Cash Money Forever
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 944
- 1,682
Hata bahati ikiwa upande wenu haiwezi kuizidi bahati ya Madrid UEFA. Arteta amuone Tomas Thuchel ampe mbinu za kuitoa MadridUEFA uwa ina zile crazy moments na mostly Madrid ndio vitu vyake, siioni Arsenal ikiwa na izo Elements.
Yaan unaamini huyu kaisha, from no where meza inapinduka.
Hatuna team ya kuitoa madrid labda bahati iwe upande wetu ila kwa Experience bado ni underdog kwa madrid.
kwamba RMA unamtoa quarter final??Tulikuwa tumejipanga kukutana na Livakuku semi final, ila wacha tu tukutane na hao hao PSG.
Hicho kikundi cha comedy kitachukua kombe kabla yako false hopper.Hii mikwara huwa unatupiga sana lakini siku ya tukio mnakutana na kitu kizito....Chelsea ni kikundi cha comedy sio timu ya mpira
Madridi kayakanyaga[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ndugu yangu hamis77 muda mrefu sana ulikua unatamani timu yako ikutane na Real Madrid ili muioneshe dunia kua Arsenyo ndio The best team in the world interm of pressing & overloading, positional interchange na flexibility bila ya kusahau aerial duel na set pieces.
Hatimae Mungu amesikia kilio chako na kuwakutanisha na mashababi wa Don Carlo, hivyo mimi pamoja na mashabiki wengine wote humu tumeshakusamehe kwa yote uliyokua unatudanganya, tunakuomba urudi kwenye hili jukwaa tugange yajayo.
Hakika hili jukwaa si lolote si chochote bila ya zile false hopes zako, chawa zako kina mkorea na arsenal2004 walijaribu kuvaa viatu vyako lakini havijawatosha, matokeo yake wameishia kupata matege kutokana na uzito wa viatu vyako, tunakuomba ndugu yetu Masingeli urudi humu ili tuyajenge upya. View attachment 3268917
Umehamia majukwaa ya dini siku hizi.Madridi kayakanyaga
Atapigwa Hadi achakae ,Madrid amezoea kukutana na timu mbovu , akikaa vibaya atakula 3+ pale Emirates kwenye kapeti la kijani
Nimebanwa na majukumu ya kazi ,Unajua unapoaminiwa unapewa kampuni kubwa uiendeshe ,mambo mengi yanasimama,Madrid ni wakwaida sana ,ukidhibiti transition zao,
Kwanza kwa kiungo gani Madrid atatoboa mbele ya mighty Arsenal hii ,?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu hamis77 nimefurahi sana kukuona tena kwenye hili jukwaa, huu uliouonyesha sasa ndio uungwana wenyewe, unapoitwa unaitika.Madridi kayakanyaga
Atapigwa Hadi achakae ,Madrid amezoea kukutana na timu mbovu , akikaa vibaya atakula 3+ pale Emirates kwenye kapeti la kijani
Nimebanwa na majukumu ya kazi ,Unajua unapoaminiwa unapewa kampuni kubwa uiendeshe ,mambo mengi yanasimama,Madrid ni wakwaida sana ,ukidhibiti transition zao,
Kwanza kwa kiungo gani Madrid atatoboa mbele ya mighty Arsenal hii ,?
Jidanganye ,hao Madrid hawana midfield yakutisha, hata beki Yao ni sawa na manjesta ukimtoa rudiger[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu hamis77 nimefurahi sana kukuona tena kwenye hili jukwaa, huu uliouonyesha sasa ndio uungwana wenyewe, unapoitwa unaitika.
Arsenyau kwa hio forward yenu ya kina Moringo na Sterling sidhani kama kina Rudiger watawaruhusu mpate hata shot on target.
Hapa kichwa yangu inawaza kwa namna gani mtaepukana na fedheha kutoka kwenye ule utatu mtakatifu wa Vini Jr, Mbappe na Rodrygo, yaani hapa naona kabisa Madrid wanavyoenda kuwalipia Psv zile goli 7 zao.
hamis77 Integrated Investment Co. LTD
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Masingeli banaaa, shauri yako watu tutashindwa kukusaidia humu na kukupa connection tukijua unajiweza kumbe bado unajitafuta.hamis77 Integrated Investment Co. LTD
Ni taasisi ,unaweza kuona nipo online humu kumbe anayeendesha akaunti ni Secretary wangu au Supervisor,
Mimi nimekuwa bize sana na majukumu ya kujenga Taifa
😂😂Kwasasa ninapakujishikiza,nikikwama nitawatafuta[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Masingeli banaaa, shauri yako watu tutashindwa kukusaidia humu na kukupa connection tukijua unajiweza kumbe bado unajitafuta.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Masingeli banaaa Yaani Madrid akitaka kukupa Uefa 5 bado anabakiwa na 10, hio jeuri ya kumtisha unaitolea wapi Arsenyau wewe?Jidanganye ,hao Madrid hawana midfield yakutisha, hata beki Yao ni sawa na manjesta ukimtoa rudiger
Mendy anageuzwa sana kama chapati ,halafu Saka atakuwa karudi
Kwahiyo tegemea kuona
Martinelli Trossard Saka
Vs
Valvede Asensio Rudiger Mendy
Sasa hapo nishindwe Mimi tu kupata goli 3
Midfield Yao Tapeli Tchoumen hatakuwepo, kwahiyo subiria kuona kina Ceballos ,Babu Modric na Muingereza Yuda Beligham,
Hapo Mimi nakuwekea
Declan Rice Partey na Ø
Waulize PSG Hawa waliomfanya kuku kishingo aonekane ni silolote sichochote
Madrid wamekuwa wakifunga timu mbovu ,
Tukutane uwanjani[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Masingeli banaaa Yaani Madrid akitaka kukupa Uefa 5 bado anabakiwa na 10, hio jeuri ya kumtisha unaitolea wapi Arsenyau wewe?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sawa mheshimiwa CEO wa Masingeli Integrated Investment Co. LTD[emoji23][emoji23]Kwasasa ninapakujishikiza,nikikwama nitawatafuta
Yeahkwamba RMA unamtoa quarter final??
Mjiandae kupigwa goli za kaunta na nzuri zaidi watu wa mbio wanaoUEFA uwa ina zile crazy moments na mostly Madrid ndio vitu vyake, siioni Arsenal ikiwa na izo Elements.
Yaan unaamini huyu kaisha, from no where meza inapinduka.
Hatuna team ya kuitoa madrid labda bahati iwe upande wetu ila kwa Experience bado ni underdog kwa madrid.
Mimi uzuri sina matarajio makubwaMjiandae kupigwa goli za kaunta na nzuri zaidi watu wa mbio wanao
Huo ubavu hamna braza.....mnaelekea kuwa Man U version 2....mnaitumia mihela mingiii halafu hamna mnapokwenda....j2 tutahakikisha ile nafasi ya 4 Pep Guardiola anarudi pale....ni dharau Chelkenge kuwa juu ya City hamna hio hadhiHicho kikundi cha comedy kitachukua kombe kabla yako false hopper.