Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hivi huwa hawakazii sana kuwa ukiuwa ni dhambi kubwa sana?
Huko huwa kwenye kuabudu huwa mnaenda kujifunza nini?
Mbona mauwaji yametamalaki hivyo?
Mjitafakari sana huu sio mda wa kuulizana kwanini yanatokea haya bali mumrudie Mungu sana na muogope sana dhambi period
Huko huwa kwenye kuabudu huwa mnaenda kujifunza nini?
Mbona mauwaji yametamalaki hivyo?
Mjitafakari sana huu sio mda wa kuulizana kwanini yanatokea haya bali mumrudie Mungu sana na muogope sana dhambi period