namibia, Angola na Botswana zimeshikilia labda mchukue nafasi ya 5 😉
 
Ah weh,segemnege mnaenda nyinyi na 60%ya pato la taifa.

au hujui hata deni inakaribia kuuza nchi[emoji23][emoji23][emoji23],bandari iko mezani watu wanaikula ile ku save sgr.
60%ya gdp ya kenya ni sawa na uchumi wote wa tanzania..
Yani ukishindana na kenya EA nchi itaporomoka na iuzwe kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Madeni sawia na uchumi wa tanzania lkn bado uchumi wetu hauyumbi..
Tani ukataei bilioni ilu usamehewe trilioni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kituko cha mwaka[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Kwa hio ni kweli Kenya ipo juu ya Tanzania according to hizo rankings [emoji6] na pia Botswana Nchi ya watu millioni 2 iko juu ya Tz bado pande ya SADC [emoji23]
Yani si EAC na si SADC kote mpo tu hamna mahali mnashikilia nambari moja...mkiingia EAC mnapata nafasi ya Kwanza ni Kenya na Ethiopia, mkiingia SADC South Africa, Namibia, Angola na Botswana zimeshikilia labda mchukue nafasi ya 5 [emoji6]
Hapo atarudi na zilee taarab na mapambio
 
Mawazo mengi ya magu yanafuatwa na WHO, it is a good step, unapaswa kupongeza na kuunga nguvu.
Hayo ya kukataa bilioni ili usamehewe trilioni[emoji1787][emoji1787]
 
Hizo F5 ndo unazoziongelea hapa?
Unaweza kuwa na f16 na ukadunguliwa na f5e kirahisi..

Uwezo wa hvyo vyuma viwili kudunguana haupimwi mezani..
La!!inategemea na yule anayekiendesha hicho chuma
 
Asa nyie nchi yenu imeuzwa kwa China mnapgwa viboko Kama shule,mnakatwa vidole...China imetawala...mnatukanwa nchi nzima na wachina ..ha ha ha ...
Infact mmejenga reli 3times cost than tz sgr na viongoz wenu wamesign tu.....
We are smart than you kenyan
Then mnataka mjifananishe na free country Tanzania....
Hatutaki huo ujinga huku....
200km $1.2bn ukiondoa vichwa na mabehewa na kutofika bandarini halafu 500km $3.6bn plus vichwa na mabehewa, chuo cha ufundi, reli kuingia bandarini etc..

Kweli mturuki kiboko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Geza Ulole,

Naona bado Magu anang'ang'ana kusamehewa Deni. Katibu mkuu wa UN mh Antonio amekubaliana na wazo la kuzitaka nchi tajiri kusamehe madeni ya nchi za Afrika ili kuzipa fursa nzuri ya kupambana na Corona, ikumbukwe wazo hili lilitolewa na Rais Magufuli wa Tanzania.
Ila kwa wale anaowadai husema dawa ya deni ni kulipa.
 
Unajua mimi huwa nafuatilia siasa za Ethiopia kwa karibu sana hata kushinda za Tanzania au Uganda. Isitoshe mimi pengine ndio mtu pekee hapa jf aliyewahi kuingia Ethiopia kuanzia mashinani, maeneo za Oromo, Hawassa hadi Addis Ababa. Wacha nikufahamishe kuwa Ethiopia saa hii ina mgogoro mkali sana na Egypt kuhusu bwawa la Gerd.

Hii ni baada ya Ethiopia kukataa kutia saini makubaliano ya water sharing agreement na Egypt ikisema kuwa US inainterfere na negotiation. Ethiopia inasema itaanza water filling this July. Egypt inatishia kulipua hio dam kwa kutumia ndege za kivita. Ethiopia haiwezi kushinda Egypt kwenye vita. Sasa kuna tension kati ya hizi nchi mbili. Ethiopia inahitaji Kenya na Uganda tuwe upande wake ili kuendelea na majadiliano na Egypt. Sidhani Ethiopia inaweza pigana vita na nchi mbili Kenya na Egypt kwa wakati mmoja.
Kuna mkataba wa kikoloni , wakati wa Mwingereza unaobana matumizi ya mto Nile. Sioni sababu ya kuendelea kuheshimu huu mkataba, Egypt hawezi kudai riparian rights kwa sasa. Nile ni uhai kwa Egypt hivyo hatakubali kirahisi, ila ni Muda wa Afrika kusimama na Ethiopia.
 
Vifaa gani..be specific ,...
Ukiachana "Armoured vehicles" Kenya imeizidi Ethiopia, sehemu zingine zote Ethiopia imeizidi Kenya kwa mbali sanaa, Kenya ina wanajeshi wasiozidi 30,000, Ethiopia 165,000.

Kenya tanks 76, Ethiopia tanks 400
Kenya Artillery 20, Ethiopia Artillery 650
Kenya SPA 30, Ethiopia SPA 67.

These countries are not at the same level.
 
60%ya gdp ya kenya ni sawa na uchumi wote wa tanzania..
Yani ukishindana na kenya EA nchi itaporomoka na iuzwe kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Madeni sawia na uchumi wa tanzania lkn bado uchumi wetu hauyumbi..
Tani ukataei bilioni ilu usamehewe trilioni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kituko cha mwaka[emoji122][emoji122][emoji122]
[emoji16][emoji16][emoji38]uchumi hauyumbi!!!,unajua maana ya uchumi kuyumba.mnakopa ili umlipe mishahara uanasema uchumi haujayumba!!!
 
Uelewa wako mdogo Sana kwenye Mambo ya technologia. Unajua maana ya upgrades wewe..
For your information Pakistan mig 21 ilipiga F16 ya India many factors come into play not just the type of jet .
 
Ukiachana "Armoured vehicles" Kenya imeizidi Ethiopia, sehemu zingine zote Ethiopia imeizidi Kenya kwa mbali sanaa, Kenya ina wanajeshi wasiozidi 30,000, Ethiopia 165,000.

Kenya tanks 76, Ethiopia tanks 400
Kenya Artillery 20, Ethiopia Artillery 650
Kenya SPA 30, Ethiopia SPA 67.

These countries are not at the same level.
Most of the weapons in Ethiopian inventory are unserviceable or were destroyed during Ethiopian Eritrian war.
 
Ukiachana "Armoured vehicles" Kenya imeizidi Ethiopia, sehemu zingine zote Ethiopia imeizidi Kenya kwa mbali sanaa, Kenya ina wanajeshi wasiozidi 30,000, Ethiopia 165,000.

Kenya tanks 76, Ethiopia tanks 400
Kenya Artillery 20, Ethiopia Artillery 650
Kenya SPA 30, Ethiopia SPA 67.

These countries are not at the same level.
Helicopter za kijeshi Kenya imeishinda Ethiopia kwa mbali.
 
Back
Top Bottom