Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hivi baadhi ya misaada inakujaga na roho za mauti ee…ni mawazo
Sasa mikasa,mauaji kama haya utasingizia utawalaNi huzuni mno.
Inanikumbusha enzi za JK mama yangu kulikuwa kunaajali mfano hauezeki na matukio matukio tu….sasa naanza kuona Kwa mbali nyakati zile zinarudi mwa kasi🥺🥺🥺🥺
Kapoteza watoto wawili aliyowalea kwa uchungu jamani 🤕🤕🤕mmoja kafa
Mwingine anaenda vaa overall
Acha uongo!Kapoteza watoto wawili aliyowalea kwa uchungu jamani 🤕🤕🤕mmoja kafa
Mwingine anaenda vaa overall
Ndo kupoteza hapo mkuu wanae unazani ni kifungo cha miaka miwiliAcha uongo!
Amepotea mmoja tu, aliyekufa.
Huyo mwingine atafungwa kifungo kifupi anatoka maana bado infant.
Uache uongo!Ndo kupoteza hapo mkuu wanae unazani ni kifungo cha miaka miwili
Wasitangaze tena.Hizi taarifa za kuuana ni kama imekuwa janga la kitaifa
Ilikuwepo tangu zamani, sema taarifa zilikuwa hazisambai kama sasa. Teknolojia imeongeza upatikanaji wa habariHizi taarifa za kuuana ni kama imekuwa janga la kitaifa
Mwache mzee wa watu aongoze malaika kwa amani...JPM Baba tusamehe. Tutaisha tusio na hatia
#Povuruksailaliwenaomojamanii
Bwawa la nyerere linahusikaje tena jamani 🤣Daah, what a crisis!!!!, ni nini hiki jamani?! Tubuni na mkamilishe bwawa la Nyerere haraka kama redemption
Aisee kumbe jpm ndiyo anaua hawa watu 🤔JPM Baba tusamehe. Tutaisha tusio na hatia
#Povuruksailaliwenaomojamanii
Hata sio zama za mwisho huko Marekani wanauana sana mbona na dunia haijafika mwisho.Kweli hizi ni zama za mwisho.Matukio mengi yanahusisha ndugu kwa ndugu ni hatari
Ni shida sanaKijana James mwenye umri wa miaka 16 anatuhumiwa kumuua kaka yake anaitwa Zakayo huku baba mzazi akikiri kushindwa kuwaamua ndugu hao wawili waliokuwa wakigombana kisa mifugo.
Mimi naitwa Paulo Sindio, ni baba mzazi wa watoto hao, walianza kugombana mbele yangu kisa kikiwa ni uswagaji wa mifugo kurudi polini, wote ni Watoto wang una wa mama mmoja.
Akielezea tukio hilo, Paulo amesema: “Walikorofishana baada ya mkubwa kumwambia mdogo kuwa anatakiwa kwenda kuswaga mifugo kauli ambayo ilipingwa na James na baada ya muda wakaanza kupigana.
“Walipigana, mimi nikanyanyuka kwa ajili ya kwenda kuwaamua, kumbe mwenzake tayari alikuwa ameshamchoma kisu kwenye moyo, tulivyompeleka hospitali ikakutwa ameshafariki.
“Sina la kusema, wazee wa ukoo wapo wataamua wenyewe, sina la kufanya, na sijui alipo, kama ameenda kujiua au la sijui alipo. Polisi tayari wana taarifa na wanalifuatilia.”
Source: Globaltv