makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Haiwezekani kutokea 😂
Hii siyo kimpumu hii ni ile kwamba timu ikipaki basi Arsenal haitajua cha kufanyaHawa wachezaji wamekunywa kimpumu nini!??
Hayatoshi pakiti lazima iisheHahahaha hapana mkuu hayo yanatoshaa
Arsenal hawezi kufungwa goli zaidi ya mbili.
Amka mkuu utakunya kitandani
Ni sawa ila hazijazidi mbili 🥹
Nasikia na David Ruiz kafunga nae😃[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Rahim Sterling hatrick, Kai Harvez 1 na Jojinyo 1 hatimae Chelsea imefanikiwa kusonga mbele kwenye michuano ya Carabao baada ya kupiga comeback dhidi ya Nyukesto. View attachment 3226447