Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Ebwana eeh. Umequote text niliyoituma Mwaka jana wadau wengine ndiyo mnashtuka leoTuna test mitambo ya kufukua makaburi mdogo mdogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebwana eeh. Umequote text niliyoituma Mwaka jana wadau wengine ndiyo mnashtuka leoTuna test mitambo ya kufukua makaburi mdogo mdogo.
Yeah mkuu nakumbuka wewe pia ulikuwa umeitoa liverpool kwenye mbio za ubingwa baada ya slot kupewa timu.Ebwana eeh. Umequote text niliyoituma Mwaka jana wadau wengine ndiyo mnashtuka leo
Mh sasa mbona hapo ni mimi ndiyo nasema liva anaweza kuchukua ligiYeah mkuu nakumbuka wewe pia ulikuwa umeitoa liverpool kwenye mbio za ubingwa baada ya slot kupewa timu.
Sizungumzii hiyo quote ya huyo jamaa nazungumzia huko nyuma , kuna siku tulibishana kabisa and your last sentence ulisema tutaonaMh sasa mbona hapo ni mimi ndiyo nasema liva anaweza kuchukua ligi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tetea sio kocha.Hamna timu hapa
Tapeli tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tetea sio kocha.
Kwenye uzi huu huu?Sizungumzii hiyo quote ya huyo jamaa nazungumzia huko nyuma , kuna siku tulibishana kabisa and your last sentence ulisema tutaona
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tetea na Masingeli IQ zao zinafanana, hawa wote ni Motivational speaker sio makocha, ingawa Masingeli anajidai humu kua ana leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi.Tapeli tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tetea ni Eric Ten Hag anayevaa Modo, Hawezi kuwafikisha Asenyo popote.Tapeli tu
Hahaha wanajua kujipa moyo ila uwanjani zero🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tetea ni Eric Ten Haag anayevaa Modo, Hawezi kuwafikisha Asenyo popote.
kocha kasemaOya hii ni meme au serious mkuu?
Zinchenko alikua ana majeraha ya mara kwa mara lakini pia ilifikia muda ikawa upande wake ukishambuliwa anakua exposed kua hayupo vizuri defensively. (too bad Calafiori ni weak hapa kwa % fulani)Naomba kuuliza na wala sio kwa ubaya washindani wetu wa karne mbili zilizopita; mapungufu ya zinchenko kwenye muundo wa inverted full back yalionyesha kasoro gani hadi arteta akaamua kwenda na Calafiori?
cc Castr
Shukrani mkuuZinchenko alikua ana majeraha ya mara kwa mara lakini pia ilifikia muda ikawa upande wake ukishambuliwa anakua exposed kua hayupo vizuri defensively. (too bad Calafiori ni weak hapa kwa % fulani)
Hataki tena hizi mada?!?@hamis77 huyu jamaa alikuwa anawadanganya sana humu.
Hivi sasa anapiga propaganda zake kwenye Jukwaa la Dini ana wahubiria watu huko eti Ujio wa Mtume upo karibu.
😁 unampinga kochaMsimu ujao wetu. Uhakika