Arusha, amuua kaka yake kwa kisu baba yake akishuhudia

Hivi huwa hawakazii sana kuwa ukiuwa ni dhambi kubwa sana?
Huko huwa kwenye kuabudu huwa mnaenda kujifunza nini?

Mbona mauwaji yametamalaki hivyo?

Mjitafakari sana huu sio mda wa kuulizana kwanini yanatokea haya bali mumrudie Mungu sana na muogope sana dhambi period
 
Jamii sahv zimeporonyoka sahivi

Ova
 
Kapoteza watoto wawili aliyowalea kwa uchungu jamani 🤕🤕🤕mmoja kafa

Mwingine anaenda vaa overall
Acha uongo!
Amepotea mmoja tu, aliyekufa.

Huyo mwingine atafungwa kifungo kifupi anatoka maana bado infant.
 
Hizi taarifa za kuuana ni kama imekuwa janga la kitaifa
Ilikuwepo tangu zamani, sema taarifa zilikuwa hazisambai kama sasa. Teknolojia imeongeza upatikanaji wa habari
 
Hii Hatar sana,huu mwaka una nini kila siku habar hizi
 
Ni shida sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…