Hivi Bkayo Saka amewahi kufunga hat trick ya EPL ndani ya dakika 12 gunners wenzangu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Siku nyingine usirudie kumfananisha Special Boy Amad Diallo na vitu vya kijinga kijinga.Amadi si lolote si chochote mbele ya haka ka chalii
View attachment 3204623
Mikel Arteta on Myles Lewis-Skelly’s positional change: “I had said to him, “If you want to play, it’ll be this (left back) position.”MLS has already packed Zinchenko’s bag. Hopefully he stays level headed and not try to change his position like some players and ruin his chances. AInsley Maitland niles could have been a very good RB/LB but his persistence to play in Midfield ruined his career
Halafu leo anajitoa kama vile hakuwepo!!, Mizamwamwa ya masingeli.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mashabiki wa Arsenyo ni kama Samaki tu, mmoja akioza basi tenga lote ni la kutupa.
Kiufupi wakati mnamponda huyo Zubeda baada ya kuwakataa hili zizi lilikua linachungwa na Masingeli, yaani Masingeli mmoja alikua anaswaga ng'ombe za zizi lote na hakuna ng'ombe yoyote mwenye jeuri ya kukataa, na ikitokea kuna ng'ombe moja imegoma itachezea mijeledi mpaka yenyewe itasalimu amri.
Ila liMasingeli lilikua linajua sana kuiswaga ming'ombe ya humu, yaani lilikua linauwezo wa kuiswaga ming'ombe kwenye moto na yenyewe ilikua inaenda tu pasi hata kusita ili hali inauona kabisa moto unawaka mbele yao.
Masingeli ile ni version ya kibongo ya mchungaji Joseph Kibwetere wa Uganda.
The most useless meeting in the history of football 😂Aaaaand you made it to 12th. Kisha next game mna Brighton mnarudi tena pale pale.
View attachment 3204067
I think yeye na Jesus wanaweza partner up vizuri kwakua wote hawaogopi kulifuata box na wapo vizuri kwenye 1, 2.
So hata transition inakua rahisi wakiwa pamoja.
Obviously mbele ya Kai.
View attachment 3204838
The most useless meeting in the history of football 😂
kivip tena ?Saliba out
Injurykivip tena ?
Noma. Imekuwaje?Saliba out
Inasemekana ana injury. Ila Arteta anaficha, but kumfanyisha mazoezo Maldini imefanya watu wajiongezeNoma. Imekuwaje?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Habari njema kabisa hii, akivunjika na yule Magalasa kila mechi itakua ni mwendo wa kuimba tu humu Parapanda linaliaaa parapandaaaa.Saliba out
Ndo watu mnawaogopa hawa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Habari njema kabisa hii, akivunjika na yule Magalasa kila mechi itakua ni mwendo wa kuimba tu humu Parapanda linaliaaa parapandaaaa.
😠 apone harakaSaliba out
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sio suala la kuogopa, Tetea kibarua chake hapo Arsenyau kinashikiliwa na uwezo binafsi wa Salima, Magalasa na SakaNyoka.Ndo watu mnawaogopa hawa?
Si mchezo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sio suala la kuogopa, Tetea kibarua chake hapo Arsenyau kinatokana na uwezo binafsi wa Salima, Magalasa na SakaNyoka.
Nje ya hawa wachezaji 3 Arsenyo haina tofauti yoyote na Southampton au Ipswich Town.
Ni wale wale walio sababisha mtoke FA.Si mchezo.
Wachezaji gani wanasababisha msitoke nafasi ya 12, 13 & 14