[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Arsenyo anapigwa konzi kulingana na size ya kichwa yake.Arsenal hii game mkipindua nitawapa Kongole
Ila naona Newcastle akishinda goli zaidi ya mbili
DuuhGordoooooooon 2-0
Both teams to score mkuu ila naona nyeto fc wanaruka tuUmebeti magoli? Mpe Nyukesto Ov 1.5
Weka hati ya nyumba
Hahahaha hapana mkuu hayo yanatoshaaBado 1