πŸ˜‚ huku tangu jana mchana
Wengine tumelala Giza tokea usiku mpaka Sasa hakuna umeme, ,
Huku Kilingeni tangu
Sema leo tarehe 1 april wasijekuwa wanatake advantage baadae wakihojiwa waseme walikuwa wanatania maana ni siku ya ujinga.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Attachments

  • FB_IMG_1711961150860.jpg
    25.6 KB · Views: 4
Kwanza nianze na kuwapongeza nyote.Mawazo ni mazuri lakini tujitahidi tu tuhakikishe huduma inapatikana, na sio vifungo kwaajili ya matusi.
Maana naona sasa wameanza na wanaowatukana na Sio changamoto zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…